Oscar Oscar: Kwanini Polisi hawajawahi kukamata viongozi wa CCM? Je, hawakosei?

Oscar Oscar: Kwanini Polisi hawajawahi kukamata viongozi wa CCM? Je, hawakosei?

Hoja mkuu

Usizunguke sana
Hoja ni kwamba kwanini viongozi wakuu wa CCM hawakamatwi?? Juzi tuliona mkutano wa CCM Zanzibar Kama polisi wako fair, Makamu mwenyekiti wa CCM Zanzibar angekamatwa pia??
 
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.

Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.

SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?

Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.

CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.

View attachment 3068506
Ili uishi vizuri
1.tii mamlaka (serikali)
2.heshimu wazazi
3. Ishi vizuri na jamii inayo kuzunguka

Ukizingatia haya mengineo utayasikia kwenye bomba.
 
Hoja ni kwamba kwanini viongozi wakuu wa CCM hawakamatwi?? Juzi tuliona mkutano wa CCM Zanzibar Kama polisi wako fair, Makamu mwenyekiti wa CCM Zanzibar angekamatwa pia??
Je kuna kosa lolote wamefanya ili wakamatwe?
 
Ccm wanajiona wao ndio wenye nchi, bila wao nchi haiendi na hatawaliki. Kifupi ili ujue kuwa wanajiona hivyo, subiri next Yr uchaguzi mkuu, hata upinzani ushinde ka margin kubwa kiasi gani, ccm itatangazwa mshindi
Inatakiwa kinuke chap
 
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.

Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.

SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?

Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.

CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.

View attachment 3068506
Mnhh..
Huyuu!!😷😷
 
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.

Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.

SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?

Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.

CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.

View attachment 3068506
"Ni amri kutoka juu" Siku hizi haitumiki!?
 
Bongo kuna muhimili mmoja tu ambao ni Serikalii..!
 
Whatabout-ism hazisaidii. Kujifanya unauliza swali wakati jibu unalijua ni kejeli kwenye mambo serious
 
Back
Top Bottom