chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Vipi inaonekana aliwahi kukuharibu na wewe eti[emoji3]Huyu hafai ataharibu nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi inaonekana aliwahi kukuharibu na wewe eti[emoji3]Huyu hafai ataharibu nchi
Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar leo amemteua Othman Masoud Othman Sharif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad.
Uteuzi huo umefanywa na Rais kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984, na vilevile baada ya kushauriana na Chama cha ACT-Wazalendo.
Uteuzi wa Othman Sharif unaanza leo na ataapishwa kesho Machi 02, 2021 Ikulu Zanzibar.
Pia soma
- Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo
- Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aikataa katiba
- Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Z’bar aibua mazito ya Katiba Mpya
- Othman: Shein akae pembeni, Jaji Mkuu aongoze Zanzibar
- Mwanasheria Mkuu Zanzibar Akamatwa baada ya kupiga kura ya Hapana
- Aliyekuwa Mwanasheria mkuu Zanazibar: Masauni amelewa Pombe gani?
- Siri ya kutimuliwa AG wa Zanzibar siku 1 kabla ya makabidhiano ya rasimu hii hapa
Safi Sana. Huyu jamaa ni muumini wa mamlaka kamili ya Zanzibar na wazanzibari, hatakagi ujinga huyu.
Aliitupilia mbali nafasi yake ya kuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar wakati wa mjadala wa katiba mpya kwa kusimamia anachokiamini.
Bravo ACT!
Nchi ipi?Huyu hafai ataharibu nchi
Huyu hafai ataharibu nchi
Uyu afai anamisimamo mikali ya serikali tatu.
Safi Sana. Huyu jamaa ni muumini wa mamlaka kamili ya Zanzibar na wazanzibari, hatakagi ujinga huyu.
Aliitupilia mbali nafasi yake ya kuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar wakati wa mjadala wa katiba mpya kwa kusimamia anachokiamini.
Bravo ACT!
MATAGA NJOONI KUNA HABARI MBAYA HUKU.
ILA MWINYI MUNGU ANAKUONA UNAJIFANYA CCM KUMBE MOYONI NI ACT.
MATAGA NJOONI KUNA HABARI MBAYA HUKU.
ILA MWINYI MUNGU ANAKUONA UNAJIFANYA CCM KUMBE MOYONI NI ACT.
Mbawala au Mbarawa?Huyu jamaa anafa sn maana mpk alifukuzwa kazi kwa kutetea maslahi ya Zanzibar siyo akina Mbawala njaa tupu
A Gangstar of Mnazi MmojaMnazi mmoja very hardcore
Mnazi Mmoja FinestMnazi mmoja very hardcore
Mbona huo mshale umeupeleka,mpaka kwenye suluari hapo pametuna
Sijui hata jina lake vizuri mkuu majina ya Zanzibar ni changamotoMbawala au Mbarawa?
Ni Makame Mbarawa.Sijui hata jina lake vizuri mkuu majina ya Zanzibar ni changamoto
Safi sana, tutafaidika sana na madini yake adhimu, huyu nikisoma maandiko yake pia kusikiliza hotuba/ mihadhara yake ya kisomi huwa najifunza mengi sana. ACT-Wazalendo imetuletea kwa Zanzibar, Tanganyika, Tanzania na Afrika kwa ujumla.