Orodha ya watu wanaojiona wameyapatia maisha

Bongo Nyosso [emoji119][emoji2]
 
Mkuu umenivunja mbavu zangu [emoji23][emoji119]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huu umeanza vizuri sana congratulations. Too humble
 
Aisee hivi vitu kumbe vipo, huku kukulia mjini nakosa mengi... itabidi nirudi kijijini kumbe na kule kuna watu '' wana kijiji chao'' wameyapatia maisha?
Nimekula mjini tena mjini kweli huko chuoni kwa matapeli ila ugali umenileta kijijini hku ndugu watumishi wa halmashauri wanajionaga hakuna kama wao .

Ndiyo maana makanisa ya kilokole huku vijijini yameweka kabisa viti mbele special kwa nesi na daktari wa kijiji ikiwa wanasali hapo , usisahau na askari kata yaani raha tupu .



Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mtani, nami nitafutie daladala huko nipige deiwaka.

Wanaume zenu manual[emoji16].
Mtani njoo zipo za kutosha tu, utaweza kweli maana ni Manual nyingi..

Sema nini, KE mnaoendesha magari ya Manual mpo wachache sana...Fursa hiyo hata ukiomba serikalini au private wanakuzingatia cha msingi skills na kuipenda kazi yako
 
Nao ni viongozi wanaopenda rushwa na urasimu
 
Halafu kweli niliwasahau [emoji23][emoji23][emoji23] wanatupangaga sana hawa, Hela ya kiingilio kwenye hizo semina zao ndio wanaendea kugangia njaa hamna lolote.. Shida ni kwamba wanayoyapaza na uhalisia wa mtaani ni tofauti..Rejea mfano wa kilimo cha matikiti wanavyokupanga si utasema utajiri huu hapa, nenda field ukaone mziki [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…