Oya shituka betting ni uteja

Oya shituka betting ni uteja

Bet kistarabu, usiifanye betting ni ajira.. yaani piga mishe zako kwa bidii ila uwe una bet kawaida bila kuifanya kama ajira.

Chagua ligi unazozifuatilia na ubet team chache yaan ktk mkeka wako wowote usije ukabet mkeka unaozidi game 3 utaliwa tu hapo ni kama mazingaombwe tu.

Epuka tamaa kama una bet jero ww bet mech zako 3 ule buku 5 au elf 4 basi, ukibet jero ili ule laki na kuendelea unajidanganya tu hapo utachelewa sana na utapigwa vibaya sana kama ww.

Mbona me na bet kistarabu huwa naliwa na nina kula pia mara nyingi tu, tufanyeni kazi betting tuifanye kitu cha ziada tu sio kuifanya ajira.
.
Professional gamblers; hawa ku-bet ni kazi na wanaichukulia very serious. Hapo kwenye kubet ndio wanafanya kama ulivyoshauri, stake kubwa odds chache...no grred.
.
Casual gamblers; hawa wanabet kama chanzo cha kujifurahisha tu...just for fun...wakiamua kuacha wanaweza. Huyu ndio kama wewe.
.
Impulsive gamblers; hawa wanabet ili kupata adrenaline rush...thrill...na hawawezi kuacha hata wakitaka. Wana ndoto unrealistic mfano anaweka jero apate laki (stake kiduchu ila odds mlima). Hawa ndo huwa wanapigwa kipigo cha jibwa koko sasa.
 
IMG_6502.png
 
NO RETREAT,NO SURRENDER....hakuna hustler anatupa taulo mapema mkuu,hapo ni kubadili mbinu tu maana shida yetu unaweka timu 20 na unategemea kula 20mil kwa 200tsh huon huo ni ujuha?au pesa ya ugali wew unabet ili upate ya wali?...BET KISTAARABU
 
Rasmi leo natundika daluga la kubeti.

Ni zaidi ya miaka kumi nabet sijaona faida yeyote zaidi nimeishia kugombna na jmaa zangu pmj na ndgu kwa ajili ya hya mambo, itoshe tu kusema betting imenirudisha sna nyuma na kunipotezea muda.

Nawaza tu kiasi nilichopteza km ingekuwa nimeweka km akiba ninahakika ningekuwa nimefny mengi tena kw ukubwa kuliko nilivyo sasa.
Ni lazma upigwe kama mwizi wabongo mnabet kama mmekatika vichwa odds za faida hua ni 2-3

Tamaaa ni mbaya sana kwenye betting
 
Mpaka unyooke Acha lawama cholo mm nilkua mhanga wa kuBet nilikua natumia mshahara wote nabak apache Alolo ila nilivyoingia Mkataba na miamba wa Telegram walinifunza mengi na jinsi ya kupambana na tamaa So nikaanza upya wakawa wananipa odds 2 tu kwa siku..Faida nilianza kupata kubwa sana tu
Waine Link

Bet kistaarabu
Tatizo wabongo wanawaza hela ndefu unamkuta mtu kastake 50k timu 8 hapo anatafuta million [emoji1787][emoji1787]
 
Rasmi leo natundika daluga la kubeti.

Ni zaidi ya miaka kumi nabet sijaona faida yeyote zaidi nimeishia kugombna na jmaa zangu pmj na ndgu kwa ajili ya hya mambo, itoshe tu kusema betting imenirudisha sna nyuma na kunipotezea muda.

Nawaza tu kiasi nilichopteza km ingekuwa nimeweka km akiba ninahakika ningekuwa nimefny mengi tena kw ukubwa kuliko nilivyo sasa.

Wenzako tunabeti Kwa ela ya matumizi ya kawaida kama pombe, sigara, kuhonga, kulipa lodge Yan vile vitu ambavyo sio muhimu Sana


Ila kama unabet Kwa ela ya ujenzi au chakula lazima utaona ni uteja
 
Bet kistarabu, usiifanye betting ni ajira.. yaani piga mishe zako kwa bidii ila uwe una bet kawaida bila kuifanya kama ajira.

Chagua ligi unazozifuatilia na ubet team chache yaan ktk mkeka wako wowote usije ukabet mkeka unaozidi game 3 utaliwa tu hapo ni kama mazingaombwe tu.

Epuka tamaa kama una bet jero ww bet mech zako 3 ule buku 5 au elf 4 basi, ukibet jero ili ule laki na kuendelea unajidanganya tu hapo utachelewa sana na utapigwa vibaya sana kama ww.

Mbona me na bet kistarabu huwa naliwa na nina kula pia mara nyingi tu, tufanyeni kazi betting tuifanye kitu cha ziada tu sio kuifanya ajira.
Tatizo hakuna mtu anayependa kubaki na kipato cha chini ,wewe ule 3000 maisha yako yote si unapaswa kupanda juu?
Utanogewa tu uongeze dau na hapo ndo tatizo litaanzia kuliwa zaidi
 
 
Back
Top Bottom