Othman Kazi: Penati mbili kati ya tatu za Ngao ya jamii zilipaswa kurudiwa

Othman Kazi: Penati mbili kati ya tatu za Ngao ya jamii zilipaswa kurudiwa

Ufafanuzi wao wamesema, penalty za ndani ya dk 90. Mwamuzi msaidizi ana wajibu wa kuangalia kama kipa katoka, na hapo hata mwamuzi wa kati huwa anakaa nyuma ya mpiga penalty, ili kama kukiwa na counter attack aweze kukimbia .... ila penalty za Mwishoni hamna counter attack ana mwamuzi anakaa mbele ya mpiga penalty... yy ndiyo mwnye jukumubla kuangalia huku na huku... yule msaidizi kazi yake moja tu... kuangalia kama mpira umeingia .. Hayo yamesemwa na Waamuzi wakongwe walio kuwepo
Nashukuru kwa ufafanuzi huo. Unaona sasa ugumu ulivyo mkubwa kwa wale waamuzi kwenye situation zile
 
Leo ktk kipindi cha Kipyenga cha mwisho, mwamuzi mkongwe Othman Kazi amechambua mikwaju ya penati katika mechi ya fainali ya ngao ya jamii na kusema kuwa ile ya Aucho na Pacome zilipaswa kurudiwa kutokana na kipa wa Simba kukiuka taratibu (kutoka mstarini kabla ya mpira kuguswa).

Kwa upande mwingine, penati ya Yao haikuwa na tatizo
Imeshatoka hiyo, imebaki story tu. Dogo kadaka basi, kama unaona ni rahisi bas kakae wewe golini utoke mstarini tuone kama utadaka.


Au nasema uongo jamani wanaSimba
 
Jamani Yangu wenzangu acheni roho mbaya waacheni na wao wapumue kidogo

Jinsi tulivyowanyanyasa ndani ya dk 90 inatosha
 
Back
Top Bottom