Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Kabisa mim nilishawahi kufika hadi huko mombasa kwa jamaa zangu huko.Kabisa, Niliishi Tanga kipindi flani nilishangaa sana hilo swala nilipouliza inakuaje wananiambia wa Mombasa ni ndugu zetu wa damu