Osama bin Hamdan wa Hamas asema hakuna kuachia mateka kabla Israel haijatekeleza matakwa yao

Osama bin Hamdan wa Hamas asema hakuna kuachia mateka kabla Israel haijatekeleza matakwa yao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Msemaji mkuu wa Hamas anayeishi Lebanon ameweka wazi kuwa kundi lake la Hamas limefuta mpango wa kubadilishana mateka wa Israel na wafungwa wa kipalestina kabla Israel haijaacha vita na kuondosha vikosi vyake vyote Gaza.

Sharti jengine ni jeshi la Israel liondoe vizuizi vyote vya watu kurudi kwenye majumba yao waliyoyakimbia maeneo yote ya Gaza.

Awali msemaji mwengine wa Hamas ambaye alishirikia kikao cha Cairo ambacho Israel ilitaka ioneshwe orodha ya mateka wali hai mwanzo, alisema sharti la Israel kuacha vita kwanza kabla mateka kuachiwa ni muhimu kwani mateka hao wameshikiliwa na vikundi tofauti na inahitaji utulivu ili kuwakushanya na kuwakabidhi.

Mwishoni mwa taarifa yake hiyo Osama akiwa Beirut ameiambia Marekani kuwa kilicho muhimu kwake ni kuacha kuipelekea Israel silaha kuliko kudondosha chakula kwa ndege.

Hamas says no exchange of prisoners before Gaza ceasefire

 
Waache udhaifu wa kutaka yahudi aondoke Gaza. Wapambane tu allah atawashindia.
allah angekuwa na nguvu za kuwasaidia angeshawasaidia miaka 70 hii walamwomba. shida ni kwamba wanamwomba mungu asiyeonekana wala haokoi, sio mungu wakweli huyo, ni uongo tu mood aliutunga akaleta ushetani wake unaosumbua dunia hadi leo. dunia ingekuwa mahali pazuri sana pa kuishi kama hii dini ya mood isingekuwepo.
 
allah angekuwa na nguvu za kuwasaidia angeshawasaidia miaka 70 hii walamwomba. shida ni kwamba wanamwomba mungu asiyeonekana wala haokoi, sio mungu wakweli huyo, ni uongo tu mood aliutunga akaleta ushetani wake unaosumbua dunia hadi leo. dunia ingekuwa mahali pazuri sana pa kuishi kama hii dini ya mood isingekuwepo.
 
LEO UNA UZI MWINGINE........SAFARI HII WAARABU WENZIO WATAOMBA POH
WEWE SI ULIKUA UNASHANGILIA OCTOBER 07
SASA TULIA DAWA IKUINGIE.......MTACHAPIKA MPAKA MUWAPIGIE MAGOTI WAYAHUDI......KAMA WALIVYOFANYA WAARABU WA MISRI 1973.....PALE WALIPOOMBA CEASE FIRE BAADA YA SADAT KUWAINGIZA CHAKA SINAI DESERT 🤣🤣
 
Msemaji mkuu wa Hamas anayeishi Lebanon ameweka wazi kuwa kundi lake la Hamas limefuta mpango wa kubadilishana mateka wa Israel na wafungwa wa kipalestina kabla Israel haijaacha vita na kuondosha vikosi vyake vyote Gaza.

Sharti jengine ni jeshi la Israel liondoe vizuizi vyote vya watu kurudi kwenye majumba yao waliyoyakimbia maeneo yote ya Gaza.

Awali msemaji mwengine wa Hamas ambaye alishirikia kikao cha Cairo ambacho Israel ilitaka ioneshwe orodha ya mateka wali hai mwanzo, alisema sharti la Israel kuacha vita kwanza kabla mateka kuachiwa ni muhimu kwani mateka hao wameshikiliwa na vikundi tofauti na inahitaji utulivu ili kuwakushanya na kuwakabidhi.

Mwishoni mwa taarifa yake hiyo Osama akiwa Beirut ameiambia Marekani kuwa kilicho muhimu kwake ni kuacha kuipelekea Israel silaha kuliko kudondosha chakula kwa ndege.

Hamas says no exchange of prisoners before Gaza ceasefire

YEYE OSAMA YUPO BEIRUT ANAONGEA NGONJERA WAKATI WENZIE GAZA WANAGOMBANIA CHAKULA CHA MSAADA...!!!!
ALITAKA IDF ISIPATE SILAHA ILI WAWASHAMBULIE KIRAHISI......CHIZI KWELI 🤣🤣🤣🤣
 
allah angekuwa na nguvu za kuwasaidia angeshawasaidia miaka 70 hii walamwomba. shida ni kwamba wanamwomba mungu asiyeonekana wala haokoi, sio mungu wakweli huyo, ni uongo tu mood aliutunga akaleta ushetani wake unaosumbua dunia hadi leo. dunia ingekuwa mahali pazuri sana pa kuishi kama hii dini ya mood isingekuwepo.
Anayeokoa yule aliyevalishwa nepi sio?
 
allah angekuwa na nguvu za kuwasaidia angeshawasaidia miaka 70 hii walamwomba. shida ni kwamba wanamwomba mungu asiyeonekana wala haokoi, sio mungu wakweli huyo, ni uongo tu mood aliutunga akaleta ushetani wake unaosumbua dunia hadi leo. dunia ingekuwa mahali pazuri sana pa kuishi kama hii dini ya mood isingekuwepo.
Dunia imekuwa ya amani na furaha kutokana na Uislamu ulioletwa na Muhammad s.A,w.
 
Waache udhaifu wa kutaka yahudi aondoke Gaza. Wapambane tu allah atawashindia.
Mimi nashangaa sana,navyojua Hamas walitaka vita na vita inaendelea. Kwani shida iko wapi? Wao waliuwa watu 1200+ kwa masaa tu wakachukua na mateka. Mwenzao anauwa kidogo kidogo... Hamas waachwe wapigane mpaka washinde ISITOSHE walijiandaa mda mrefu wakachimba na mahandaki yakutosha wakaandaa na MAELFU ya rocket yote....mwisho wa siku wakavamia Israel.
 
Msemaji mkuu wa Hamas anayeishi Lebanon ameweka wazi kuwa kundi lake la Hamas limefuta mpango wa kubadilishana mateka wa Israel na wafungwa wa kipalestina kabla Israel haijaacha vita na kuondosha vikosi vyake vyote Gaza.

Sharti jengine ni jeshi la Israel liondoe vizuizi vyote vya watu kurudi kwenye majumba yao waliyoyakimbia maeneo yote ya Gaza.

Awali msemaji mwengine wa Hamas ambaye alishirikia kikao cha Cairo ambacho Israel ilitaka ioneshwe orodha ya mateka wali hai mwanzo, alisema sharti la Israel kuacha vita kwanza kabla mateka kuachiwa ni muhimu kwani mateka hao wameshikiliwa na vikundi tofauti na inahitaji utulivu ili kuwakushanya na kuwakabidhi.

Mwishoni mwa taarifa yake hiyo Osama akiwa Beirut ameiambia Marekani kuwa kilicho muhimu kwake ni kuacha kuipelekea Israel silaha kuliko kudondosha chakula kwa ndege.

Hamas says no exchange of prisoners before Gaza ceasefire

Huyo gaidi anaongea akiwa lebanon na familia yake na gaidi mwingine huyu Alwaz mwenye mizuka ya kidini anaongea huku Buza kwa mpalange huku gaza wapalestina wanakaangwa na mabomu ya israel
 
Msemaji mkuu wa Hamas anayeishi Lebanon ameweka wazi kuwa kundi lake la Hamas limefuta mpango wa kubadilishana mateka wa Israel na wafungwa wa kipalestina kabla Israel haijaacha vita na kuondosha vikosi vyake vyote Gaza.

Sharti jengine ni jeshi la Israel liondoe vizuizi vyote vya watu kurudi kwenye majumba yao waliyoyakimbia maeneo yote ya Gaza.

Awali msemaji mwengine wa Hamas ambaye alishirikia kikao cha Cairo ambacho Israel ilitaka ioneshwe orodha ya mateka wali hai mwanzo, alisema sharti la Israel kuacha vita kwanza kabla mateka kuachiwa ni muhimu kwani mateka hao wameshikiliwa na vikundi tofauti na inahitaji utulivu ili kuwakushanya na kuwakabidhi.

Mwishoni mwa taarifa yake hiyo Osama akiwa Beirut ameiambia Marekani kuwa kilicho muhimu kwake ni kuacha kuipelekea Israel silaha kuliko kudondosha chakula kwa ndege.

Hamas says no exchange of prisoners before Gaza ceasefire

Huyu msemaje wa hamas ni vizuri angeongelea hapo Gaza
 
Mimi nashangaa sana,navyojua Hamas walitaka vita na vita inaendelea. Kwani shida iko wapi? Wao waliuwa watu 1200+ kwa masaa tu wakachukua na mateka. Mwenzao anauwa kidogo kidogo... Hamas waachwe wapigane mpaka washinde ISITOSHE walijiandaa mda mrefu wakachimba na mahandaki yakutosha wakaandaa na MAELFU ya rocket yote....mwisho wa siku wakavamia Israel.
Ni kweli
 
Back
Top Bottom