Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group


Hakika mkuu. Hizi story kuna wajinga wameshikia bango as though hakuna more pressing issues. Mtu anaongela ushoga kutwa nzima ukimuuliza anamjua shoga yeyote personally hamjui basi wao wenyewe ndo mashoga wanawaza ushoga Kila dakika
 
Dunia inaelekea ukingoni aisee
 
Unamtukana MKUU WA WILAYA (NIKI)
 
team kataa ndoa sio watu walio left group bali ni watu ambao walio sanukia huu utapeli unao itwa ndoa na hizo janja janja za wanawake. Sisi kuwagonga tutawagonga sana na kuwazalisha tutawazalisha sana acha tu muwe masingle maza mtajua wenyewe.

Hatuna huruma na wanawake. Na kubwa zaidi hatuwaoi na kwa hizo janja janja zenu mtatukubali trip hii.
Team kataa ndoa hao
 
Kulikua na haja ya kutukana?
 
Mimi sioni shida, muhimu kuchagua character unazopendezwa nazo kutoka kwa mtu husika, mengne unamuachia yeye, unless unambie huyo mtu mmoja unayemjua wewe alieko perfect wote tumuige yeye
 
Naomba clip ambayo scofield alisema yeye ni shoga? Then nakupa 50k hapa hapa jf.

Shule shule shule shule ni muhimu sana
 
Yule fala Scofield alichonikera anamwita yule choko mwenzake "my husband",dah nililia sana ile siku, sikula chochote kwa siku tatu nikisali rozali kuomba mama bikira maria afanye kile nilichokiona kuwa ni ndoto tu.

Ila haikubadilika kitu, yule mbwa Scofield akabakia kuwa shoga. Nilimia sana hadi leo bado naumia jamaa aliusaliti uanaume kwa namna mbaya sana.
 
Naomba clip ambayo scofield alisema yeye ni shoga? Then nakupa 50k hapa hapa jf.

Shule shule shule shule ni muhimu sana
Ipo na kuna tuzo nimesahau sijui ni tuzo za nini zile alikuja na jamaa stejini kabisa akawa anatoa neno then nikasikia anatamka "I want to thank my wonderful husband for the support.... " Dah nililia sana. Nenda YouTube huko kaandike Michael Scofield husband utaona mwenyewe.
 
Msanii mdada mfupi kutoka A town. Unamuongelea nani hapa. Hii code umeikaza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…