hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Nimetoka kwenye press conference hapo Southern Sun wametangaza kuwa Rally of Tanzania inayodhaminiwa na ORYX inatarajiwa kuanza Ijumaa hii na kumalizika jumapili (14th - 16th June 2015) ambapo jumla ya magari 36 yataingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea ubingwa wa Rally mwaka huu. Madereva wote wame confirm kushiriki ambapo Kenya gari mbili zitashiriki, Uganda pia 2 na Rwanda pia mbili na waliobaki wa Tanzania watashiriki.
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi ndiye atakaekuwa mgeni rasmi katika ufunguzi utakaofanyika pale Tazara Ijumaa saa 9 mchana baada ya swala ya Ijumaa.
Rally map inaonesha kuna stage zifuatazo
KAZIMZUMBWE,
BANDA FOREST,
SUNGWI, na
KITANGA
Wadhamini waliojitokeza mwaka huu ni
ORYX Energy (Main Sponsors)
Southern Sun Hotel,
National Insurance Corporation of Tanzania,
Knight Support,
Radio Wave,
UTrack,
Obi,
HP,
Epidor,
DB Shapriya,
A to Z,
Red n White,
Tarmol na
Maji Poa.
Rockcity native, Salamander, BAK, MAMMAMIA, Julius Kaisari, makongo, The skipper, pig man, Root, mabesela, pierre tall, Given Edward, Jonas justin, Mphamvu, Chachu Ombara, Amavubi, Watu8, OKW BOBAN SUNZU, kichwat, zugimlole, rubaman, Polite, ndetichia, Bob Fern, Evz, magwio, Sangomwile, privacy, ChiefmTz piteni na hapa acheni kukomalia kandanda tu daily. Tehe tehe tehe
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi ndiye atakaekuwa mgeni rasmi katika ufunguzi utakaofanyika pale Tazara Ijumaa saa 9 mchana baada ya swala ya Ijumaa.
Rally map inaonesha kuna stage zifuatazo
KAZIMZUMBWE,
BANDA FOREST,
SUNGWI, na
KITANGA
Wadhamini waliojitokeza mwaka huu ni
ORYX Energy (Main Sponsors)
Southern Sun Hotel,
National Insurance Corporation of Tanzania,
Knight Support,
Radio Wave,
UTrack,
Obi,
HP,
Epidor,
DB Shapriya,
A to Z,
Red n White,
Tarmol na
Maji Poa.
Rockcity native, Salamander, BAK, MAMMAMIA, Julius Kaisari, makongo, The skipper, pig man, Root, mabesela, pierre tall, Given Edward, Jonas justin, Mphamvu, Chachu Ombara, Amavubi, Watu8, OKW BOBAN SUNZU, kichwat, zugimlole, rubaman, Polite, ndetichia, Bob Fern, Evz, magwio, Sangomwile, privacy, ChiefmTz piteni na hapa acheni kukomalia kandanda tu daily. Tehe tehe tehe
