Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Pengine sio wajinga ,huwezi amini katika ukoo wako wewe kunandg wengi huwajui kutokana na kuhama Miji Yao kisa kugongewa mbususu ,kama umeshaoa yawezekana umeoa mtoto wa baba Ako mdogo
Ata ikiwa ndugu ya gu au baba yangu bado ni kitendo cha kijinga. Mtu una hela na umaarafu warembo wanajigonga tuu tena unapiga threesome bado unafanya ujinga kama huo
 
Hata kama sina cha kuandika, ukiposti uongo lazima nikuanike. Nimekuwekea facts nyingi tu kwenye response zangu. Unless hujui maana ya facts.
Fact za kuhadithiwa 😂😂😂 nilitegemea ungenambia yale uliyoyaona mwenyewe kwa macho au yale uliyoambiwa na mtu wa kwenye tukio hapo ningekuelewa kidogo.

Lakini hizi taarifa sijui za mjomba au marafiki wa fulani ndo walisema sitaki kuzisikia. Bado unazunguka pale pale kwenye dhana isiyokuwa na uhakika.

Vifo vya 2pac na Big vimesaidia wengi kupata riziki ya kula kwa kusimulia yale wasiyoyaona ilimradi watrend au mkono uende kinywani.
 
Tupac hakushambuliwa hapo iliposimama hiyo gari. Tafuta documentary ya Frank Alexander ambaye alikuwa bodyguard wa Tupac inaitwa Before I Wake. Ameelezea matukio yote ya siku hiyo. Acha kusikiliza maneno ya kijiweni, do your homework kabla hujaandika upotoshaji wako humu.
Sikiliza nkwambie, katika mambo makubwa kama haya usipende kuokoteza okoteza vitu bila kujua vitu hivyo vimetokea wapi na vinamaana gani.

Hiyo gari hapo sikuiweka kwa lengo la kutaka kuaminisha watu kuwa amepigiwa risasi hapo, au mbele ya hapo au nyuma ya hapo nk.

Lengo la kuiweka hiyo picha ni kwa sababu kuna jamaa alisema kwamba mazingira aliyouwawa Pac na Big ni tofauti. Yeye akasema kuwa Big aliuwawa akiwa ukumbini, akimaanisha katika ukumbi wa mziki.

Ndo na mimi nikamuwekea picha zinazoonesha jinsi Big na Pac walivyoshambuliwa barabarani ila kwenye magari tofauti na maeneo tofauti. Sasa mtu kwa kupenda ligi umekimbilia kurukia hata sehem iliyokuwa gari 😂😂😂😂

Ningepost gari nyingine mfano Corolla ikiwa imeshambuliwa mbele ya nyumba ya mtu hapo ungekuwa na sheria ya kukosoa na ningekuelewa. Lakini mimi namfahamisha mtu kwamba wote wameshambuliwa barabarani wakiwa ndan ya magari yao. Wewe mwenzetu umekimbilia kutafuta la kupinga kwa kuanza na eneo iliko park gari 😂😂😂
 
Kwani Hawa kina pac hawakua wajenzi huru ila ngozi nyeusi Ina laana Yani mzungu anakupa silaha na ulinzi umuue mweusi mwenzio una furahi na kutekeleza R.I.P Nipsey Hussle kina pac na madogo kina juice, take off,....... nk ..
Bora hata wewe umeliona hili mkuu. Kuna watu wameamua kuwa wabishi kwa sababu ya mambo ya kusimuliwa na rafiki zake Orlando bila kuchuja ili kujua kama ni za kweli au uongo.
 
Theory zipo nyingi juu ya vifo vyao.
Wengine usema ni wazee wa suti nyeusi,waliwapaisha,wakawatengenezea bifu wakawapoteza,walianza kumua tupac alipotaka kujitoa kama Michael Jackson ushahidi alipoanza imba nyimbo za kuwatukana KISHA wakampoteza BIG Ili kuonekana kama kulipiza kisasi kupitia bifu zao.
Bifu lao lilikuwa la kutengezwa
Rumuors
 
Mtu mweusi dhaifu labda ni wewe mwenyewe. Hakuna mahali ambapo watu hawauani duniani hapa na sio afrika tu. Kuna mahali watu wanauana kama Ukraine sasa hivi!? Au napo hapo ni watu weusi wamepewa silaha wauane!?

Unaandika madai mengi bila ushahidi hata kidogo. Hayo malengo ambayo watu wa vitengo wanawatumia watu weusi kuyatimiza ni yepi!? Mbn huyataji!? Ina maana huko kwenye vitengo hamna watu weusi!?

Pac shooting and even Big was too noisy if you know what I mean. And FBIs don't do noisy ever! Its not their style. Yaani kwenye mataa, mivurumisho ya risasi kibao ambazo zingeweza kuwadhuru na wasiohusika. Katika ya jiji la vegas raia kibao wanashuhudia. Hiyo ni move ya mtu ambaye hajawatrained kiassassin. 2pac hakua na ulinzi wowote wa maana zaidi ya kuambatana na wahuni tu wa deathrow muda wote, FBI wangemtaka ingekuwa clean and quick.

Kama unataka kutuaminisha hiyo theory yako utahitaji kufanya zaidi ya kurusha tuhuma na madai yasiyo na msingi wala ushahidi na coincidences ambazo zimetokana na kutokujua mpangilio wa matukio ya tukio zima vzr (za kutunga).
Wale wazee wa suti nyeusi wamefanikiwa kuwa brainwashed watu wachache ukiwemo wewe mwenyewe kwa kumtafuta mjomba wake na Orlando na kumtupia jumba bovu yeye, akiamini kuwa dogo ashakufa kwahiyo tuhuma zozote atakazompa juu yake hazitakuwa na madhara yoyote kwake.

Kikubwa tu yeye mjomba atrend, avute mpunga na kupoteza ushahidi wa FBI kuhusishwa na hivi vifo.

Ok wewe amini unachoamini na mimi niamini ninachoamini.
 
Sihitaji ID nyingine ku-debate na shallow minded kama wewe. Mpaka sasa hakuna response yoyote uliyoleta with facts. Umejaza bla bla tu. By the way kama kulikuwa hakuna mitandao mbona vifo vya Pac na Biggie tulisikia? Rodney King je? Najua utakuwa hata hujui stori yake. Dunia nzima ilisikia na hakukuwa na mitandao.
Wewe haujui kitu, ndio maana nilipozungumzia mitandao wewe haujaelewa nazungumzia nini.
 
Uvumi ni mwingi lakini mpaka recently imeshathibitishwa aliyemuua 2pac ni Orlando Anderson,yule jamaa aliyepigwa na 2pac mapema siku ile kwenye pambano la Tyson na Bruce Seldon.

Na alikuwa mtu wake wa karibu.BIG alikufa sababu wapambe wa 2pac waliamini ye ndo alimuua.Kimsingi theories zipo nyingi Kuna hadi wanaoamini waliuawa na serikali ya marekani sababu ya bad influence Kwa vijana na makundi Yao ya east side na west side.

Na Kuna wengine wanaoamini pia hakufa sababu hawakuona mazishi yake.
Hahaha, mazishi ya Tupac Shakur hayakuhudhuriwa na watu??? [emoji23]

Tupac alichomwa moto siku ya 14/09/1996 mpaka kuwa majivu kabisa kama ilivyo desturi ya wengine wanaoamua kufanyiwa Cremation, hata mama yake aliamua kuja kuchomwa

Wakati akichomwa... nje ndugu zake na masela zake wengi sana wakisubiri majivu yake

Mama yake alikuwa Mtu wa kwanza kuchukua majivu na kuondoka nayo kumwaga kwenye garden ya Nyumbani kwake asubuhi siku iliyofuata

BLACKII, ni Mshkaji wa Tupac (Mghana) aliyekuwa naye kundi moja OUTLAWS aliishi Arusha kuanzia julai 1997 mpaka 1999 yeye na GERANIMO PRATT kisha akaenda kwao Ghana, angeweza kukueleza yote unayotaka kujua kuhusu Tupac

wote wawili nao waliamua kuwa wakifa wachomwe pia na walichomwa

Kwa namna flan kuna order ya FBI ilichochea Tupac na wenzie kuuawa na kuna list ilikuwa inaendelea wakiwepo akina BLACKII

Mengine watu wanaongea tu ila hayana ukweli
 
2Pac alimzingua jamaa mmoja nje ya ukumbi wa lile pambano la boxing la Mike Tyson. Jamaa naye ni gang member. So , baada ya pambano jamaa akaamua amalize mchezo, ingawa kuna hisia za juhusika kwa mamlaka hasa kutokana na mashairi ya kuamsha hisia za kisiasa.
Mara nyingi watu controversial kama Pac , Big, nk. Vifo hua na utata na kuacha maswali mengi nyuma. Huko Orlando, kule Big, Serikari ya Marekani, huku Suge( Ikisemekana Pac alikua na mpango wa kujiondoa death row na kuanzishisha label yake),Bado wale aliowatukana kwenye hit em up nk. Wauaji wazuri hua wanatumia mianya kama hii,wakijua wazi itakua ngum kufanya uchunguzi wa kifo.
 
Sikiliza nkwambie, katika mambo makubwa kama haya usipende kuokoteza okoteza vitu bila kujua vitu hivyo vimetokea wapi na vinamaana gani.

Hiyo gari hapo sikuiweka kwa lengo la kutaka kuaminisha watu kuwa amepigiwa risasi hapo, au mbele ya hapo au nyuma ya hapo nk.

Lengo la kuiweka hiyo picha ni kwa sababu kuna jamaa alisema kwamba mazingira aliyouwawa Pac na Big ni tofauti. Yeye akasema kuwa Big aliuwawa akiwa ukumbini, akimaanisha katika ukumbi wa mziki.

Ndo na mimi nikamuwekea picha zinazoonesha jinsi Big na Pac walivyoshambuliwa barabarani ila kwenye magari tofauti na maeneo tofauti. Sasa mtu kwa kupenda ligi umekimbilia kurukia hata sehem iliyokuwa gari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ningepost gari nyingine mfano Corolla ikiwa imeshambuliwa mbele ya nyumba ya mtu hapo ungekuwa na sheria ya kukosoa na ningekuelewa. Lakini mimi namfahamisha mtu kwamba wote wameshambuliwa barabarani wakiwa ndan ya magari yao. Wewe mwenzetu umekimbilia kutafuta la kupinga kwa kuanza na eneo iliko park gari [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaaa ...Acha mkwara wa kishamba huo. Mambo makubwa yapi? Tupac kuuawa ni jambo kubwa? Labda kwako wewe mshamba ndio jambo kubwa. Mbona wewe hayo ambayo sio ya kuokoteza huyaweki hapa tuyaone? Umeanzisha uzi, umekuzidi kimo unatapatapa kama bata kwenye tope.
 
Wale wazee wa suti nyeusi wamefanikiwa kuwa brainwashed watu wachache ukiwemo wewe mwenyewe kwa kumtafuta mjomba wake na Orlando na kumtupia jumba bovu yeye, akiamini kuwa dogo ashakufa kwahiyo tuhuma zozote atakazompa juu yake hazitakuwa na madhara yoyote kwake.

Kikubwa tu yeye mjomba atrend, avute mpunga na kupoteza ushahidi wa FBI kuhusishwa na hivi vifo.

Ok wewe amini unachoamini na mimi niamini ninachoamini.
Jibu maswali acha janja janja.
 
Hahaha, mazishi ya Tupac Shakur hayakuhudhuriwa na watu??? [emoji23]

Tupac alichomwa moto siku ya 14/09/1996 mpaka kuwa majivu kabisa kama ilivyo desturi ya wengine wanaoamua kufanyiwa Cremation, hata mama yake aliamua kuja kuchomwa

Wakati akichomwa... nje ndugu zake na masela zake wengi sana wakisubiri majivu yake

Mama yake alikuwa Mtu wa kwanza kuchukua majivu na kuondoka nayo kumwaga kwenye garden ya Nyumbani kwake asubuhi siku iliyofuata

BLACKII, ni Mshkaji wa Tupac (Mghana) aliyekuwa naye kundi moja OUTLAWS aliishi Arusha kuanzia julai 1997 mpaka 1999 yeye na GERANIMO PRATT kisha akaenda kwao Ghana, angeweza kukueleza yote unayotaka kujua kuhusu Tupac

wote wawili nao waliamua kuwa wakifa wachomwe pia na walichomwa

Kwa namna flan kuna order ya FBI ilichochea Tupac na wenzie kuuawa na kuna list ilikuwa inaendelea wakiwepo akina BLACKII

Mengine watu wanaongea tu ila hayana ukweli
Asante mkuu, wewe ndio umeongea mambo yanayoeleweka. Yani kama mtu hakukuelewa ulichoandika basi itampasa ajitafakari upya kuhusu nini anachobishania.

2pac na familia yao hawakuwa na record nzuri katika vitengo vya usalama. Mama yake na 2pac alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa black panther kwa upande wa wanawake, hivyo vyombo vya usalama bado vilimuona kuwa ni mtu hatari kwa mamlaka iliyokuwa chini ya utawala wa wazungu wenye chembe chembe za ubaguzi.

Halikadhalika 2pac nae alikuwa miongoni mwa maadui wa mamlaka na vyombo vya usalama. Ndio maana hata 2pac mwenyewe kabla ya kufa kuna muda alikuwa akihusisha kesi zake na mamlaka. Yani alikuwa anamaanisha kuwa mamlaka zilikuwa zikimtengenezea kesi mbali mbali kwa lengo la kumchafulia taaswira yake mbele ya watu waliomuheshimu na kumuamini, kwa lengo la kumvunja moyo na kumkomoa.

Lakini pamoja na yote bado walishindwa kumnyamazisha 2pac na badala yake ilikuwa kama vile wanaongeza petroli kwenye moto, 2pac hakunyamaza bali aliendelea kusema tena kwa kuwataja viongozi wakuu wa serikali majina akiwemo raisi wa nchi wa wakati huo pres Bill Clinton na makamu wake. Pia 2pac hakuishia hapo ilifikia kipindi mpaka akawapiga maafisa wa polisi risasi na kufikishwa mahakamani kisha akatoka.

Sasa unafikiri kwa aina hii ya misuguano kati ya 2pac na serikali wangemuacha salama kweli. Kama yule mmarekani George Floyd aliuwawa na polisi kwa kuwekewa goti shingoni bila kosa au sababu yoyote, je 2pac alietaka kuwauwa maofisa wa polisi ukijulimsha na historia yake ya kuwapaka viongozi wa serikali na kuwatukana polisi wangemuacha hai kweli aendelee kuichafua serikali hiyo iliyokuwa imejaa ubaguzi?

Watu wa system walipogundua kwamba 2pac ni mtu wa hasira na panic wakaamua kumtengenezea mazingira kwa kuset Orlando aibe cheni kwa rafiki yake 2pac, kisha afike katika pambano la Tyson wakiamini kwamba akifika na kukutana na 2pac ni lazima moto utawaka katika ya 2pac na Orlando. Moto ukishawaka wao wataitumia chance hiyo kufanya yao afu kuyahusisha makundi ya gangs na mauaji yale ili kupoteza ushahidi.

Na kweli mission imefanyika na kupangwa kama ilivyokuwa imetakiwa kupangwa. Ndio maana leo hii wasiofikiria nje ya box wanafikiri kuwa kijana Orlando ndio muhusika wa mauaji yale, huku waliouwa wakiendelea kufanya shughuli zao ndani ya vitengo na kupongezana kimya kimya.
 
Ha ha haaaa ...Acha mkwara wa kishamba huo. Mambo makubwa yapi? Tupac kuuawa ni jambo kubwa? Labda kwako wewe mshamba ndio jambo kubwa. Mbona wewe hayo ambayo sio ya kuokoteza huyaweki hapa tuyaone? Umeanzisha uzi, umekuzidi kimo unatapatapa kama bata kwenye tope.
Bahati nzuri wengi wamenielewa zaidi ya walivyokuelewa. Hebu angalia vizuri utalitambua hilo. Ukisoma post ya #290 ndo utagundua kwamba kuna watu wanayajua haya mambo zaidi ya uyajuavyo.
 
Mara nyingi watu controversial kama Pac , Big, nk. Vifo hua na utata na kuacha maswali mengi nyuma. Huko Orlando, kule Big, Serikari ya Marekani, huku Suge( Ikisemekana Pac alikua na mpango wa kujiondoa death row na kuanzishisha label yake),Bado wale aliowatukana kwenye hit em up nk. Wauaji wazuri hua wanatumia mianya kama hii,wakijua wazi itakua ngum kufanya uchunguzi wa kifo.
Babu yangu aliwahi kuniambia kuwa siku zote mtu anaetamba kufanya kitu kibaya mara nyingi huwa sio mtendaji. Akiwa na maana kwamba unaweza kugombana na mtu ukaenda mbali zaidi kwa kumwambia kuwa utamuua.

Huenda wewe utakuwa unaongea hivyo kwa hasira au kwa ajili ya kumtisha unaegombana nae, lakini mwisho wa siku atatokea mtu ambae hakuhusika na ugomvi wenu lakini anamchukia mshikaji, so atatenda kile ulichoongea mbele ya watu kwa kumuua kimya kimya afu jumba bovu litakuangukia wewe ulietamba kuuwa.

Kusema kuwa ugomvi wa Oralando na 2pac uliofanyika masaa kadhaa tu kabla ya shambulio lake ndio ulisababisha kifo chake kwa kweli inakuwa ngumu mtu kuelewa. Lile shambulizi ni kama vile lilikuwa limeshapangwa muda mrefu, sio la kupangwa masaa mawili matatu baada ya ugomvi. Yan namaanisha Pac alikuwa anatafutwa muda mrefu lkn ilikuwa inatafutwa njia muafaka ya kutekeleza bila watu kujua ni nani muhusika wa tukio na ukizingatia umaarufu wa Pac, sasa ulipotokea ugomvi wake na Orlando ndo ikawa njia nzuri ya kutimiza malengo yao maana wanaamini ingekuwa ngumu kwa wahusika halisi kujulikana.
 
Asante mkuu, wewe ndio umeongea mambo yanayoeleweka. Yani kama mtu hakukuelewa ulichoandika basi itampasa ajitafakari upya kuhusu nini anachobishania.

2pac na familia yao hawakuwa na record nzuri katika vitengo vya usalama. Mama yake na 2pac alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa black panther kwa upande wa wanawake, hivyo vyombo vya usalama bado vilimuona kuwa ni mtu hatari kwa mamlaka iliyokuwa chini ya utawala wa wazungu wenye chembe chembe za ubaguzi.

Halikadhalika 2pac nae alikuwa miongoni mwa maadui wa mamlaka na vyombo vya usalama. Ndio maana hata 2pac mwenyewe kabla ya kufa kuna muda alikuwa akihusisha kesi zake na mamlaka. Yani alikuwa anamaanisha kuwa mamlaka zilikuwa zikimtengenezea kesi mbali mbali kwa lengo la kumchafulia taaswira yake mbele ya watu waliomuheshimu na kumuamini, kwa lengo la kumvunja moyo na kumkomoa.

Lakini pamoja na yote bado walishindwa kumnyamazisha 2pac na badala yake ilikuwa kama vile wanaongeza petroli kwenye moto, 2pac hakunyamaza bali aliendelea kusema tena kwa kuwataja viongozi wakuu wa serikali majina akiwemo raisi wa nchi wa wakati huo pres Bill Clinton na makamu wake. Pia 2pac hakuishia hapo ilifikia kipindi mpaka akawapiga maafisa wa polisi risasi na kufikishwa mahakamani kisha akatoka.

Sasa unafikiri kwa aina hii ya misuguano kati ya 2pac na serikali wangemuacha salama kweli. Kama yule mmarekani George Floyd aliuwawa na polisi kwa kuwekewa goti shingoni bila kosa au sababu yoyote, je 2pac alietaka kuwauwa maofisa wa polisi ukijulimsha na historia yake ya kuwapaka viongozi wa serikali na kuwatukana polisi wangemuacha hai kweli aendelee kuichafua serikali hiyo iliyokuwa imejaa ubaguzi?

Watu wa system walipogundua kwamba 2pac ni mtu wa hasira na panic wakaamua kumtengenezea mazingira kwa kuset Orlando aibe cheni kwa rafiki yake 2pac, kisha afike katika pambano la Tyson wakiamini kwamba akifika na kukutana na 2pac ni lazima moto utawaka katika ya 2pac na Orlando. Moto ukishawaka wao wataitumia chance hiyo kufanya yao afu kuyahusisha makundi ya gangs na mauaji yale ili kupoteza ushahidi.

Na kweli mission imefanyika na kupangwa kama ilivyokuwa imetakiwa kupangwa. Ndio maana leo hii wasiofikiria nje ya box wanafikiri kuwa kijana Orlando ndio muhusika wa mauaji yale, huku waliouwa wakiendelea kufanya shughuli zao ndani ya vitengo na kupongezana kimya kimya.
Your assumptions are so ridiculous. Unataka kutuaminisha kwamba Tupac alikuwa tishio kwa Serikali ya US mpaka wakamuua. Kwa lipi? Huko juu nilisema watu waweke kauli, lyrics au matendo ambayo Tupac alifanya mpaka Serikali ya US imuone tishio. Hakuna aliyeweka. You are giving the guy too much credit. Tupac was a great conscious rapper and he was outspoken, but he wasn't a revolutionary.

Again, inaelekea stori ya Tupac kuwapiga polisi risasi huijui. Nenda kafuatilie kwa nini aliwashuti na akashinda kesi. Kama Serikali ilikuwa na nia ya kumkomesha kwa nini hawakutumia hiyo fursa. Kuwapiga risasi polisi US bila ya sababu za msingi ni kosa ambalo ni ngumu kupona. Kabla hujaweka speculations (ambazo ndio msingi wa arguments zako) nenda katafute taarifa kwa nini Pac aliwapiga risasi polisi na akashinda kesi. Vinginevyo it's more bla bla ...
 
Bahati nzuri wengi wamenielewa zaidi ya walivyokuelewa. Hebu angalia vizuri utalitambua hilo. Ukisoma post ya #290 ndo utagundua kwamba kuna watu wanayajua haya mambo zaidi ya uyajuavyo.
Nionyeshe hizo polls zinazoonyesha watu wengi wamekuelewa wewe kuliko mimi.
 
Your assumptions are so ridiculous. Unataka kutuaminisha kwamba Tupac alikuwa tishio kwa Serikali ya US mpaka wakamuua. Kwa lipi? Huko juu nilisema watu waweke kauli, lyrics au matendo ambayo Tupac alifanya mpaka Serikali ya US imuone tishio.
Wewe huenda unabisha tu bila kujua unachobishia, au unajua ila umeamua tu kuleta ubishi ili isionekane kuwa umeshindwa.

Kitendo cha 2pac kuzaliwa na mwanamke aliekuwa member wa black panther peke yake tayari lilikuwa tishio kwa mfumo wa kibaguzi wa enzi zile. Hapo sijazungumzia yale aliyokuwa anaaongea mara kwa mara kuhusu ubaguzi wa rangi waliokuwa wanafanyiwa watu weusi kitu ambacho mamlaka hawakukipenda maana ni kama kilikuwa kinawavua nguo duniani. Na ikizingatiwa kuwa taifa hilo lilikuwa linajinasibu kuwa ni la kidemokrasia na linalopambana na ubaguzi mbali mbali.

Chuki hiyo ndio iliyopelekea kifo chake. Na sio yeye tu. Hata wale ambao wewe unaona kuwa sio tishio pia waliuwawa au kuuliwa hovyo barabarani.

RIP George Floyd na wengine waliouwawa hovyo. Ingekuwa watu hawaku record au kufuatilia vifo vyao. Basi majumba mabovu wangeangushiwa kina Orlando wengine au yale magenge ya kihalifu kama ilivyokuwa desturi yao.

Yani ungetengenezwa uongo uliopangwa rangi vizuri na leo hii ingekuwa mmoja wa wanaoamini kuwa watu hao waliuwana wenyewe kwa wenyewe.
 
Your assumptions are so ridiculous. Unataka kutuaminisha kwamba Tupac alikuwa tishio kwa Serikali ya US mpaka wakamuua. Kwa lipi? Huko juu nilisema watu waweke kauli, lyrics au matendo ambayo Tupac alifanya mpaka Serikali ya US imuone tishio. Hakuna aliyeweka. You are giving the guy too much credit. Tupac was a great conscious rapper and he was outspoken, but he wasn't a revolutionary.

Again, inaelekea stori ya Tupac kuwapiga polisi risasi huijui. Nenda kafuatilie kwa nini aliwashuti na akashinda kesi. Kama Serikali ilikuwa na nia ya kumkomesha kwa nini hawakutumia hiyo fursa. Kuwapiga risasi polisi US bila ya sababu za msingi ni kosa ambalo ni ngumu kupona. Kabla hujaweka speculations (ambazo ndio msingi wa arguments zako) nenda katafute taarifa kwa nini Pac aliwapiga risasi polisi na akashinda kesi. Vinginevyo it's more bla bla ...
Utakesha!
 
Back
Top Bottom