Ostadh Shaaban: Iran ina nguvu kuliko Marekani

Ostadh Shaaban: Iran ina nguvu kuliko Marekani

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja na mada nyingine anasema kuwa Iran inanguvu kuliko Marekani na imeizidi Marekani kwa kila kutu.

Chakusikitisha ni kuwa jamaa hana hata kitambulisho cha nida achilia mbali pasport. Imagine mtu kama huyu anapewa dhamana ya kuwafundisha watoto elimu ahera.
 
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja na mada nyingine anasema kuwa Iran inanguvu kuliko Marekani na imeizidi Marekani kwa kila kutu.

Chakusikitisha ni kuwa jamaa hana hata kitambulisho cha nida achilia mbali pasport. Imagine mtu kama huyu anapewa dhamana ya kuwafundisha watoto elimu ahera.
ikitokea baadaye kikawaka utasikia mavilio toka wavaa kobaz. ooh marekani anauwa wazee na watoto
 
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja na mada nyingine anasema kuwa Iran inanguvu kuliko Marekani na imeizidi Marekani kwa kila kutu.

Chakusikitisha ni kuwa jamaa hana hata kitambulisho cha nida achilia mbali pasport. Imagine mtu kama huyu anapewa dhamana ya kuwafundisha watoto elimu ahera.
Takataka hiyo. Achana nayo mkuu utapoteza nguvu zako muda na hekima
 
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja na mada nyingine anasema kuwa Iran inanguvu kuliko Marekani na imeizidi Marekani kwa kila kutu.

Chakusikitisha ni kuwa jamaa hana hata kitambulisho cha nida achilia mbali pasport. Imagine mtu kama huyu anapewa dhamana ya kuwafundisha Watoto elimu ahera.
😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅
... jamaa huwa wanachekesha sana kwa kukomaa na Habari zisizo na uchambuzi wowote!
... lakini na wewe hebu acha kuchapia basi, hivi Yesu alikuwa na passport ya wapi? 😅
 
Kwani umelizwa nanani mtajua wenyewe we ndio unajua ulichomchokoza adi akusomee mbona akumsomea mlaleo kakulenga ww wewekausha kama unajua ww jiwe aikupati. Wenye Duni wapo uwezi kuwakuta umu jamiii kila muda nyie wahuni lkn mnajidai kumtete mungu nendeni kwenye ibada sio kushinda jamiii F
 
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja na mada nyingine anasema kuwa Iran inanguvu kuliko Marekani na imeizidi Marekani kwa kila kutu.

Chakusikitisha ni kuwa jamaa hana hata kitambulisho cha nida achilia mbali pasport. Imagine mtu kama huyu anapewa dhamana ya kuwafundisha watoto elimu ahera.
Ila ni kweli hata humu wapo na wakipata passport wanakimbilia huko America Mfano FaizaFoxy
 
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja na mada nyingine anasema kuwa Iran inanguvu kuliko Marekani na imeizidi Marekani kwa kila kutu.

Chakusikitisha ni kuwa jamaa hana hata kitambulisho cha nida achilia mbali pasport. Imagine mtu kama huyu anapewa dhamana ya kuwafundisha watoto elimu ahera.
Wanadanganyana sana kwenye vijiwe vya kahawa na alkasus
 
We kalia hivyo hivyo Madrasa zinafaida kuliko kupelekwa kanisani kuimbishwa nyimbo mnatoka tupu 😄
We learn about bible story very nice and enjoyable. tunafundishwa kuwa uwongo ni mbaya na ni ushatani.. nyie ndio mnasisitizwa kuwa waongo maishani mwenu na ndio matokeo mpo hivyo... so sisi ndio tupo lucky nyie mmelost
Afu eti mnatolewa pepo wakati nyie wenyewe mapepo.
unaposema mapepo mean roho zisizo onekana ule msikiti pale mecca unaitwa wa majini,pale Zenji pembezoni mwa bahari Kinazini na ule wa Mafia ,Comoro n.k ndio mapepo yenyewe... and unapoona mapepo mabaya kwenu ndio mwake mwake.. Quran yenu si inasema majini na binadamu wameumwa ili kumuabudu Allah tu au hutaki pia?
 
Sp221008ce-small.jpg
 
Wakuu jana jioni nimecheka sana. Yule jamaa aliyeongoza jopo la watu walionisomea Albadiri iliyogonga mwamba (Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana) jana kaja na mada nyingine anasema kuwa Iran inanguvu kuliko Marekani na imeizidi Marekani kwa kila kutu.

Chakusikitisha ni kuwa jamaa hana hata kitambulisho cha nida achilia mbali pasport. Imagine mtu kama huyu anapewa dhamana ya kuwafundisha watoto elimu ahera.
Yesu alikuwa na passport au kitambulisho cha Nida !!!mbona alifundisha watu mambo ya mbinguni?
 
Back
Top Bottom