- Thread starter
- #21
mkosoe tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkosoe tuone
sawakasema pia Yanga walikuwa off side..
hakuna sehemu walionewa
pia yale ni makosa ya mwamuzi wa kati..
pia kasema ile ya kibu ni penalty.. maana kama Aucho alicheza mpira basi ilitakiwa iwe kona.
kiwiziwiziHii bado inawaumiza kichwa sana ndugu zetu, waambieni hii imeendaaaa! Wamove on tu.
View attachment 2720313
Chomoa kama inauma.Hiyo imeenda hiyo.kiwiziwizi
Mtapiga mayowe hadi msimu unaishaLeo ktk kipindi cha Kipyenga cha mwisho, mwamuzi mkongwe Othman Kazi amechambua mikwaju ya penati katika mechi ya fainali ya ngao ya jamii na kusema kuwa ile ya Aucho na Pacome zilipaswa kurudiwa kutokana na kipa wa Simba kukiuka taratibu (kutoka mstarini kabla ya mpira kuguswa).
Kwa upande mwingine, penati ya Yao haikuwa na tatizo
Ufafanuzi unaendeleaLeo ktk kipindi cha Kipyenga cha mwisho, mwamuzi mkongwe Othman Kazi amechambua mikwaju ya penati katika mechi ya fainali ya ngao ya jamii na kusema kuwa ile ya Aucho na Pacome zilipaswa kurudiwa kutokana na kipa wa Simba kukiuka taratibu (kutoka mstarini kabla ya mpira kuguswa).
Kwa upande mwingine, penati ya Yao haikuwa na tatizo
Da pole sana imezidi ukubwa nakushauri uichomoe mkuuInauma sana
Haya hakusikia.Alikuwa ameenda msalani.Pale ni wawili tu.🤔kasema pia Yanga walikuwa off side..
hakuna sehemu walionewa
pia yale ni makosa ya mwamuzi wa kati..
Pia kasema ile ya kibu ni penalty.. maana kama Aucho alicheza mpira basi ilitakiwa iwe kona.
Kunywa maji mengi!Inauma sana
Kunywa pain killer...Inauma sana
Kama refa kalala ?Kipa mwizi yule kipa anatoka golini anaibia waamuzi alafu anapewa sifa jizi
Kwa maana hio Yanga alikuwa Wakufa tu tena washukuru Mungu hata walikuja kufa kwenye Penaltikasema pia Yanga walikuwa off side..
hakuna sehemu walionewa
pia yale ni makosa ya mwamuzi wa kati..
Pia kasema ile ya kibu ni penalty.. maana kama Aucho alicheza mpira basi ilitakiwa iwe kona.
MALALAMIKO F.C.Leo ktk kipindi cha Kipyenga cha mwisho, mwamuzi mkongwe Othman Kazi amechambua mikwaju ya penati katika mechi ya fainali ya ngao ya jamii na kusema kuwa ile ya Aucho na Pacome zilipaswa kurudiwa kutokana na kipa wa Simba kukiuka taratibu (kutoka mstarini kabla ya mpira kuguswa).
Kwa upande mwingine, penati ya Yao haikuwa na tatizo
Kunywa maji mengi. Maumivu yakizid muone daktariInauma sana
Ufafanuzi wao wamesema, penalty za ndani ya dk 90. Mwamuzi msaidizi ana wajibu wa kuangalia kama kipa katoka, na hapo hata mwamuzi wa kati huwa anakaa nyuma ya mpiga penalty, ili kama kukiwa na counter attack aweze kukimbia .... ila penalty za Mwishoni hamna counter attack ana mwamuzi anakaa mbele ya mpiga penalty... yy ndiyo mwnye jukumubla kuangalia huku na huku... yule msaidizi kazi yake moja tu... kuangalia kama mpira umeingia .. Hayo yamesemwa na Waamuzi wakongwe walio kuwepoYa Pacome naweza kukubali ndiyo maana picha ya penati yake sikuipost juzi ila ya Aucho ni 50/50. Kwa jicho la kawaida yule mwamuzi msaidizi ni rahisi sana kuimiss maana ni kitendo cha sekunde na kumbuka inabidi muda huo huo aangalie mpira unavyomtoka mpigaji.
Waje wale waliokuwa wanasema penati zote 4 zilitakiwa kurudiwa.
Kipa jizi linaibia penati alafu linapewa misifa ya kijinga wakati linaibia unafikiri tupo chandimu?Kama refa kalala ?
Kwenda zako kanuni ndio zinasema hivyo hivi unaujua vizuri mpira wewe au umedandia mtumbwi?yule msaidizi kazi yake moja tu... kuangalia kama mpira umeingia
Hiyo ni Technic Kama Refa hakumkamata basi ndo Simba Alisha shinda kombeLeo ktk kipindi cha Kipyenga cha mwisho, mwamuzi mkongwe Othman Kazi amechambua mikwaju ya penati katika mechi ya fainali ya ngao ya jamii na kusema kuwa ile ya Aucho na Pacome zilipaswa kurudiwa kutokana na kipa wa Simba kukiuka taratibu (kutoka mstarini kabla ya mpira kuguswa).
Kwa upande mwingine, penati ya Yao haikuwa na tatizo