GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Tanganyika haitakufa.IGA imetamka wazi kwamba itaendelea kuheshimika milele iwe Serikali ya chama kingine cha siasa au hata jina la nchi libadilike. Hiyo Tanganyika yako unayotaka kudai itakusaidia nini wakati Mbarawa na timu yake ya Wazanzibari washatufix?