Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
Kwahyo diddy atakuwa alipiga threesome mondi na meneja. Duh! Wacha tusubirie hiyo connection maana lazima tu alirecord.
na lazima ivuje.
na lazima ivuje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo staa wako anawatatua kinoma Wanaume wenzake yaani mpaka wale Mabaunsa wakeIla didy? Kweli akaona atubandulie staa wetu??? 🤨
Kiba Kuna dada anamla nasikia hataki mbele, dada yule mpaka akikaa maji yanabakia kwenye mk***.Daaaa Mond nae kaliwa kibogaa duuuu duniaa hiiii.....nae akirudi anakuja kuwabandua wake.....heeee Harmonuze? Aliliwa mae ....daaa Kiba nae bingwa sana kuwala wanaume kashfa hiyo anayoooo
👂Ndiomana Simba naye kalipizia kwa Lokole, kumbe hasira za kubanduliwa 🤣🤣🤣🤣
Yesu ndie njia kweli na uzimaKiba Kuna dada anamla nasikia hataki mbele, dada yule mpaka akikaa maji yanabakia kwenye mk***.
Yuko wapi akirinkuliwa basiii ila aibuuuuMondi muoga tu ye angemshtaki tu pdidy kwa kitendo cha kumla kwajil ya tuzo kama ni kweli
Mtu haendi kwa Baba ila kwa jina lake.Yesu ndie njia kweli na uzima
Milele amina.Mtu haendi kwa Baba ila kwa jina lake.
Bwana Yesu atukuzwe [emoji120]
Ndio hivo hawa wasanii wana mengi sana, itabidi tuanze kutupia jicho kwa wasanii wote waliopewa collabo na Hawa wasanii wa nje isije kuwa viboga vilihusika 🤣🤣🤣
Vipi yule aliimba na R. KellyNdio hivo hawa wasanii wana mengi sana, itabidi tuanze kutupia jicho kwa wasanii wote waliopewa collabo na Hawa wasanii wa nje isije kuwa viboga vilihusika 🤣🤣🤣
Yule kapona ile ilikuwa All Africa star na Kelly hana michezo ya viboga km DidyVipi yule aliimba na R. Kelly
👂👂Yule kapona ile ilikuwa All Africa na Kelly hana michezo ya viboga km Didy
🤣🤣🤣🤣mamaaaeeee dunia simama hii speed imenishindaNaskia Harmonize kukimbia WCB sababu mojawapo alinusurika, alishtukia abdalah kichwa wazi wa almasi akiwa anazunguka kwenye kinyeo wakiwa wamelewa njwiii, Rayvanny nasikia kabanduka kitambo sana, Moze iyobo naskia ni kama demu wa almasi tu, Macvoice naye lazima kishawaka, Almas na meneja wake sio poa, hata mzee olomide awe makini anaweza kuja shangaa rungu la komredi kipepe ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hiyo mtu ni yule alikuwa member humu?🚨
Huyu jamaa nilidhania anasingiziwa kumbe ni mshenzi kweli. P. Diddy aka Mr Love anaeshutumiwa kwa makosa mbalimbali ya udhalilishaji wa ki ngono kwa wanawake na wanaune nimeona kwenye moja ya mahojiano yake (crip) anaweka wazi kuwa hamu yake ya kufanya mapenzi huwa haichagui mwanamke au mwanaume bali itategemea na mood na vibe atakayokuwa nayo wakati huo.
Alafu anaulizwa kama ameshmbandua Meek Meel ambaye ni producer wa kiume anajibu kuwa hilo hawezi kulisema kama ni kweli au si kweli.
Malalamiko ya huyo producer ni kwamba aliliwa kiboga na Didy ili asaidiwe kupata tuzo ya Grammy ya producer bora wa mwaka.
Yaani yeye alikuwa ana exchange matako ya mtu na heshima unayoitaka. Dah! Alafu huyu jamaa alikuwa karibu sana na Burna Boy wa Nigeria na ndiyo aliyemsaidia kupata tuzo mbalimbali kubwa za kimataifa.
Hili suala limenishtua sana na sasa ndiyo najua hata wasanii wetu wa Afrika ikiwemo hawa wa Tanzania ambao hadi wanapigiana video call na Rick Ross kuna siri nyingi sana nyuma yao zinazowafikisha hapo ambapo wakati ukifika itagundulika tu.
Napata shaka sana juu ya mond kama hajabanduliwa na huyu filauni sababu nimemuona yeye na mameneja wake wakieleza waliwahi fika nyumbani kwa Didy
Nilichojifunza ni kwamba dunia imeharibika sana hivyo siyo busara kutamani mafanikio ya mtu maana kuna wengine wameyapata kwa gharama ya kuudhalilisha utu wao aisee🤔🤔
Vijana wenzangu turidhike na maisha yetu aliyotujaalia Mwenyezi Mungu kwani shetani siyo mwema ki hivyo hadi akupe maisha mazuri bure bure.