Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G


Tupac alikuwa ni mshamba sana
 
Tusubiri kuona mwisho wa kesi zinazomuandama kwa yale aliyoyafanya miaka ya nyuma utakuaje.

Kila lenye mwanzo huwa halikosi mwisho. Wazungu wanaweza kuyaona mabaya yako mengi, wakakuangalia tu ili siku ya siku ujae kwenye 18 zao wakumalize.

RIP Notorious BIG and 2Pac.
 
Aliwaibiaje mkuu, hebu fafanua na utuwekee na fact kidogo. Maana kama ulivyosema kuwa hizi ni zama za social media, kila mtu anaweza kuandika lake, so ili uaminiwe na watu ni vizuri muandikaji ukaweka na fact za kuaminika ili tukubali kilichoandikwa.
 
Aliwaibiaje mkuu, hebu fafanua na utuwekee na fact kidogo. Maana kama ulivyosema kuwa hizi ni zama za social media, kila mtu anaweza kuandika lake, so ili uaminiwe na watu ni vizuri muandikaji ukaweka na fact za kuaminika ili tukubali kilichoandikwa.
Tu pac alikuwa akishinda na kula bata na real ganster, number chafu, watu wa karibu walimwonya akiwepo causin wake pamoja na Big.

Kama kungekuwa na social media angekuwa anapost na watu wangeona matukio. Mara pale baada ya kupata kesi ya ubakaji na wahuni kumruka na yeye kuingia ugomvi na wahuni asingepata nafasi ya kusema kuwa Big hakumwambia, au alikuwa hajui kuwa anacheza na simba, watu wangemchana mapema tu kwamba anashinda na watu sio.

Tupac kushinda na wahuni wa newyork ndiko kulipelekea kwenda jela na ndiko kulipelekea kusaini mkataba death row " mkataba ambao uliandwikwa kwa mkono, watu wanadai hakujawahi kuandikwa mkataba wa kinyonyaji kama ule tangia na baada ya indrustry ya mziki" tupac alikuwa hana namna bali kusaini kuz wahuni walitaka marinda yake jela na vitisho kila kukicha. Yeye kuwa chini ya suge kulimfanya atengeneze chuki ya uwongo juu ya Big na Diddy kama kulipa fadhila kwa boss wake ambaye alikuwa ana wivu mkubwa sana juu ya Badboy.

Kudhibitisha kama kweli walikuwa wananyonywa na tupac kama kenge, baada ya Dre kusepaa tupac kama kawa kamnyea/ kamdiss kichizi dree kwenye ngoma yake moja. Yaani kamdis produza aliyemtengenezea califonia love.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…