Oscar Oscar: Kwanini Polisi hawajawahi kukamata viongozi wa CCM? Je, hawakosei?

Oscar Oscar: Kwanini Polisi hawajawahi kukamata viongozi wa CCM? Je, hawakosei?

Na ndiye aliyeagiza kuwasweka ndani na kuwavurugia maadhimisho yao,hizi drama hazina faida yoyote
Anatuigizia .Kwanini hakuongea wakati polisi wanatoa tahadhari ya kuwakamata CHADEMA? imagine ripoti inasema walikamata watu 520!
 
Kwanini akamatwe mtu yoyote bila kosa au bila kufanya due dilligence ?

Kwahio kama wangekamatwa wa CCM basi na wa Vyama vya Upinzani ingekuwa sawa wakamatwe ? Ifike wakati tutetee right and wrong no matter what na sio kuuliza kwanini uonevu huu na wale hawafanyiwi...
Watu wametoa mifano hapo ya you unaofanywa na ccm lakini hawafanywi lolote. Mfano yule uvccm wa bukoba aliesema wapinzani watekwe je polisiccm walichukua hatuna gani?
 
Watu wametoa mifano hapo ya you unaofanywa na ccm lakini hawafanywi lolote. Mfano yule uvccm wa bukoba aliesema wapinzani watekwe je polisiccm walichukua hatuna gani?
Mkuu usibishane naye Kama hakuelewi
 
Kuwaleta wanafunzi ni sehemu ya kuwaelimisha kuwa CCM ni Chama Tawala, walelewe wajifunze misingi na itikadi za Chama cha mapinduzi
Ni umaskini tu, kwani ushaona wanafunzi wa private wakaja kwenye mikutano yenu??
 
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.

Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.

SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?

Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.

CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.

View attachment 3068506
Anataka ajibiwe na nani?
 
Jibu lipo wazi tu kwann yeye hajawahi kukamatwa

Akijiuliza hivyo basi atapata jawabu

Hauhitaji kuwa na D tatu
Mkuu Kama hauna V8 halafu umepost huu ujinga basi Taifa letu lina kazi kubwa Sana. Kizazi cha sasa hakidanganyiki Kama mlivyozoea kuwadanganya wazee wetu
 
Kwa akili yako timamu unahisi viongozi wa CHADEMA wana makosa yapi?? Ndio najiuliza CCM wao hawajawahi kukosea? Ushasikia mkutano wa CCM unaahirishwa na polisi?? Au huoni
Sasa tuongelee kwanini watu wanashikwa au wanakatazwa haki zao no matter ni watu gani tugombanie haki na sio kwanini wale hawashikwi pia..., kuna loopholes nyingi sana ambazo Serikali inaweza kuzitumia legally na wengine wakabanwa..., Sheria na Haki ni vitu viwili tofauti
 
Watu wametoa mifano hapo ya you unaofanywa na ccm lakini hawafanywi lolote. Mfano yule uvccm wa bukoba aliesema wapinzani watekwe je polisiccm walichukua hatuna gani?
Tuanze kushika watu kwa Kauli ? Mbona Kuanzia Samia hadi wapinzani wote watakuwa ndani ?

Ndio maana mimi nakwenda above politics, nasimamia haki, usawa na kufuata sheria no matter nani anafanya (no one should be above the law) na Sheria inabidi isiwe kandamizi....
 
Malaika wema hawawezi kuwakamata Malaika wema wenzao!
Shetani hawezi kumkamata shetani mwenzake!
waliosoma Cuba wamenielewa!
 
Hii Tz bana kuna muda unafikiria unaona ipo siku tutaamka tuzinduke tubadilike , yes itakuwa ni gharama lakini lazima tubadilishe
 
Jumapili hii taarifa za kukamatwa kwa viongozi wa CHADEMA akiwepo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, Makamu mwenyekiti Tundu Lissu na viongozi wengine zilitangazwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari.Taarifa rasmi ya msemaji wa CHADEMA ilieleza pia.

Hii Siyo Mara ya kwanza, kwa viongozi Hawa kukamatwa ikumbukwe kuwa kabla ya 4R Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Mbowe alikuwa na kesi na alikaa gerezani kwa muda mpaka alipoachiwa.

SWALI NI KUWA JE CCM WAKO JUU YA SHERIA? Sijawahi kushuhudia tokea nijitambue kuona Mwenyekiti wa CCM au katibu wake au Makamu mwenyekiti akikamatwa na polisi kwa sababu yoyote ile! HATA wakati wa Magufuli sauti zilivyovuja hakuna aliyekamatwa?

Jeshi la polisi limekuwa kinara wa kushughulika na wapinzani badala ya kushughulikia mafao ya askari wao.

CCM Kama haitaki demokrasia itangaze kuwa Tanzania ni Serikali ya chama kimoja ili tujue. Ione Kama Watanzania siyo watu wa mchezomchezo.

View attachment 3068506
Pia usisahau hawa CCM hata wakisema mambo ya kijinga, mfano, Yulej aliyetamka kupoteza. watu hata kuhojiwa hajawahi
 
Back
Top Bottom