Oscar Oscar: Kwanini Polisi hawajawahi kukamata viongozi wa CCM? Je, hawakosei?

Oscar Oscar: Kwanini Polisi hawajawahi kukamata viongozi wa CCM? Je, hawakosei?

Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.

Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.

SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?

Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.

CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.

View attachment 3068506
Kwa kweli polisi wanaudhi tena wanatumika vibaya.
 
Viongozi wakuu wa chama ni marais wa Tanzania na Zanzibar. Wao hukamatwa au hukamata yeyote wakiwemo polisi?
 
Walale central bila kufanya makosa. Hawa wapinzani vizuri wakajikita kwenye sera zao na kupinga serikali kwa hoja sio matusi na dharau kwa kiongozi wa nchi. Haya yakutiwa ndani ndio wanayapenda inawapa kick, ilikuwa hawapati airtime sasa wanapata ndio wanakitafuta
Nimekwambia viongozi wa kitaifa ni lini Katibu mwenezi wa CCM au makamu wake wa Zanzibar amelala Central?
 
Jibu lipo wazi tu kwann yeye hajawahi kukamatwa

Akijiuliza hivyo basi atapata jawabu

Hauhitaji kuwa na D tatu
 
Jamaa anaongea kwa uchungu sana. Wala hatanii
 
Kama hawawezi kuuza sera polisi ya nini?? Nyie mikutano lazima waje wasanii na wanafunzi wa shule na wafanyakazi wa halmashauri 😃,

Kama hamuogopi CHADEMA, waacheni wafanye shughuli zao kwa uhuru halafu wekeni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Kuwaleta wanafunzi ni sehemu ya kuwaelimisha kuwa CCM ni Chama Tawala, walelewe wajifunze misingi na itikadi za Chama cha mapinduzi
 
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.

Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.

SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?

Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.

CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.

View attachment 3068506
Kinanana akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM aliliamuru Jeshi la Polisi kupunguza askari wake barabarani na walitii.
 
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.

Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.

SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?

Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.

CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.

View attachment 3068506
Zikichaji mwamba anaongeaga vya maana sana ukiachana na memes zake
 
Back
Top Bottom