Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli polisi wanaudhi tena wanatumika vibaya.Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.
Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.
SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?
Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.
CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.
View attachment 3068506
Na ndiye aliyeagiza kuwasweka ndani na kuwavurugia maadhimisho yao,hizi drama hazina faida yoyoteKatibu mkuu wa ccm Dr Nchimbi jana ndio amewaamuru Polisi wawaachie viongozi wote wa Chadema.
Jibu liko hapo usisumbuke sana.
Wanajichora tu. Watu wa leo siyo wa mwaka 47Katibu mkuu wa ccm Dr Nchimbi jana ndio amewaamuru Polisi wawaachie viongozi wote wa Chadema.
Jibu liko hapo usisumbuke sana.
Kwahiyo hao wote waliokuwa kwenye magari wanaenda Mbeya siyo watu waliosikiliza ni mifugo?shida ya upinzani ni kushindwa kuuza sera tena kwa vitendo
na awamu hii akuna mjinga wa kuwasikiliza wallah
Kuruhusu watu wale Kwa urefu wa kamba ni umakini?ni kutokana na umakini
hilo liko wazi ndugu
Hv bado ni mwenyekiti?Sio wakuu hata yule Mwenyekiti uvccm kagera mpoteza watu hata hakuhojiwa na polisi.
Umakini kwenye nini wakati uzembe,ujinga,uropokaji,kuingia /kuanzisha miradi ya kijinga;kuidumaza nchi nk ni wao CCM?ni kutokana na umakini
hilo liko wazi ndugu
Nimekwambia viongozi wa kitaifa ni lini Katibu mwenezi wa CCM au makamu wake wa Zanzibar amelala Central?
PoliccmKatibu mkuu wa ccm Dr Nchimbi jana ndio amewaamuru Polisi wawaachie viongozi wote wa Chadema.
Jibu liko hapo usisumbuke sana.
Kuwaleta wanafunzi ni sehemu ya kuwaelimisha kuwa CCM ni Chama Tawala, walelewe wajifunze misingi na itikadi za Chama cha mapinduziKama hawawezi kuuza sera polisi ya nini?? Nyie mikutano lazima waje wasanii na wanafunzi wa shule na wafanyakazi wa halmashauri 😃,
Kama hamuogopi CHADEMA, waacheni wafanye shughuli zao kwa uhuru halafu wekeni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Kinanana akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM aliliamuru Jeshi la Polisi kupunguza askari wake barabarani na walitii.Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.
Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.
SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?
Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.
CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.
View attachment 3068506
Zikichaji mwamba anaongeaga vya maana sana ukiachana na memes zakeJumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.
Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.
SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?
Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.
CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.
View attachment 3068506
Kweli kabisaZikichaji mwamba anaongeaga vya maana sana ukiachana na memes zake