PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Otile anajua na mwezi useme tu hana nyota...
Kama hana nyota abonyeze leri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Otile anajua na mwezi useme tu hana nyota...
Mkuu ile kitu ni fireIle Jeraha mimi naikubali sana...
Habari zenu wakuu,
Huyu mkenya Otile brown nadhani Yuko underrated Sana, Maana nyimbo zake Kali lakini hajulikani kiivyo. Kuna nyimbo aliitoa na Sanaipendi Tande inaitwa chaguo la Moyo kusema ukweli waliua.
Yani nyimbo tamu hata Ukiwa single unatamani kufall in Love, Verse na sauti zao ndo kabisaaa. Bonge la RnB, Unaeza ukaweka repeat siku nzima.
Naupenda huu mstari, Mshkaji wangu wa maisha oh baby I Love you.
Otile Yuko poa naamini iko siku atafika panapomfaa
Jamaa yuko poa sana na anjua kuimvaHabari zenu wakuu,
Huyu mkenya Otile brown nadhani Yuko underrated Sana, Maana nyimbo zake Kali lakini hajulikani kiivyo. Kuna nyimbo aliitoa na Sanaipendi Tande inaitwa chaguo la Moyo kusema ukweli waliua.
Yani nyimbo tamu hata Ukiwa single unatamani kufall in Love, Verse na sauti zao ndo kabisaaa. Bonge la RnB, Unaeza ukaweka repeat siku nzima.
Naupenda huu mstari, Mshkaji wangu wa maisha oh baby I Love you.
Hata ile kolabo na Alikiba ni balaa Dah jamaa kaimbaHabari zenu wakuu,
Huyu mkenya Otile brown nadhani Yuko underrated Sana, Maana nyimbo zake Kali lakini hajulikani kiivyo. Kuna nyimbo aliitoa na Sanaipendi Tande inaitwa chaguo la Moyo kusema ukweli waliua.
Yani nyimbo tamu hata Ukiwa single unatamani kufall in Love, Verse na sauti zao ndo kabisaaa. Bonge la RnB, Unaeza ukaweka repeat siku nzima.
Naupenda huu mstari, Mshkaji wangu wa maisha oh baby I Love you.
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisa. Wakenya hawawapi nafasi wasanii wao wanaoimba RnB dizain ya kina Otile, wao wanapendelea genge tone. Lakini Cha ajabu bongo flava wanaipenda na wanaipa nafasi Sana kushinda local artistsHawa wakenya ndio wanafanya aonekane hajui wakati jamaa linajua kinoma.
Wao manyimbo yao yale"fukuza mapepo" ndo wanaona dili..
Huyu tumlete bongo awakimbize mabishow akina kusah kazi kulia lia tu..
Naskia tu wasanii wao eti mtu anaitwa x ray...![emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisa. Wakenya hawawapi nafasi wasanii wao wanaoimba RnB dizain ya kina Otile, wao wanapendelea genge tone. Lakini Cha ajabu bongo flava wanaipenda na wanaipa nafasi Sana kushinda local artists
Ni mtzsikuwa naupa nafasi huu wimbo kwenye masikio yangu ila kuna siku nilihudhuria harusi ya ndugu yangu ,basi kuna muda maharusi wakainuliwa kwenye viti na ndipo dj akaupiga huu wimbo maharusi waucheze lkn pia ukawa unaonekana kwenye screen za ukumbini bana weeeeeeee.....kuna hisia flani nilikuwa nazipata kutokana na ile moment kiujumla yani na ugumu wangu wote nikajikuta natabasamu kuanzia wimbo unaanza mpaka unaisha na kujiapia nitaupakua kwenye computer yangu nikirudi nyumbani,niliporudi home ajabu wimbo nilikuwa nao kumbe sikuwa naupa nafasi tu...jamaa anajua sana anachonishangaza pia lafudhi yake kama mtanzania tu kiswahili kimenyooka.
womanKwakweli anajitahidi sana, naupenda huo na Aisha.