DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Kila colabo Yao Ni Kali sanaHalafu najiuliza huyu jovial ni demu wake au?
Nyimbo nyingi wanaimba wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila colabo Yao Ni Kali sanaHalafu najiuliza huyu jovial ni demu wake au?
Nyimbo nyingi wanaimba wote.
Hujamfatilia vizurBinafsi naona huyu jamaa ni overrated. Bado sana na ni wa kawaida sana. Jina kubwa kweli ila bado. Akaze buti. Hata katika nyimbo anazoimba hakuna uniqueness kiasi cha kusema unamsikia yeye. Nameless, redsan, sautsol, bahati, nk. Wakiimba unajua ni sauti ya nani. Huyu jamaa bado
Otile bado sanaaaa c msanii wa kumjadili kabisa hana maajabu.Binafsi naona huyu jamaa ni overrated. Bado sana na ni wa kawaida sana. Jina kubwa kweli ila bado. Akaze buti. Hata katika nyimbo anazoimba hakuna uniqueness kiasi cha kusema unamsikia yeye. Nameless, redsan, sautsol, bahati, nk. Wakiimba unajua ni sauti ya nani. Huyu jamaa bado
Wewe ndo umesema kweli Umu ndan watu wana mahaba na otile ila kuhusu mziki wake msimsingizie ni Mweupe kabisa[emoji1787]Nampenda yeye mwenyewe binafsi [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Habari zenu wakuu,
Huyu mkenya Otile brown nadhani Yuko underrated Sana, Maana nyimbo zake Kali lakini hajulikani kiivyo. Kuna nyimbo aliitoa na Sanaipendi Tande inaitwa chaguo la Moyo kusema ukweli waliua.
Yani nyimbo tamu hata Ukiwa single unatamani kufall in Love, Verse na sauti zao ndo kabisaaa. Bonge la RnB, Unaeza ukaweka repeat siku nzima.
Naupenda huu mstari, Mshkaji wangu wa maisha oh baby I Love you.
Otile kipindi kile anakula Vera sindika nilimchukulia pia sana ila mpaka sasa Kenya sijaona wa Kumfikiaaa...!! Anajua na nusuuu...Nyimbo kali jamaa anajua huwezi kudhania unaweza jua ni bishoo tu hajui kuimba
Una matatizo ya akili wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Otile bado sanaaaa c msanii wa kumjadili kabisa hana maajabu.
Wewe unaujua Mziki naungana na wewe, Otile ni level za akina Beka flavour jina kubwa uwezo...🤏
Kinachowachanganya hawa ni ile kuona mjanja kati ya washamba. Otile anabebwa na Lugha,Colabo na swaga.
Lakini kiukwel anazidiwa hata na Bahati tena mbali sana.
Content na Upekee ndio maajabu ya Bahat.Una matatizo ya akili wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo bahati ana nyimbo gani ya maana zaidi ya aliyoahirikishwa na Ray vanny...????
Onja hizi: Wa nani (Toto si toto), Najua nk. sikiliza hizo nyimbo ndipo utaona Bahati ni Artist mwenye maajabu yake kuanzia idea mpaka style ya kuflow.Una matatizo ya akili wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo bahati ana nyimbo gani ya maana zaidi ya aliyoahirikishwa na Ray vanny...????
Msanii wake..Halafu najiuliza huyu jovial ni demu wake au?
Nyimbo nyingi wanaimba wote.
Sanaipei.Hivi anaitwa sanaipei au sanaeipendi?
ila sio kwa kusikiliza ndio u fall kwa mapenzi huo ni uzembe 😀😀Yuko vizuri
Unajikuta ushafall tu bila kujielewa, nyimbo ikiisha ndio akili zinarudi😂ila sio kwa kusikiliza ndio u fall kwa mapenzi huo ni uzembe 😀😀
Hiyo hatari kama wimbo ukikufanya ujidai unapenda ujue unaelekea kubaya 😀😀😀Unajikuta ushafall tu bila kujielewa, nyimbo ikiisha ndio akili zinarudi😂
Asa tutafanyaje, wacha tujifariji tu hivyo hivyo maisha yasongeHiyo hatari kama wimbo ukikufanya ujidai unapenda ujue unaelekea kubaya 😀😀😀