snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
umekazana kujichekesha maskini mara kwi kwiii kwii sijui teh teh teh!....kwi kwi kwi..,ala kumbe mwanzo kabisa nilikuquote wewe?
.funzajike!
ukoje!
HEBU KAZA NATI ZA KIUNO WEWE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umekazana kujichekesha maskini mara kwi kwiii kwii sijui teh teh teh!....kwi kwi kwi..,ala kumbe mwanzo kabisa nilikuquote wewe?
.funzajike!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] lilitomba akina flanKleptomaniax "lilitomba" kina nani ?
....koh koh koh.,mbona unaniquote mara mbili mbili we kubwa jinga!??umekazana kujichekesha maskini mara kwi kwiii kwii sijui teh teh teh!
ukoje!
HEBU KAZA NATI ZA KIUNO WEWE!
Acha kupanic p funk kama angekuwa na hizo nyumba unazosema wala asingeendelea kukaa pale bamaga, ila nyumba anayokaa ni ya kawaida sanaaaUna uhakika na ulisemalo. ...ungesema anaishi nyumba aliyonunuliwa na wazazi wake ningekuelewa....
pia jino moja mswaki wa nini...mtoto wa pekee nyumba masaki na nyingine uswahilini na nyingine Rotterdam sijui Amsterdam akapange ili za kwake akae nani?
Unaanza kutaja sifa za babako!....koh koh koh.,mbona unaniquote mara mbili mbili we kubwa jinga!??
Pale Nairobi kenya kuna msanii moja maarufu kwa jina la nyashinski,ni mmoja ya wasanii waliounda kundi la cleptomaniaz lilitomba mwanzoni/katikati ya miaka ya 2000 (kwa wale ma-old school watakuwa wanamfahamu)
baadae nyashinski alienda marekani na kuishi huko miaka 10 lakini mpaka leo anazungumza sheng (kiswahili cha kikenya) kwa ufasaha.
halafu eti Leo akina "hashimu thabati" wanajitia kutoweza zungumzia kiswahili kwa ufasaha wakati waliondoka bongo wakiwa watu wazima.....
Paul Matthysselegend huyu jina lake halisi ni nani, khalfani majani au paul majani??
...mumeo si ''rijali wa sura na tabia?''...kumbe unaijuaga ile michezo yake pale Motel Jasmeena;Unaanza kutaja sifa za babako!
dah!
hasara kwa mkewe!
kuwa na toto punga na mume jinga?
mama ndo mdutchJamaa ana asili ya ki-dutch.
Kati ya mama yake au baba yake ni muholansi (maana nakumbuka kwenye interview yake ya nyuma alishasema kuwa "waholansi ni wabaguzi, na alienda huko kwa mzazi wake na akaw akipita mtaani watu wanamnyoshea kidole")
Usilolijua kaa kimya!Ma
mama ndo mdutch
Pale Nairobi kenya kuna msanii moja maarufu kwa jina la nyashinski,ni mmoja ya wasanii waliounda kundi la cleptomaniaz lilitomba mwanzoni/katikati ya miaka ya 2000 (kwa wale ma-old school watakuwa wanamfahamu)
baadae nyashinski alienda marekani na kuishi huko miaka 10 lakini mpaka leo anazungumza sheng (kiswahili cha kikenya) kwa ufasaha.
halafu eti Leo akina "hashimu thabati" wanajitia kutoweza zungumzia kiswahili kwa ufasaha wakati waliondoka bongo wakiwa watu wazima.....
AHAHAHAHAHHAHAHHAHAHHAHA!...mumeo si ''rijali wa sura na tabia?''...kumbe unaijuaga ile michezo yake pale Motel Jasmeena;
..halafu,ushamuulizaga yule mwanaharamu wenu ni wa kwake kweli,
..au unakaa kufuatilia ya watu tu yasiyokuhusu...mbaff,jitu zima hovyo sana wewe!
.bure kabisa!
P Funk amesoma IST, wewe hata ujambe ushuzi hapa mpaka Ntwara kwenye ukoo wenu hakuna hatakayethubutu kugusa IST bwege kabisa.Eti familia bora unaelewa maana ya familia bora? Hebu nenda kaangalie nyumba yao pale bamaga
Kwakuwa nimemsikia Rais Magufuli ni mpenzi wa Shilawadu kwa sasa umbea ni jambo la heshima kubwa na lenye hadhi.NAANZISHA UBUYU HAPA HAPA!
sasa kweli kabisa damu ya kiholanzi ndo PAULA ASIRITHI HATA RANGI YA KUCHA?
yani kweli hata macho ,maaaacho kweli hata nyusi!
aaaaaaaaaaaaaaaaaaah bana weeeeeeeeee hata mi nimesoma biology ,japo nilipata F lakini genetics nilisoma introduction na reproduction nina notes zote toka mwanzo mpk mwisho!
warumi njoo huku tuyajenge.
Wewe ni Jinga kabisa, thread za watu wa mjini wewe baki kuwa msomaji tu ujifunze.Ma
mama ndo mdutch
Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.
We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.
Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.
Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.
Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza[B/]
Hapo nilipokoleza ndio umenichekesha[emoji1] [emoji1] [emoji1]