Otile Brown na Sanaipendi waliua kwenye nyimbo ya chaguo la Moyo

Otile Brown na Sanaipendi waliua kwenye nyimbo ya chaguo la Moyo

Binafsi naona huyu jamaa ni overrated. Bado sana na ni wa kawaida sana. Jina kubwa kweli ila bado. Akaze buti. Hata katika nyimbo anazoimba hakuna uniqueness kiasi cha kusema unamsikia yeye. Nameless, redsan, sautsol, bahati, nk. Wakiimba unajua ni sauti ya nani. Huyu jamaa bado
Hujamfatilia vizur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naona huyu jamaa ni overrated. Bado sana na ni wa kawaida sana. Jina kubwa kweli ila bado. Akaze buti. Hata katika nyimbo anazoimba hakuna uniqueness kiasi cha kusema unamsikia yeye. Nameless, redsan, sautsol, bahati, nk. Wakiimba unajua ni sauti ya nani. Huyu jamaa bado
Otile bado sanaaaa c msanii wa kumjadili kabisa hana maajabu.
Wewe unaujua Mziki naungana na wewe, Otile ni level za akina Beka flavour jina kubwa uwezo...🤏

Kinachowachanganya hawa ni ile kuona mjanja kati ya washamba. Otile anabebwa na Lugha,Colabo na swaga.

Lakini kiukwel anazidiwa hata na Bahati tena mbali sana.
 
Nampenda yeye mwenyewe binafsi [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Wewe ndo umesema kweli Umu ndan watu wana mahaba na otile ila kuhusu mziki wake msimsingizie ni Mweupe kabisa[emoji1787]
 
Habari zenu wakuu,

Huyu mkenya Otile brown nadhani Yuko underrated Sana, Maana nyimbo zake Kali lakini hajulikani kiivyo. Kuna nyimbo aliitoa na Sanaipendi Tande inaitwa chaguo la Moyo kusema ukweli waliua.

Yani nyimbo tamu hata Ukiwa single unatamani kufall in Love, Verse na sauti zao ndo kabisaaa. Bonge la RnB, Unaeza ukaweka repeat siku nzima.

Naupenda huu mstari, Mshkaji wangu wa maisha oh baby I Love you.


Hivi anaitwa sanaipei au sanaeipendi?
 
Kwamba beka na otile!!!! Jamani jamani😂😂😂😂
 
Otile bado sanaaaa c msanii wa kumjadili kabisa hana maajabu.
Wewe unaujua Mziki naungana na wewe, Otile ni level za akina Beka flavour jina kubwa uwezo...🤏

Kinachowachanganya hawa ni ile kuona mjanja kati ya washamba. Otile anabebwa na Lugha,Colabo na swaga.

Lakini kiukwel anazidiwa hata na Bahati tena mbali sana.
Una matatizo ya akili wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo bahati ana nyimbo gani ya maana zaidi ya aliyoahirikishwa na Ray vanny...????
 
Una matatizo ya akili wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo bahati ana nyimbo gani ya maana zaidi ya aliyoahirikishwa na Ray vanny...????
Content na Upekee ndio maajabu ya Bahat.
 
Una matatizo ya akili wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo bahati ana nyimbo gani ya maana zaidi ya aliyoahirikishwa na Ray vanny...????
Onja hizi: Wa nani (Toto si toto), Najua nk. sikiliza hizo nyimbo ndipo utaona Bahati ni Artist mwenye maajabu yake kuanzia idea mpaka style ya kuflow.
Achana na huyo Brown wa kubwabwaja verse za kihistoria.
 
kwakweli sijawahi kujuta kusikiliza songs zake kijana anajua,narudia anajua
 
Back
Top Bottom