Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
UmenifananishaSi nyie ndo mlisemaga Harmonize akiwa nje ya WCB hampati Marioo au sio nyie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Samsung A10s with fingerprint underrated
we dogo kwanini nyie nyumbu huwa hampendi kukubaliana na ukweli kuwa anaejua anajua na nasema tasnia ya habari na burudani huyu jamaa mayowela anajua na habahatishiPunguza shobo kwa mwanaume mwenzako, naona posts kibao lazima umtag.
we dogo kwanini nyie nyumbu huwa hampendi kukubaliana na ukweli kuwa anaejua anajua na nasema tasnia ya habari na burudani huyu jamaa mayowela anajua na habahatishi
mbona nyie mnaleta shobo kwa DJ sisi hatusemi kitu
acha uzwazwa kijana utaja pakatwa dadadadeki
Sent using Jamii Forums mobile app
katika vitu vyote demu ndo umeona kitu cha maana au sio?Ni ajabu sana, kila mara mwanaume unamwomba mwanaume mwenzio akuelekeze kitu kile kile kila mara.
Kwa hiyo hata demu wako akikuuliza kitu inabidi umpigie mshkaji ili akuelekezeni.
Jifunze kutumia akili yako, kwa umri wako unatakiwa atleast uwe unajua ni wapi unaweza kupata taarifa basics na si kila mara kumrefer mwanaume mwenzako.
View attachment 1409484
kumbe nabishana na amateurNi ajabu sana, kila mara mwanaume unamwomba mwanaume mwenzio akuelekeze kitu kile kile kila mara.
Kwa hiyo hata demu wako akikuuliza kitu inabidi umpigie mshkaji ili akuelekezeni.
Jifunze kutumia akili yako, kwa umri wako unatakiwa atleast uwe unajua ni wapi unaweza kupata taarifa basics na si kila mara kumrefer mwanaume mwenzako.
View attachment 1409484
katika vitu vyote demu ndo umeona kitu cha maana au sio?
wewe ni boya tu katika kila sekta tumezidiana hatuwezi kufanana kamwe hata wewe unajifanya mjanja lakini bado unaendelea kujifunza ndo maana mpaka leo unavoongelea utajiri kibongobongo utam refer Dr Mengi au Bakhresa jifunze kukubali kujifunza pale ulipo zidiwa usijifanye wewe Joker wakat hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
uelewa wako ni mdogo sana we nyumbu utaendelea kuwa mjuaji wa nyuma ya keyboardNajua somo langu umelielewa.
Nitaendelea kuona kama utakuwa unamwita jamaa.
uelewa wako ni mdogo sana we nyumbu utaendelea kuwa mjuaji wa nyuma ya keyboard
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe unaweza kutafta pesa jee umefikia kiwango cha kumiliki pesa anayomiliki Bakhresa?Hakuna mahali nilipokwambia uelewa wangu ni mkubwa.
Isipokuwa nakushauri kuishughulisha akili yako, acha kuwasumbua watu vitu unavyoweza kuvijua mwenyewe kwa usahihi. Usipende kutafuniwa.
wewe unaweza kutafta pesa jee umefikia kiwango cha kumiliki pesa anayomiliki Bakhresa?
Sent using Jamii Forums mobile app
ugali ni uleule tofauti ni sahani tuUnapanua magoli, unaweza kurelate hili swali na tulichokuwa tunakijadili?
ugali ni uleule tofauti ni sahani tu
jiongeze tu fikra yako ni finyu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Rayvanny ni msanii mkubwa mbona umemuita underrated kwa kigezo kipi?CCM - Overrated
Yanga - Overrated
Rayvanny - Underrated
Nyonyoma - Underrated
Anatakiwa kuchukuliwa zaidi ya anavyochukuliwa sasaRayvanny ni msanii mkubwa mbona umemuita underrated kwa kigezo kipi?