Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Asante mkuuNi Makame Mbarawa.
Mbawala wanapatikana Songea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuNi Makame Mbarawa.
Mbawala wanapatikana Songea
[emoji23][emoji23][emoji23]MATAGA NJOONI KUNA HABARI MBAYA HUKU.
ILA MWINYI MUNGU ANAKUONA UNAJIFANYA CCM KUMBE MOYONI NI ACT.
Hakuna CCM, kuna Dola.Mkuu kosa lako kubwaaaa Ni kuwa underestimate CCM. Ndo mnapofeli Hapo
Tunawahitaji sana watu wa aina hyo kudhibiti udikteta uchwara unaoshamiri katika jamhuri ya sokomoniHuyo siyo jihadist kweli.
Nimecheka sana mkuu, Mbawala [emoji28][emoji28]Ni Makame Mbarawa.
Mbawala wanapatikana Songea huko.
Nataka kucheka lakini naacha kwa sababu naipenda nchi yangu kuliko misukule ya aina hii na kampuni yao.Huyu hafai ataharibu nchi
Very very itching..!Congratulations to him. Is he also a pain in the CCM's ass?
Huyo siyo jihadist kweli.
Maskini "Unatafunwa"[emoji134]Uyu afai anamisimamo mikali ya serikali tatu.
Wewe ndo hufai! Mtu keshakuwa hadi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wewe nani hadi useme hafai.Umezoea siasa za kijinga na vurugu ndo maana unaona hafai.Huyu jamaa, mbna km hafai