P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

Ah wapi.

Mimi nina uwezo wa kuongea na kuandika lugha moja kwa ufasaha wa hali ya juu kabisa bila kuchanganya na lugha ingine.

Kama ni kimombo basi naweza kukiandika na kukiongea mwanzo mwisho.

Kiswahili nacho vivyo hivyo. Ikija kwenye Kisukuma ndo usiseme kabisa. Hiki ndicho huwa najivunia zaidi kukijua. Kwangu ni fahari ya aina yake ingawa zamani niliwahi kuchekwa na kudhihakiwa kuwa eti naongea 'kilugha'. Dokezo hapo ni kwamba ukiongea 'kilugha' basi wewe ni mshamba.

Kwa hiyo kwangu mimi ni tofauti kabisa. Huwezi kuniweka kwenye hilo kundi.

Halafu unajua nini? Watu huwa wanastaajabu na kubaki midomo wazi wanapogundua kuwa naweza kuongea Kisukuma tena kile cha Ntuzu kabisa bila hata kwakwaru.

Mimi ni namba ingine kabisa.
Gashinaga ule ong'wise? Ofumile Ntuzu? Hale bariadi?
 
Pye ukunuko nale ng'wenyeji.

Usengi one utumamaga ahi kanisa e Somanda makanza ga ng'wa padri Gappa.
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] heshima yako bro licha ya kuishi ughaibuni miaka yote hiyo unaandika kisukuma fasaha kabisa(matumaini yangu hata kuongea bado unakumbuka)

Kilicho nifurahisha zaidi mitaa na maeneo ya ntunzu bado unayakumbuka vizuri
 
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] heshima yako bro licha ya kuishi ughaibuni miaka yote hiyo unaandika kisukuma fasaha kabisa(matumaini yangu hata kuongea bado unakumbuka)

Kilicho nifurahisha zaidi mitaa na maeneo ya ntunzu bado unayakumbuka vizuri

Hahahaa nde namba nyhafu unene ong'wa faza.

Kwenye kuongea hapo acha kabisa. Hutaweza kuamini masikio yako.

Wengine hata Kiswahili eti huwa wanashangaa nakijuaje.

Nami huishia kuwacheka tu kwa ujinga na usadiki wao.
 
P funky baba ake ana asili ya uholanzii...
NAANZISHA UBUYU HAPA HAPA!
sasa kweli kabisa damu ya kiholanzi ndo PAULA ASIRITHI HATA RANGI YA KUCHA?
yani kweli hata macho ,maaaacho kweli hata nyusi!
aaaaaaaaaaaaaaaaaaah bana weeeeeeeeee hata mi nimesoma biology ,japo nilipata F lakini genetics nilisoma introduction na reproduction nina notes zote toka mwanzo mpk mwisho!
warumi njoo huku tuyajenge.
 
Huyu kijana Hashimu Thabiti (Hasheem Thabeet) Kama anavyojiita siku hizi, ndio huwa ananishangaza sana mkuu. Maisha aliyotokea na muda alioishi States eti Kiswahili kinampa shida!!!!!! Huwa nachoka kabisa nikimsikia anaongea.
hahahahhahahaa sasa Hasheem nae hajui Kiswahili hajui kiingereza!?
 
NAANZISHA UBUYU HAPA HAPA!
sasa kweli kabisa damu ya kiholanzi ndo PAULA ASIRITHI HATA RANGI YA KUCHA?
yani kweli hata macho ,maaaacho kweli hata nyusi!
aaaaaaaaaaaaaaaaaaah bana weeeeeeeeee hata mi nimesoma biology ,japo nilipata F lakini genetics nilisoma introduction na reproduction nina notes zote toka mwanzo mpk mwisho!
warumi njoo huku tuyajenge.

Duh.......... nimecheka balaa
 
NAANZISHA UBUYU HAPA HAPA!
sasa kweli kabisa damu ya kiholanzi ndo PAULA ASIRITHI HATA RANGI YA KUCHA?
yani kweli hata macho ,maaaacho kweli hata nyusi!
aaaaaaaaaaaaaaaaaaah bana weeeeeeeeee hata mi nimesoma biology ,japo nilipata F lakini genetics nilisoma introduction na reproduction nina notes zote toka mwanzo mpk mwisho!
warumi njoo huku tuyajenge.
Numeuliza hilo swali Hakuna aliyeni NJ bu
 
NAANZISHA UBUYU HAPA HAPA!
sasa kweli kabisa damu ya kiholanzi ndo PAULA ASIRITHI HATA RANGI YA KUCHA?
yani kweli hata macho ,maaaacho kweli hata nyusi!
aaaaaaaaaaaaaaaaaaah bana weeeeeeeeee hata mi nimesoma biology ,japo nilipata F lakini genetics nilisoma introduction na reproduction nina notes zote toka mwanzo mpk mwisho!
warumi njoo huku tuyajenge.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo neno hiloo...!!mm pia sikubali hata sifurii

halafu wenzie sasa weupeee 0.5 pyuaaa
 
Pale Nairobi kenya kuna msanii moja maarufu kwa jina la nyashinski,ni mmoja ya wasanii waliounda kundi la cleptomaniaz lilitomba mwanzoni/katikati ya miaka ya 2000 (kwa wale ma-old school watakuwa wanamfahamu)

baadae nyashinski alienda marekani na kuishi huko miaka 10 lakini mpaka leo anazungumza sheng (kiswahili cha kikenya) kwa ufasaha.

halafu eti Leo akina "hashimu thabati" wanajitia kutoweza zungumzia kiswahili kwa ufasaha wakati waliondoka bongo wakiwa watu wazima.....
4th line first word.
 
Back
Top Bottom