Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
π€£π€£π€£Mondi muoga tu ye angemshtaki tu pdidy kwa kitendo cha kumla kwajil ya tuzo kama ni kweli
π€£π€£π€£π€£π€£Daaah Mungu atusaidie kutuepusha na hizi laana.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
π€£π€£π€£Hapana sisi tuna mu attack pididy kwa kulaghai wasanii wetu. Sisi tunawatetea wasanii wetu nao wapate haki kama wale walomshtak pididy marekan
Yaani tena sura yake ilikuwa iko inferior kabisa π€£π€£π€£ mixer aibu fulani huku ana sita sitaMondi mwenyewe alisema kuwa walienda kwa Diddy wakafanya mambo mengi mengine hawezi kuyasema.
Ukimuangalia alivyoongea kinyonge hapo kwenye "mengine hawezi kuyasema" unajua tu huyu keshaliwa
π€£π€£Ataponaje na kajipendekeza mwenyewe kwenda kwenye jumba lake? Kaliwa pamoja na yule Mbunge wa Morogoro anayedai ni Meneja wake
π€£π€£π€£π€£Jidanganye nimeishi Finland miezi mitatu ukimwi upo na wazungu wengi kule wana magovi
Hahaha nimecheka sana π π π π πMbona kuna clip huyo Diamond anakiri mwenyewe alikwenda kwa Diddy, walifanya mambo mengi ila hawezi kuya post. Mwambie kwanza ayapost ndiyo uje utulaumu
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£"nikiwa marekani kwa diddy ni kama nyumbani , hua tunafanya vitu vingisana ambavyo havipostik... " (Diamond platnumz 2023)
π€£π€£Robidinyo
Chawa wa Domo wamekimbia JF zaidi ya wiki sasa, Toka fununu zake za kutafunwa na Bwana ALi Msomali zilivyoenea.
π€£π€£π€£π€£ sure yaani yuko inferior kabisaIla ile intavyuu aliongea kama vile hana raha sijui didy alimbaka
π€£π€£π€£Ili jambo baya sn kila Ukienda kata gogo unamkumbuka did
Kmmk π€£π€£Ukisoma maovu yake kwa umakini utaona kuwa hana tofauti kabisa na Mohammed, sema tu Diddy hana hulka ya kuoa wajane na vitoto vidogo kama Aisha.
Anatafuta Kick tu fala huyu, amepauka anatafuta nitoke vipi kwa Mond.Ustaadh Juma alia kwa uchungu baada kusikia Diamond aliingia chumbani kwa P Diddy kuangalia movieππππππππ
Usicheke please. Hakuna utajiri bila kuachia tako. Unadhani kwa nini alisema atakuwa tajiri wa kwanza duniani? Marinda kwishney kwa DiamondHahaha nimecheka sana π π π π π
Alipigwa paipuIko hivi, jamaa ukialikwa kwenye party yake unasaini mkataba kuwa utakayo yaona huko au kufanya huwezi kuyasema. pengine labda msanii wetu aliamaanisha hivyo.