Othman Masoud Othman Sharif ateuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

Othman Masoud Othman Sharif ateuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar leo amemteua Othman Masoud Othman Sharif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad.

Uteuzi huo umefanywa na Rais kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984, na vilevile baada ya kushauriana na Chama cha ACT-Wazalendo.

Uteuzi wa Othman Sharif unaanza leo na ataapishwa kesho Machi 02, 2021 Ikulu Zanzibar.

Pia soma

Congratulations to him. Is he also a pain in the CCM's ass?
 
Othman Masoud Othman Shariff
FB_IMG_1614597142537.jpg
 
Hapa kazi tu watu wanaojiamini ndio anaowahitaji Mheshimiwa Magufuli ,hapa tayari yanayofurahisha yanazidi kushika kasi.
Ila cheo alichonacho hakina mashiko si ajabu mkamuona anatembea na mikasi ,CCM bana ! Nina wasiwasi ukoo wa Mwinyi unataka kuwa na ufalme pale Zanzibar,yaani hati miliki ya zanzibar hawa jamaa wanatuacha sasa, wanasema furaha yao watajenga jumba moja refu kuliko lile la uarabuni watakuwa wanatuona huku Tanganyika.
Bye bye Tanganyika ,fanyeni muwarudishe mashee ili haki itendeke,Sheni ametuletea mashee wakati awatuhusu, Magu mrudishie Sheni mashee wake. Saa mbaya tukae chonjo tujenge Tanganyika yetu na Magufuli wetu.
 
Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar leo amemteua Othman Masoud Othman Sharif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad.

Uteuzi huo umefanywa na Rais kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984, na vilevile baada ya kushauriana na Chama cha ACT-Wazalendo.

Uteuzi wa Othman Sharif unaanza leo na ataapishwa kesho Machi 02, 2021 Ikulu Zanzibar.

Pia soma

Kwa misimamo yake ninavyomjua huyu asipokuwa makini !!!!!!
Naomba niishie hapo.
 
Safi Sana. Huyu jamaa ni muumini wa mamlaka kamili ya Zanzibar na wazanzibari, hatakagi ujinga huyu.

Aliitupilia mbali nafasi yake ya kuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar wakati wa mjadala wa katiba mpya kwa kusimamia anachokiamini.

Bravo ACT!
Hiyo nafasi ni ceremonial; hatakuwa na madhara yoyote. Mamlaka anayo rais na makamu wa pili, kama Samia na Majaliwa walivyo.
 
Dah Kule Unguja hamtapata Mwamba Kama Maalimu Jamaa alikua Mwamba kweli kweli sio mchezo...Ila nae alikosea alitakiwa azae sana hasa kidume kije kubeba maono yake angeoa wake 4 dini yetu inaruhusu.
Ufalme umetokea wapi
 
Dah Kule Unguja hamtapata Mwamba Kama Maalimu Jamaa alikua Mwamba kweli kweli sio mchezo...Ila nae alikosea alitakiwa azae sana hasa kidume kije kubeba maono yake angeoa wake 4 dini yetu inaruhusu.
Jamaa haamini sana kwenye kuzaa, nakumbuka miaka ya themanini tukiwa kwenye ziara yake aliwaambia wakazi wa Mbulu waliomhoji kuhusu kupatiwa umeme; "Umeme wa nini huku? Laleni saa 12 jioni mzaane kama kuku"
 
Back
Top Bottom