Overrated na Underrated

Overrated na Underrated

Punguza shobo kwa mwanaume mwenzako, naona posts kibao lazima umtag.
we dogo kwanini nyie nyumbu huwa hampendi kukubaliana na ukweli kuwa anaejua anajua na nasema tasnia ya habari na burudani huyu jamaa mayowela anajua na habahatishi

mbona nyie mnaleta shobo kwa DJ sisi hatusemi kitu

acha uzwazwa kijana utaja pakatwa dadadadeki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we dogo kwanini nyie nyumbu huwa hampendi kukubaliana na ukweli kuwa anaejua anajua na nasema tasnia ya habari na burudani huyu jamaa mayowela anajua na habahatishi

mbona nyie mnaleta shobo kwa DJ sisi hatusemi kitu

acha uzwazwa kijana utaja pakatwa dadadadeki

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni ajabu sana, kila mara mwanaume unamwomba mwanaume mwenzio akuelekeze kitu kile kile kila mara.

Kwa hiyo hata demu wako akikuuliza kitu inabidi umpigie mshkaji ili akuelekezeni.

Jifunze kutumia akili yako, kwa umri wako unatakiwa atleast uwe unajua ni wapi unaweza kupata taarifa basics na si kila mara kumrefer mwanaume mwenzako.

Screenshot_20200405-195202_Chrome.jpg
 
Joti anatumia nguvu nyingi kuchekesha - overrated
Idriss sultan - overrated.
Wema sepetu - overrated
Jpm - overrated


Maua sama - underrated
 
Ni ajabu sana, kila mara mwanaume unamwomba mwanaume mwenzio akuelekeze kitu kile kile kila mara.

Kwa hiyo hata demu wako akikuuliza kitu inabidi umpigie mshkaji ili akuelekezeni.

Jifunze kutumia akili yako, kwa umri wako unatakiwa atleast uwe unajua ni wapi unaweza kupata taarifa basics na si kila mara kumrefer mwanaume mwenzako.

View attachment 1409484
katika vitu vyote demu ndo umeona kitu cha maana au sio?
wewe ni boya tu katika kila sekta tumezidiana hatuwezi kufanana kamwe hata wewe unajifanya mjanja lakini bado unaendelea kujifunza ndo maana mpaka leo unavoongelea utajiri kibongobongo utam refer Dr Mengi au Bakhresa jifunze kukubali kujifunza pale ulipo zidiwa usijifanye wewe Joker wakat hamna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ajabu sana, kila mara mwanaume unamwomba mwanaume mwenzio akuelekeze kitu kile kile kila mara.

Kwa hiyo hata demu wako akikuuliza kitu inabidi umpigie mshkaji ili akuelekezeni.

Jifunze kutumia akili yako, kwa umri wako unatakiwa atleast uwe unajua ni wapi unaweza kupata taarifa basics na si kila mara kumrefer mwanaume mwenzako.

View attachment 1409484
kumbe nabishana na amateur
Screenshot_20200405-201524.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika vitu vyote demu ndo umeona kitu cha maana au sio?
wewe ni boya tu katika kila sekta tumezidiana hatuwezi kufanana kamwe hata wewe unajifanya mjanja lakini bado unaendelea kujifunza ndo maana mpaka leo unavoongelea utajiri kibongobongo utam refer Dr Mengi au Bakhresa jifunze kukubali kujifunza pale ulipo zidiwa usijifanye wewe Joker wakat hamna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Najua somo langu umelielewa.

Nitaendelea kuona kama utakuwa unamwita jamaa.
 
Back
Top Bottom