Ila at the end huyu jamaa hawezi kufungwa,huyu mbwa kashapangua kesi kibao sana ,jamaa ni mtu mkubwa sana,na hajazingua chamani(illuminati)so ni ngumu kumfunga.Mimi nadhani wazungu ni waongo hizi ni fabrication. Wamempoteza Jonathan majors hivihivi kwa ubaguzi wao.
Yes bila shaka,ni kweli kabisa kwenye illuminati hiyo kitu ni ibada.Suge knight anadai yuko kwenye lichama flani hivi kama illuminati. Licha ya kafara pia utatuaji marinda ni ibada.
So hujui kama obama ni gay?kuoa mke transgender ni ugaynism pia.Mafala humu watasema "Nasikia hadi Obama"
The rock si anamla john cena?huna habari?[emoji23][emoji23][emoji23] hawashindwi kusema hadi The Rock
Lil wayne na gay drake wameliwa sana na shenzi moja la kuitwa bird man,afu naona watu wanamtaja sana diddy hawajui kuwa bird man ndo mshenzi zaidi.Lili wayne na drake vip wamepona
Mbn yapo sana tu mkuu,hao kina ibra wanaliwa na jembe ni jembe.Aisee! Basi hata bongo itakua aya mambo yapo
Ataishi huko huko baharini?Ju
Juzi katokomea na boat baharini makachero wakaishia kukamata wanae tuu
DuuhLil wayne na gay drake wameliwa sana na shenzi moja la kuitwa bird man,afu naona watu wanamtaja sana diddy hawajui kuwa bird man ndo mshenzi zaidi.
Watakua wapo sawa watu wa kijiwe mana zishakutwa chupa lita bukuKIjiweni kwetu sasa " unaambiwa p didy chumbani kwake ana pipa kabisa la kilainishi " mwingine akadakia ohooo yule jamaa acha kabisa alimfumua hadi under taker wa mielekaπ π
πIla at the end huyu jamaa hawezi kufungwa,huyu mbwa kashapangua kesi kibao sana ,jamaa ni mtu mkubwa sana,na hajazingua chamani(illuminati)so ni ngumu kumfunga.
Kwakweli hata saa mbovu kuna muda husema ukweli, yamekutwa mafuta ya ujazo wa pipaKIjiweni kwetu sasa " unaambiwa p didy chumbani kwake ana pipa kabisa la kilainishi " mwingine akadakia ohooo yule jamaa acha kabisa alimfumua hadi under taker wa mielekaπ π
Kwa hiyo naye P Diddy alikuwa anaingiliwa nyuma au sijaelewa?Pdiddy ni shoga( bisexual) kitambo..watu walishamuexpose since late 1990's
Analiwa na kuwala..BisexualKwa hiyo naye P Diddy alikuwa anaingiliwa nyuma au sijaelewa?
πππUnabishana na kundi la watetezi wa mashoga ambao wanatafuta justifications.
Ukiwauliza mbona wewe ni shoga, wanajitetea "mbona hata fulani ni shoga".
Kafanyaje tena ,? Ila binaadamu sio kiumbe wa kumlia dhamana kwa maana hakuna aliye msafiKuna mambo ni mazito sana Mkuu, kuna kashfa za Mahatma Ghandi aisee huwezi kuzania kabis ila ndio wanadamu tuna mambo mengi.
AiseeUpo ulimwengu gani mzee baba....mwezi uliopita meek mill alikuwa na skendo kubwa aisee..!! Kuna video yake moja alikuwa anaogelea kwenye swimming pool anaogela na kiboxer huku anamuita diddy "daddy". Alitajwa kuwa ana urafiki wa kiupinde na diddy, kiasi mpaka wanavaa saresare huku wameshikana kimahaba,
Pia meek mill kuna posts zake za zamani alipost twitter akiwa amenunua sextoys na pia amefollow page za mashoga huko twitter. Baada ya watu kumuexpose akaamua kufuta tweets zake za nyuma.
πππππkmmk
So Diamond Platinum alimla DiddyPdiddy ni shoga( bisexual) kitambo..watu walishamuexpose since late 1990's