P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

Kiukweli huwezi sema tu eti kirahisi kama unataka kuwa na kitu mfano uwe producer bora wa mwaka kama meek eti nipe tuzu yako niitafune nawe kirahisi ukabong'oa ukapigwa paipu, hapo lazima uwe na viashiria vya ushoga, yani unakubali vp fasta tu kutoa kinyeo? So hata kama kweli almasi katafunwa basi anapenda michezo hiyo, ndio maana hata zuchu kule zanzibar aliimba stejini, " HATA MKIMPA MKUUU....." so almasi ni muumini wa kula vinyeo.

Ali kiba naye anasifika sana kwa kula vinyeo nasikia jamaa ukiwa mke wake, demu wake, hata jamaa yake ukikaa vibaya anakutafuna fasta kinyeo, dah dunia imeisha sana hii.
 
Naskia Harmonize kukimbia WCB sababu mojawapo alinusurika, alishtukia abdalah kichwa wazi wa almasi akiwa anazunguka kwenye kinyeo wakiwa wamelewa njwiii, Rayvanny nasikia kabanduka kitambo sana, Moze iyobo naskia ni kama demu wa almasi tu, Macvoice naye lazima kishawaka, Almas na meneja wake sio poa, hata mzee olomide awe makini anaweza kuja shangaa rungu la komredi kipepe ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣mamaaaeeee dunia simama hii speed imenishinda
 
Hiki kinachoendelea hapa ni Character Assassination.

Mnazungumza mambo ambayo hakuna mmoja wenu aliyeweza kuyashuhudia Kwa macho na akathibitisha isipokuwa hearsays

Sidhani kama ni afya kujaribu kuharibu image ya mtu ambayo ametumia muda mrefu na Fedha nyingi kuijenga hasa Wasanii wetu wa Bongo 🙌
 
🚨

Huyu jamaa nilidhania anasingiziwa kumbe ni mshenzi kweli. P. Diddy aka Mr Love anaeshutumiwa kwa makosa mbalimbali ya udhalilishaji wa ki ngono kwa wanawake na wanaune nimeona kwenye moja ya mahojiano yake (crip) anaweka wazi kuwa hamu yake ya kufanya mapenzi huwa haichagui mwanamke au mwanaume bali itategemea na mood na vibe atakayokuwa nayo wakati huo.

Alafu anaulizwa kama ameshmbandua Meek Meel ambaye ni producer wa kiume anajibu kuwa hilo hawezi kulisema kama ni kweli au si kweli.
Malalamiko ya huyo producer ni kwamba aliliwa kiboga na Didy ili asaidiwe kupata tuzo ya Grammy ya producer bora wa mwaka.
Yaani yeye alikuwa ana exchange matako ya mtu na heshima unayoitaka. Dah! Alafu huyu jamaa alikuwa karibu sana na Burna Boy wa Nigeria na ndiyo aliyemsaidia kupata tuzo mbalimbali kubwa za kimataifa.

Hili suala limenishtua sana na sasa ndiyo najua hata wasanii wetu wa Afrika ikiwemo hawa wa Tanzania ambao hadi wanapigiana video call na Rick Ross kuna siri nyingi sana nyuma yao zinazowafikisha hapo ambapo wakati ukifika itagundulika tu.

Napata shaka sana juu ya mond kama hajabanduliwa na huyu filauni sababu nimemuona yeye na mameneja wake wakieleza waliwahi fika nyumbani kwa Didy

Nilichojifunza ni kwamba dunia imeharibika sana hivyo siyo busara kutamani mafanikio ya mtu maana kuna wengine wameyapata kwa gharama ya kuudhalilisha utu wao aisee🤔🤔

Vijana wenzangu turidhike na maisha yetu aliyotujaalia Mwenyezi Mungu kwani shetani siyo mwema ki hivyo hadi akupe maisha mazuri bure bure.
Hivi hiyo mtu ni yule alikuwa member humu?
 
Back
Top Bottom