Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.
Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.
SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?
Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.
CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.
Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.
SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?
Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.
CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue! Ione Kama watanzania siyo watu wa mchezomchezo.
Kabisaa kuna mbunge alikamatwa anasafirisha binadamu(human trafficking) na magazeti yaliripoti lakini kwa kuwa ni CCM mpaka leo hatujasikia yuko Polisi au Jela!
Achilia mbali Gekul, Nawanda na team nzima ya watu waliofanya ulawiti kesi zao zinaisha kirahisi Sana Ukiwa CCM haukamatwi π
Ccm wanajiona wao ndio wenye nchi, bila wao nchi haiendi na hatawaliki. Kifupi ili ujue kuwa wanajiona hivyo, subiri next Yr uchaguzi mkuu, hata upinzani ushinde ka margin kubwa kiasi gani, ccm itatangazwa mshindi
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.
Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.
SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?
Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.
CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue! Ione Kama watanzania siyo watu wa mchezomchezo.