Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Congratulations to him. Is he also a pain in the CCM's ass?Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar leo amemteua Othman Masoud Othman Sharif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad.
Uteuzi huo umefanywa na Rais kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984, na vilevile baada ya kushauriana na Chama cha ACT-Wazalendo.
Uteuzi wa Othman Sharif unaanza leo na ataapishwa kesho Machi 02, 2021 Ikulu Zanzibar.
Pia soma
- Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo
- Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aikataa katiba
- Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Z’bar aibua mazito ya Katiba Mpya
- Othman: Shein akae pembeni, Jaji Mkuu aongoze Zanzibar
- Mwanasheria Mkuu Zanzibar Akamatwa baada ya kupiga kura ya Hapana
- Aliyekuwa Mwanasheria mkuu Zanazibar: Masauni amelewa Pombe gani?
- Siri ya kutimuliwa AG wa Zanzibar siku 1 kabla ya makabidhiano ya rasimu hii hapa
Kwa misimamo yake ninavyomjua huyu asipokuwa makini !!!!!!Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar leo amemteua Othman Masoud Othman Sharif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad.
Uteuzi huo umefanywa na Rais kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984, na vilevile baada ya kushauriana na Chama cha ACT-Wazalendo.
Uteuzi wa Othman Sharif unaanza leo na ataapishwa kesho Machi 02, 2021 Ikulu Zanzibar.
Pia soma
- Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo
- Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aikataa katiba
- Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Z’bar aibua mazito ya Katiba Mpya
- Othman: Shein akae pembeni, Jaji Mkuu aongoze Zanzibar
- Mwanasheria Mkuu Zanzibar Akamatwa baada ya kupiga kura ya Hapana
- Aliyekuwa Mwanasheria mkuu Zanazibar: Masauni amelewa Pombe gani?
- Siri ya kutimuliwa AG wa Zanzibar siku 1 kabla ya makabidhiano ya rasimu hii hapa
Hiyo nafasi ni ceremonial; hatakuwa na madhara yoyote. Mamlaka anayo rais na makamu wa pili, kama Samia na Majaliwa walivyo.Safi Sana. Huyu jamaa ni muumini wa mamlaka kamili ya Zanzibar na wazanzibari, hatakagi ujinga huyu.
Aliitupilia mbali nafasi yake ya kuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar wakati wa mjadala wa katiba mpya kwa kusimamia anachokiamini.
Bravo ACT!
Mnazi mmoja very hardcoreNi nani huyu?
Ni gaidi!🤣🤣🤣Alishawahi kufukuzwa bungeni mara kadhaa!Huyo siyo jihadist kweli.
🤣🤣🤣Huyu hafai ataharibu nchi
Ufalme umetokea wapiDah Kule Unguja hamtapata Mwamba Kama Maalimu Jamaa alikua Mwamba kweli kweli sio mchezo...Ila nae alikosea alitakiwa azae sana hasa kidume kije kubeba maono yake angeoa wake 4 dini yetu inaruhusu.
Jamaa haamini sana kwenye kuzaa, nakumbuka miaka ya themanini tukiwa kwenye ziara yake aliwaambia wakazi wa Mbulu waliomhoji kuhusu kupatiwa umeme; "Umeme wa nini huku? Laleni saa 12 jioni mzaane kama kuku"Dah Kule Unguja hamtapata Mwamba Kama Maalimu Jamaa alikua Mwamba kweli kweli sio mchezo...Ila nae alikosea alitakiwa azae sana hasa kidume kije kubeba maono yake angeoa wake 4 dini yetu inaruhusu.
Kosa lilishafanyika na ACT ni changaUsiamini Sana ktk nguvu ya mtu. Nguvu ya taasisi ndiyo habari ya mjini