Oscar Oscar: Kwanini Polisi hawajawahi kukamata viongozi wa CCM? Je, hawakosei?

Viongozi wote wa CCM ni 'Watakatifu,' ni wasafi kama 'Malaika'
 
CCM wanafuata sheria bila shuruti, tena CCM wakiambiwa mara nyingi hakuna kuandamana na Polisi, hawashindani na Polisi hata siku moja..

CCM mara nyingi tu wamekataliwa maandamano ya amani na wanatii sheria bila shuruti tena hawashindani na polisi

CHADEMA ILI WATII SHERIA, lazima SHURUTI ITUMIKE, bila KUTUMIA SHURUTI, CHADEMA HAWATII SHERIA
 
Oscar mdogo wangu.... watawala hapa TZ wanaugua Chademamonium🤣🤣🤣🤣.....
 
😃😃😃Sheria ipi iliyovunjwa au unabwabwaja, taja kifungu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…