Nyimbo zake Kama solo artist ndio kali sana, kuliko hizo za kushirikishaAna ngoma kali mno, ila bado sijaujua uwezo wake halisi kwa maana anapenda kushirikisha wakali mara nyingi
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nina hd,Kila nikipata nafasi siachi kwenda YouTube kuharibu MB zangu kwenye nyimbo za huyu mtu,,, anaijua Sanaa Hadi raha
Nikupe namba yake[emoji4]Nampenda yeye mwenyewe binafsi [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Kuna na ile CRUSH,tamu balaaa[emoji39]Such kinda of love; ninaupenda mnoooooo
Otile anajua
Kilichokupa hisia ni ile sound stage performance. Tafta mziki mzuri nyumbani kila nyimbo itakuwa nzuri.sikuwa naupa nafasi huu wimbo kwenye masikio yangu ila kuna siku nilihudhuria harusi ya ndugu yangu ,basi kuna muda maharusi wakainuliwa kwenye viti na ndipo dj akaupiga huu wimbo maharusi waucheze lkn pia ukawa unaonekana kwenye screen za ukumbini bana weeeeeeee.....kuna hisia flani nilikuwa nazipata kutokana na ile moment kiujumla yani na ugumu wangu wote nikajikuta natabasamu kuanzia wimbo unaanza mpaka unaisha na kujiapia nitaupakua kwenye computer yangu nikirudi nyumbani,niliporudi home ajabu wimbo nilikuwa nao kumbe sikuwa naupa nafasi tu...jamaa anajua sana anachonishangaza pia lafudhi yake kama mtanzania tu kiswahili kimenyooka.
Kweli kabisa mkuu.Kilichokupa hisia ni ile sound stage performance. Tafta mziki mzuri nyumbani kila nyimbo itakuwa nzuri.
Na hakai sana anatoa chuma.Otile brown Hajawahi kutoa Boko,
Kila nyimbo yake Kali Sana,
Halafu najiuliza huyu jovial ni demu wake au?Nilianza kulia kwa mara ya kwanza kwenye mapenzi mwaka 2016.
Kuna demu wangu mmoja hivi alikuwa anaupenda wimbo wa huyu jamaa aliomshirikisha Baraka Da Prince (kipindi nae anang'aa) unaitwa NISEME NAWE!
Siku nakuja kuwa mbali na huyo demu kwa mara ya kwanza toka tuanze mahusiano nililia mchana na usiku kila nikipiga au kuusikia huo wimbo au kupita maeneo ambayo tulikuwa tunapenda kukaa na manzi!
Tokea hapo nikamjua na nikawa namkubali sana Otile.
Ila wanaendana sana na Jovial... Sijawahi jutia kuhusu collaboration yao!
Safi sanaNina hd,
imejaa ngoma zote za otile tangu akiwa underground [emoji4]
Umemaliza kila kitu kibabe.Kilichokupa hisia ni ile sound stage performance. Tafta mziki mzuri nyumbani kila nyimbo itakuwa nzuri.
Kuna nyimbo ni za kawaida until uzisikie kwenye kinu cha maana. Mfano nyimbo ya Utaniua ua ya Jux ukiisikiliza kwenye mashine ya maana ni shidaKweli kabisa mkuu.
Kuna wimbo mmoja hiv wa Chike na Flavour unaitwa HARD TO FIND nilikuwa nauona wa kawaida, ila siku nilipokuja kuusikia kwenye sound kubwa... asee! niliuelewa sana!
Hello Big sis....Nahitaji kukufikia PMSuch kinda of love; ninaupenda mnoooooo
Otile anajua
TayariHello Big sis....Nahitaji kukufikia PM
Oooh kumbe unaitwa hivyo!! 🤣woman
hahahahahaaa,,na watu wengi wanauita hivyo...Oooh kumbe unaitwa hivyo!! 🤣
Asante
Kiswahili chake uwez mdhania Kama Ni mkenya, mi pia sikudhan Kama Ni mkenyaNa hakai sana anatoa chuma.
Ile na harmonize naona video ndio walizingua kidogo ilikuwa poor ila audio ni moto.
Halafu jamaa kiswahili chake kimetuliaa sio kama yale kina Willy Paul sijui pumba tupu.