P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

Tulikuwa tunayasikia tu kwa wanawake kuombwa hata kwenye ajira
Kumbe kuna wanaume wanatoa ili wapande charts daa
Kweli Kama ni hivyo wasanii wengi wameliwa kwa tamaa
Msanii hata lugha haipandi vizuri mara yuko na wasanii wakubwa kumbe wanagawa nao
 
Mondi mwenyewe alisema kuwa walienda kwa Diddy wakafanya mambo mengi mengine hawezi kuyasema.
Ukimuangalia alivyoongea kinyonge hapo kwenye "mengine hawezi kuyasema" unajua tu huyu keshaliwa
Yaani tena sura yake ilikuwa iko inferior kabisa 🤣🤣🤣 mixer aibu fulani huku ana sita sita
 
Ili usikike Mbele unaambiwa lazima DIDY aruhusu or else awe hana interest na wewe.

Ila akinusa akaona mate yanamjaa mdomoni hutusui hata utoe kolabo ya YESU KRISTO nyimbo yako hata mkristo mmoja hatoisikia.

DIDY kashika ulimwengu wa Entertainment wenyewe wanamuita MUHURI lazima aku approve ili utusue.

Wapo aliowasaidia tu kwa moyo ila wengi waliotaka mafanikio continuosly lazima warombwee.

Ukitaka ukae kwa Peak for a long time cabinet ya didy ikupitishe, this guy is dangerous sababu ya mambo matatu tu.

1.Ana Pesa
2.Mafia
3.Time (ana muda mrefu kwa Game)

LAKINI KATIKA YOTE

Kuna nyakati tofauti maishani

Nyakati ya kuzaliwa
Nyakati ya kufariki
Nyakati ya kuinuka
Nyakati ya kudondoka

Maisha ni kama Ngazi huwezi ruka ngazi yoyote ile maishani, Hamna tajiri hajawahi onja umaskini, na hamna maskini hato onja utajiri (utajiri si wa pesa tu)

Diddy wakati wake wa kurudi chini umefika, Zama zake zimefika hatimae ataibuka new legend (sidhani kama ni Jay Z) lakini wakati wa diddy kurudi chini umefika not to zero ila to ground abaki na hela ya kula asubuhi mchana jioni,basi.

Diddy did 81% of our Stars... list inaendelea. SEMA HILI TOPE ALOCHAFULIWA NALO kufutika sio leo.

#SUPREME
 
Kufanya jambo lolote na msaniii Mkubwa kama Diddy lazima uongee kwa kujiamini na.kuwa Proud na ulichofanya na nafasi uloipata.

Lakini nawaza sana

Ni kwanini hata ukisikiliza Diamond akisema "Tulivyoenda kwa diddy tumefanya mengi, na mengine sio ya Kupost" ukiangalia body language wakati akisema unaona kabisa ni tukio/matukio ambalo/ambayo hayuko nayo proud

Yani mtu flani mwenye regrets naamini 90% hata kama wali record Hyo nyimbo diamond hatokaa aitoe labda mpk Akufe yeye au afe pdidy au ipotee mazima.


Skendo za diddy ki africa africa zikukute halafu ukute sio kweli aseee hasira zake sio za kawaida.
 
Ila suala la Diddy Lina uhusiano Moja Kwa moja na system ya Marekani ni kama kuna Siri Kati yake na mfumo mzima WA kisiasa wa nchi ya Marekani,Tuzo za BET nk ukiziangalia ni kama zina connections Moja Kwa moja au Kwa namna Moja na serikali za nchi mbali mbali hizi kubwa! Si rahisi Tuzo kubwa kama hizo ambazo zina Hadi hadhi ya kimataifa ziwe zinafanyika alafu ziwe zinahusika na unyanyasaji unyanyasaji wa kingono alafu serikali alafu nchi iishe tu kumshtaki Diddy mi nikitafakari naliona suala la Diddy kwenye ukubwa,Music industry kwenye nchi yoyote Ile duniani nyuma zina uchafu mkubwa Sana ni vile haujui Tu ila madawa na unyanyasaji wa kingono na kuna Siri kubwa Sana huko! Huwezi pata umaarufu kama hujafungua hiyo code!
Mafanikio hasa kwenye Sanaa ni kizungumkuti,alisemaga Dudu Baya na Chid wamewahi ongea kwamba music industry imejaa mapunga! IPO siku tutawaamini muda utakuja kuongea
Inaonekana ni network kubwa Sana utaumbuliwa siku ukienda kinyume na system
 
Back
Top Bottom