Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group

Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group

Usishangae ukaambiwa anaepinga ushoga nae shoga. Mm nimechoka mnoo kusikiliza kelele hizi. Juzi nimepanda daladala Tegeta-Kariakoo kapanda mtumishi wa mungu akatuhubiria. Anaesema "eti mwanaume nae anataaaakaaa mwanaume unautakaaaaaa!!! Mwanaume? Kweli unautakaaaa!" Kakomba sadaka kasepa zake. It's too overated! Waaafrika tukiganda sehem hatutoki mpaka waje 'remote contoler' kutuambia tusogee mbele kufikiria mambo mengine

Hakika mkuu. Hizi story kuna wajinga wameshikia bango as though hakuna more pressing issues. Mtu anaongela ushoga kutwa nzima ukimuuliza anamjua shoga yeyote personally hamjui basi wao wenyewe ndo mashoga wanawaza ushoga Kila dakika
 
Tayari sasa p Diddy ameshayaaga mashindano. Huwa nawaonea huruma sana wale watu ambao hupenda kujiita majina ya watu ambao ni celebrities bila kujua huyo mtu ni wa aina gani.

Kuna kipindi wale watu waliokua wanajiona wajanja sana miaka ile ya 2008-2010 walikuwa Wanapenda kujiita Scofield. Kumbe mwamba nae alishaleft group kitambo sana, ile ilikua movie tu.

Kuna siku nilikua sehemu fulani hivi nikakutana na kadada flani hivi kakawa kananiambia kanampenda sana yule msanii mdada mfupi mwanamuziki wa kutoka A Town, anasema yule ni role model wake, mara sijui mpole, mara anapenda life style yake bila kujua kuwa huyu mwanadada nae ameleft kwenye group lao kitambo sana na amekua lesbian kwa miaka mingi mno.

Muwe waangalifu mnapochagua role models, iwe wa kiume au wa kike. Poleni sana mliojiita diddy
Dunia inaelekea ukingoni aisee
 
Acha upuuzi, unafuatilia drama na scandal tu, wapi wamejitangaza kwamba wao ni mashoga?

Hivi leo nikiamka nikafungua uzi nikasema Countrywide ni shoga na anapakuliwa je hio itakua kweli wewe ni shoga?

Usiwafananishe na scoffield ambae yeye mwenyewe alitoka hadharan akajitangaza.

Huwa huna akili fala wewe
Unamtukana MKUU WA WILAYA (NIKI)
 
team kataa ndoa sio watu walio left group bali ni watu ambao walio sanukia huu utapeli unao itwa ndoa na hizo janja janja za wanawake. Sisi kuwagonga tutawagonga sana na kuwazalisha tutawazalisha sana acha tu muwe masingle maza mtajua wenyewe.

Hatuna huruma na wanawake. Na kubwa zaidi hatuwaoi na kwa hizo janja janja zenu mtatukubali trip hii.
Team kataa ndoa hao
 
Kulikua na haja ya kutukana?
Team kataa ndoa sio watu walio left group bali ni watu ambao walio sanukia huu utapeli unao itwa ndoa na hizo janja janja za wanawake.sisi kuwagonga tutawagonga sana na kuwazalisha tutawazalisha sana acha tu muwe masingle maza mtajua wenyewe.

Hatuna huruma na wanawake na kubwa zaidi hatuwaoi na kwa hizo janja janja zenu mtatukubali trip hii.
 
Mimi sioni shida, muhimu kuchagua character unazopendezwa nazo kutoka kwa mtu husika, mengne unamuachia yeye, unless unambie huyo mtu mmoja unayemjua wewe alieko perfect wote tumuige yeye
 
Tayari sasa p Diddy ameshayaaga mashindano. Huwa nawaonea huruma sana wale watu ambao hupenda kujiita majina ya watu ambao ni celebrities bila kujua huyo mtu ni wa aina gani.

Kuna kipindi wale watu waliokua wanajiona wajanja sana miaka ile ya 2008-2010 walikuwa Wanapenda kujiita Scofield. Kumbe mwamba nae alishaleft group kitambo sana, ile ilikua movie tu.

Kuna siku nilikua sehemu fulani hivi nikakutana na kadada flani hivi kakawa kananiambia kanampenda sana yule msanii mdada mfupi mwanamuziki wa kutoka A Town, anasema yule ni role model wake, mara sijui mpole, mara anapenda life style yake bila kujua kuwa huyu mwanadada nae ameleft kwenye group lao kitambo sana na amekua lesbian kwa miaka mingi mno.

Muwe waangalifu mnapochagua role models, iwe wa kiume au wa kike. Poleni sana mliojiita diddy

==
Kujua ukweli wa taarifa hii soma NADHARIA - P Diddy anashiriki mapenzi ya jinsia moja
Naomba clip ambayo scofield alisema yeye ni shoga? Then nakupa 50k hapa hapa jf.

Shule shule shule shule ni muhimu sana
 
Acha upuuzi, unafuatilia drama na scandal tu, wapi wamejitangaza kwamba wao ni mashoga?

Hivi leo nikiamka nikafungua uzi nikasema Countrywide ni shoga na anapakuliwa je hio itakua kweli wewe ni shoga?

Usiwafananishe na scoffield ambae yeye mwenyewe alitoka hadharan akajitangaza.

Huwa huna akili fala wewe
Yule fala Scofield alichonikera anamwita yule choko mwenzake "my husband",dah nililia sana ile siku, sikula chochote kwa siku tatu nikisali rozali kuomba mama bikira maria afanye kile nilichokiona kuwa ni ndoto tu.

Ila haikubadilika kitu, yule mbwa Scofield akabakia kuwa shoga. Nilimia sana hadi leo bado naumia jamaa aliusaliti uanaume kwa namna mbaya sana.
 
Naomba clip ambayo scofield alisema yeye ni shoga? Then nakupa 50k hapa hapa jf.

Shule shule shule shule ni muhimu sana
Ipo na kuna tuzo nimesahau sijui ni tuzo za nini zile alikuja na jamaa stejini kabisa akawa anatoa neno then nikasikia anatamka "I want to thank my wonderful husband for the support.... " Dah nililia sana. Nenda YouTube huko kaandike Michael Scofield husband utaona mwenyewe.
 
Tayari sasa p Diddy ameshayaaga mashindano. Huwa nawaonea huruma sana wale watu ambao hupenda kujiita majina ya watu ambao ni celebrities bila kujua huyo mtu ni wa aina gani.

Kuna kipindi wale watu waliokua wanajiona wajanja sana miaka ile ya 2008-2010 walikuwa Wanapenda kujiita Scofield. Kumbe mwamba nae alishaleft group kitambo sana, ile ilikua movie tu.

Kuna siku nilikua sehemu fulani hivi nikakutana na kadada flani hivi kakawa kananiambia kanampenda sana yule msanii mdada mfupi mwanamuziki wa kutoka A Town, anasema yule ni role model wake, mara sijui mpole, mara anapenda life style yake bila kujua kuwa huyu mwanadada nae ameleft kwenye group lao kitambo sana na amekua lesbian kwa miaka mingi mno.

Muwe waangalifu mnapochagua role models, iwe wa kiume au wa kike. Poleni sana mliojiita diddy

==
Kujua ukweli wa taarifa hii soma NADHARIA - P Diddy anashiriki mapenzi ya jinsia moja
Msanii mdada mfupi kutoka A town. Unamuongelea nani hapa. Hii code umeikaza sana.
 
Back
Top Bottom