Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu sasa wawe na vipikipiki vya SM [emoji119]Hawa ni wale waliopewa kazi na mwendazake 2019... Mamaaaaaaa
Bila shaka wewe utakuwa bilionea kama muda wote unaongelea fursaKuna fursa zipi huko kwenu za ujasiriamali au biashara utaotuletea maendeleo?
Kwetu huku sasaa hivi msimu wa maenmbe umeanza, ukiinga mashamba ni ubwete, ukipeleka sokoni mjini Dar, hukosi faida.
Yes wana Club yao inaitwa "ANT SOCIAL SOCIAL CLUB"Hivi ndio hawa wanaitwa Anti social?
Nakubali kaka, tuko pamojauzi wako hauna tofauti sana na uzi wangu niliouanzisha mwaka 2019.
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1641875/_
Wengine kweli wana matatizo ya macho, wengine kuslay tu hamna loloteWanaovaa miwani, hasa wanawake
Huwa wanaleta mafarakano na wenza / wapendwa waoHiyo ni changamoto sana
Nilishawahi kukutana nao, wale hawanaga shida ukiwasikiliza na kutii wanavyosema.. Ukijichanganya tu ndio wanavimba [emoji1]Ushawahi kukutana na wale ASKARI wa JKT kwenye mageti? Pale kituo Cha mabasi au sehemu kama vyuoni? Hahaha wako na level ya stress kubwaaaaa
Kawe mpaka mbagala sio mchezo naelewa broNamba 15 hapo najiona mimi kabisa. Fa mchezo na safari ya Kawe Mbagala tena hiyo ni deile, na earphones zangu hapo kama sio muvi basi ni mziki mkubwaaa!
Enewei kama una access ya kupata ule wimbo mpya wa Voda wa mtandao supa niwekee hapo nimeupenda
Hapa kuna ukweli niliwahi shuhudia hiki kitu piaNi hatari rafiki .
Huku wewe ni daktari pekee kwenye kituo cha Afya ila ukitoka na staff wenzako mkaenda kwenye mikusanyiko hawataki kujitambulisha kuwa wao ni manesi , lab technicians wanasema wao ni madaktari na mbwembwe nyingi unaishia kucheka tu .
Sasa unakuta mpaka mpaka wewe daktari wa kweli wanakijiji wanakudharau ila wanawaheshimu majunior wako .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hahaha ukweli mtupu...kiJF JF ni sawa utafanyaje sasaWANA JF especially wana MMU. Wao kila thread ni utani, kujibebisha na mizaha. Lila thread wataitana kwa kutagiana a kuanza kujibebesha. Mara umepika nini, mara sgem darling na upuuzi mwingi. Wanaboa sana na wanaona wameyapatia kweli.