uanataka wote tukalie chupa kama weye,AKHU!....kaoshe papa hilo kama puru la ng'ombe kwanza,
...P amekulalamikia mtoto sio wake,au unawashwa?
..muwasho ukizidi,
.kalia chupa!
Anaitwa khalfani sio Paullegend huyu jina lake halisi ni nani, khalfani majani au paul majani??
Mansion,, poverty,,kwenye bandiko la kiswahili yamefata nini hapa kama sio kutuonyesha nawewe huna utofauti na majani,,,inamaana umekosa maneno ya kiswahili??au ndio nawewe kama Ashimu Sabiti[emoji29] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Cha ajabu ni kipi? Umaskini wako ndio umekufanya uishi mbali na wazazi wako.
Bakhresa mpaka leo anakaa na watoto wake wote pale Masaki.
Akili za kimaskini ni mbaya sana, nimefanyakazi KLM na mama yake Paul ni swahiba wangu mtoto ninayemjuwa mimi ni Paul na mama yupo mwenyewe hivi kuna ubaya gani mama kukaa na mtoto wake?
Chunguza kwa makini hata wahindi wanaishi kifamilia, hata huko mamtoni nimezunguka sehemu nyingi matajili kwenye Mansion zao wanaishi kifamilia.
Hizi dhiki zetu za kumaliza sabuni bafuni na kuongezeana gharama za chakula ndio zinasababisha kijana mdogo eti naye kapanga chumba!
Poverty.
Una uhakika na ulisemalo. ...ungesema anaishi nyumba aliyonunuliwa na wazazi wake ningekuelewa....Cha ajabu pamoja na umaarufu wote mpaka leo anaishi kwao na mama ake pamoja na familia yake
[emoji1] [emoji1]Hata sisi wa Kwamtogole pia, tukiishaanza tuition pale kwa Ras Simba basi tunaongea "you know let me tell you, yule jamaa bwana, I don't think so"
Dada Paul ni .5 kwa hio ana vinasaba vya weupe na weusi. Mkewe Kajala ana vinasaba vyeusi tu.NAANZISHA UBUYU HAPA HAPA!
sasa kweli kabisa damu ya kiholanzi ndo PAULA ASIRITHI HATA RANGI YA KUCHA?
yani kweli hata macho ,maaaacho kweli hata nyusi!
aaaaaaaaaaaaaaaaaaah bana weeeeeeeeee hata mi nimesoma biology ,japo nilipata F lakini genetics nilisoma introduction na reproduction nina notes zote toka mwanzo mpk mwisho!
warumi njoo huku tuyajenge.
Pia kiswahili siyo lugha yake ya kuzaliwa pia siyo lugha yake ya kwanza,majani amejifunza kiswahili kama raia wengine wakigeni.Jamaa ana asili ya ki-dutch.
Kati ya mama yake au baba yake ni muholansi (maana nakumbuka kwenye interview yake ya nyuma alishasema kuwa "waholansi ni wabaguzi, na alienda huko kwa mzazi wake na akaw akipita mtaani watu wanamnyoshea kidole")
usichukulie serious bana!Dada Paul ni .5 kwa hio ana vinasaba vya weupe na weusi. Mkewe Kajala ana vinasaba vyeusi tu.
Walikuwa na uwezo wa kupata mtoto mweusi kabisa au .5 na wamepata .5
Ung'avu wa ngozi unategemea mazingira, ungemuona Paul wakati mdogo, miaka 12/15 ungenielewa.
Paul baba yake Mholanzi mama yake Mtatanzania kama nilivyosema mwanzo namfahamu tangu utotoni wengi humu mmemuona baada ya kujihusisha na bongo flava.
so ni raia wa kigeni!Pia kiswahili siyo lugha yake ya kuzaliwa pia siyo lugha yake ya kwanza,majani amejifunza kiswahili kama raia wengine wakigeni.
mzee kalagabahoYaani uishi na kina Kobe Bryant miaka 5 asubuhi upo nao jioni upo nao mchana upo nao..mazoezini kambini na kwenye mechi halafu eti ubaki tu kuongea kama kingwendu??..huo utakua sio tu ulofa ila utakua ufala..lazima ubebe swaga za mtoni..hao mnaowaona wanakaa mbele na wakirudi wanaongea kama senga ujue walikua wanajifungia tu vyumbani huko..
tafuta interview aliyokuwa akimzungumzia FID q, amezungumza wazi kuhusu yeye na kiswahili, mambo ya uraia sijazungumzia,nimekwambia kiswahili kwake yeye majani siyo lugha yake ya kwanza,kwaiyo kuchanganya kiingereza na kiswahili kwa mtu kama majani wala siyo inshu ya kuzungumziwa.so ni raia wa kigeni!
Mwe!
Haya kazi njema!
....teh hee hee..,wacha weeee!uanataka wote tukalie chupa kama weye,AKHU!
,mwenzio nakalia dume la mbegu ,rijali hasa kwa sura na kwa tabia!
pole weee na michupa,mara mijiti,mara miti mara koleo,sa huumii?
As for lipapa,hilo nalikosha mana linakosheka,hilo tundu lako lililowazi kwa mikokoto na changarawe wanayokuingiza sijui unalioshaje!
uwe unawambia wanakukorogea na sabuni ya unga ,umesikia?ili ubaki msafi usitunukie kwenye madaladala na vumba lako la shahawa kwenye suruali!
sawa enh?
angalau umejua kuwa ni mama Zima!....teh hee hee..,wacha weeee!
...hizi fake id hizi!...
.mama zima jinga jinga linajifanya eti nalo shakunaku la ukubwani!
.hopeless!
Mkuu rekebisha kidogo kuna neno hapo linaogofya hata kuling'amua..Pale Nairobi kenya kuna msanii moja maarufu kwa jina la nyashinski,ni mmoja ya wasanii waliounda kundi la cleptomaniaz lilitomba mwanzoni/katikati ya miaka ya 2000 (kwa wale ma-old school watakuwa wanamfahamu)
baadae nyashinski alienda marekani na kuishi huko miaka 10 lakini mpaka leo anazungumza sheng (kiswahili cha kikenya) kwa ufasaha.
halafu eti Leo akina "hashimu thabati" wanajitia kutoweza zungumzia kiswahili kwa ufasaha wakati waliondoka bongo wakiwa watu wazima.....
....kwi kwi kwi..,ala kumbe mwanzo kabisa nilikuquote wewe?angalau umejua kuwa ni mama Zima!
utakaa pembeni kidooogo!
HAYA POTEA!
usipende kurukia rukia watu na quote za kipuuzi!
Hata A. YLabda tumuulize kajala, ila jamaa anaonekana smart sana kichwani, anajua anachokifanya
Salama Jabir
P-Funk
Madam Rittha, ndege wafananao huruka pamoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] deadHata sisi wa Kwamtogole pia, tukiishaanza tuition pale kwa Ras Simba basi tunaongea "you know let me tell you, yule jamaa bwana, I don't think so"
bado nabakia jike!....kwi kwi kwi..,ala kumbe mwanzo kabisa nilikuquote wewe?
.funzajike!