The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Asante kwa taarifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajidanganya.Hiyo nyundo waliopigwa CCM ni nzito.
Usiyempenda kaja
Sura yake tu inaonesha ni jihadistHuyo siyo jihadist kweli.
Acha ungese mamaHuyu hafai ataharibu nchi
Hebu tueleze atakavyoiharibu nchiHuyu hafai ataharibu nchi
Mwinyi is wise enough to handle all of that. Congratulations to them.Radical
Ataharibu uchi gani?Huyu hafai ataharibu nchi
... umezaliwa lini? Kipindi cha mchakato wa Katiba Mpya (Katiba ya Warioba) ulishapata akili? I think no; otherwise usingeuliza hilo swali. In short, alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar akatimuliwa (2014) kwa sababu ya "kutofuatiana na wenzake (wenye chama/serikali)".Ana wasifu gani?
Tulia kundu weHuyo siyo jihadist kweli.
Tulia kundu we
Kweli Mwinyi kibokoRais Hussein Mwinyi wa Zanzibar leo amemteua Othman Masoud Othman Sharif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad.
Uteuzi huo umefanywa na Rais kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984, na vilevile baada ya kushauriana na Chama cha ACT-Wazalendo.
Uteuzi wa Othman Sharif unaanza leo na ataapishwa kesho Machi 02, 2021 Ikulu Zanzibar.
Pia soma
- Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo
- Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aikataa katiba
- Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Z’bar aibua mazito ya Katiba Mpya
- Othman: Shein akae pembeni, Jaji Mkuu aongoze Zanzibar
- Mwanasheria Mkuu Zanzibar Akamatwa baada ya kupiga kura ya Hapana
- Aliyekuwa Mwanasheria mkuu Zanazibar: Masauni amelewa Pombe gani?
- Siri ya kutimuliwa AG wa Zanzibar siku 1 kabla ya makabidhiano ya rasimu hii hapa
Lazima awalaze na VIATU.Usiyempenda kaja
View attachment 1714757
Ayakuhusu ya zanzibar ma... ya wa kisiasa.Huyu hafai ataharibu nchi