Othman Kazi: Penati mbili kati ya tatu za Ngao ya jamii zilipaswa kurudiwa

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Leo ktk kipindi cha Kipyenga cha mwisho, mwamuzi mkongwe Othman Kazi amechambua mikwaju ya penati katika mechi ya fainali ya ngao ya jamii na kusema kuwa ile ya Aucho na Pacome zilipaswa kurudiwa kutokana na kipa wa Simba kukiuka taratibu (kutoka mstarini kabla ya mpira kuguswa).

Kwa upande mwingine, penati ya Yao haikuwa na tatizo
 
kasema pia Yanga walikuwa off side.. hakuna sehemu walionewa

kuhusu ally salim kutoka kabla ya mpira kupigwa ni makosa ya mwamuzi wa kati siyo mshika kibendera ... kama Wanavyo lalamika Uto. kazi ya mshika kibendera ni kuangalia kama goli limeingia.

Pia kasema ile ya kibu ni penalty.. maana kama Aucho alicheza mpira basi ilitakiwa iwe kona. ila Tuka shangaa imekuwa goal kick. na hamna penalty.

pia simba walinyimwa penalty halali.. watu wana nawa ndani ya box..
 
kasema pia Yanga walikuwa off side..
hakuna sehemu walionewa

pia yale ni makosa ya mwamuzi wa kati..

pia kasema ile ya kibu ni penalty.. maana kama Aucho alicheza mpira basi ilitakiwa iwe kona.
Yanga ukiangalia vizuri hakuna offside Ila waamuzi na michongo yao tu
 
Ya Pacome naweza kukubali ndiyo maana picha ya penati yake sikuipost juzi ila ya Aucho ni 50/50. Kwa jicho la kawaida yule mwamuzi msaidizi ni rahisi sana kuimiss maana ni kitendo cha sekunde na kumbuka inabidi muda huo huo aangalie mpira unavyomtoka mpigaji.

Waje wale waliokuwa wanasema penati zote 4 zilitakiwa kurudiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…