King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Akichezesha taya na presenta wa nivarna,producer maarufu Pfunk alisema saa yake ina thamani ya pesa hyo,Uproducer unalipa au misifa tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saa kali expensive sana mkuu!binafsi ni chizi saa na zinanicost sana....
Duh!kumbe bongo watu wana pesa?maana hata obama havai saa yenye thaman hyo.
kuna mitandao inauza saa ukiiona haina tofauti na halisi ila famba
Rolex ya $ 9250. ni kawaida sana kwa aina za hizo saa! naweza kusema is among the cheapest Rolex zilizopo madukani!
tusubiri jioni 2muulize vzr
me nauza yangu dola 800 ka ya P FUNK mbona saa zipo hadi dola lak
hiyo saa inauzwa sh.15,000 za kitanzania sio dola,
Ccm chama cha mapinduzi ,chama dume,dume la mbegu kama noma na iwe noma hamtuwezi!