Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brother Unguja na pemba hadi mombasa na pwani yake yote ilikua ni zanzibar.Ati nini????
Mimi ni Mtanzania halisi na Kiswahili nakifaham haswa!Sina uhakika ila nafikiri tu.
Vipi kuhusu confusion ya l na r?mbona watanzania wengi hawajui kutofautisha?Ofcorse ni Baba wa muziki, na hayo maneno yake anayoongea yanaongeza ladha ya nyimbo lakini sio yote nnayoyaelewa
Hahaa, inaelekea historia unaijua vilivyoSasa hapa ndio nlipikua napasubiri.
Heheeee!!!kwn mombasa kulikuwa n nakumatt moja...nitajie hyo nakumatt uliyoenda ni ipiYa mombassa kipindi kabla haijakufa
Sultan janja janja sana...alikuja akanyakuwa tu...sasa cheki distance ya mombasa na zenjiBrother Unguja na pemba hadi mombasa na pwani yake yote ilikua ni zanzibar.
Nafkir hao hawaelewi na ndio maana hadi hii leo tunaoana sana na watu wa huko pia tuko na ma aunt na wajomba wengi sana ni na bibi huko.Hahaa, inaelekea historia unaijua vilivyo
Vipi kuhusu confusion ya l na r?mbona watanzania wengi hawajui kutofautisha?
Hata huyo wanayemuita simba ana hayo matatizo...lugha km si yenu si yenu tu...Vipi kuhusu confusion ya l na r?mbona watanzania wengi hawajui kutofautisha?
Hawa nafkiri hawajui kma kuna tanzania bara na tanzania visiwani ambayo ni zanzibar.Sio kweli, sio wengi, ila sikatai Kama wapo baadhi wanaoshindwa kutofautisha, na sio tatizo la Tz Pekee ni Dunia nzima
Kabisa, Niliishi Tanga kipindi flani nilishangaa sana hilo swala nilipouliza inakuaje wananiambia wa Mombasa ni ndugu zetu wa damuNafkir hao hawaelewi na ndio maana hadi hii leo tunaoana sana na watu wa huko pia tuko na ma aunt na wajomba wengi sana ni na bibi huko.
Si baadhi..karibia wote...Sio kweli, sio wengi, ila sikatai Kama wapo baadhi wanaoshindwa kutofautisha, na sio tatizo la Tz Pekee ni Dunia nzima
MuunganoHawa nafkiri hawajui kma kuna tanzania bara na tanzania visiwani ambayo ni zanzibar.
Si baadhi..karibia wote...
Sawa sina ubishi. Tatizo ninyi watanzania kwa sababu mnaongea kiswahili sanifu mnadhania kwamba nyinyi ndio waswahili original. Waswahili original wanatokea Mombasa, Pemba na Zanzibari kama sijakosea.Mimi ni Mtanzania halisi na Kiswahili nakifaham haswa!
Nami mbna watanzania wote ninao wafahamu wana hayo matatizoSio kweli, mbona watu nnao wafaham wote 90% hawana hilo tatizo?
Mkuu Zanzibar lahaja pia za kiswahili kma huko.Ndo hvo...mwanzo ghetto kwao..ndio hupaita uswahilini...
Wakileta list km niliyotoa ya msa kuhusu kiswahili nitag...