Afande Chacha alikuwa ananikera kwa kudhalilisha mabinti!! Lile bwawa la adhabu bado lipo?!Rural Swagga ahahaha,afande Miraji hatari sana!
Afande Chacha bado yupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afande Chacha alikuwa ananikera kwa kudhalilisha mabinti!! Lile bwawa la adhabu bado lipo?!Rural Swagga ahahaha,afande Miraji hatari sana!
Afande Chacha bado yupo?
Unajua ni kitambo sana kaka na niko mbali na DSM ...ila ipo siku nitarudi pale shule kutembea...babu chacha walikua wanamwita Babu LoveAfande Chacha alikuwa ananikera kwa kudhalilisha mabinti!! Lile bwawa la adhabu bado lipo?!
Usikimbie ngoja nikatafute kamusi ya kiswahili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ndo maana Mrs. Bikko akamshobokea?P funky baba ake ana asili ya uholanzii...
Alimshobokeaga kwa kua alikua huko vzr mtoto wa mjiniNdo maana Mrs. Bikko akamshobokea?
P kazaliwa NjombeInternational School of Tanganyika
Baba wa p alikuwa mkulima wa chai njombe ndipo alipompata mama p so inawezekana p alizaliwa njombe
Kwaiyo kama marudio tu?Hakuwa na nguvu awamu ya JK bali alikuwa na nguvu wakati yupo NBA! Na huko kumtandika mitama TID hakuhusiani chochote na JK manake, tangu enzi za Mwarabu, na hatimae Mjerumani kisha akaja Mwingereza na hadi enzi za Nyerere na hadi kesho; watu wenye midomo kama TID walitandikwa na wanaendelea kutandikwa mitama!!
TX ndo niniBaba yake ni muholanzi(alikuwa TX)...mama yake mzaramo alikuwa wanawake was kujiuza mjini(Margot) kwa kifupi ni BASTARD kama le mutuz
TexasTX ndo nini
lini hiyo?Hahahahha sipati picha myama tid alivyoshushwa chini, kumbe jamaa ana dharau sana aliwahi pia kumpiga dereva boda kisa kavunja taa ya hammer lake japo yy ndo alikuwa na makosa
Huyu kijana Hashimu Thabiti (Hasheem Thabeet) Kama anavyojiita siku hizi, ndio huwa ananishangaza sana mkuu. Maisha aliyotokea na muda alioishi States eti Kiswahili kinampa shida!!!!!! Huwa nachoka kabisa nikimsikia anaongea.
mambo ya rafiki zako wanugu,vipi do you still hate them?Sasa hivi hata kingereza kitakuwa kinampiga chenga atakuwa anaongea kijalani
mambo ya rafiki zako wanugu,vipi do you still hate them?