Weledi Kwa polisi ni zero.Naamini ccm hata akiamua kuanza kampeni kabla ya muda atafanya vizuri tu lakini afanye mpinzani utasikia intelijensia Imebaini viashiria vya uvunjifu wa amani.Polisi kuweni weledi,mpo Kwa matakwa ya Sheria na siyo matakwa ya watawala.