P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

Acha kupanic p funk kama angekuwa na hizo nyumba unazosema wala asingeendelea kukaa pale bamaga, ila nyumba anayokaa ni ya kawaida sanaaa
 

lilitomba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji533][emoji533][emoji533] ulikuwa juu ya kiuno nn mkuu
 
Unaanza kutaja sifa za babako!
dah!
hasara kwa mkewe!
kuwa na toto punga na mume jinga?
...mumeo si ''rijali wa sura na tabia?''...kumbe unaijuaga ile michezo yake pale Motel Jasmeena;
..halafu,ushamuulizaga yule mwanaharamu wenu ni wa kwake kweli,
..au unakaa kufuatilia ya watu tu yasiyokuhusu...mbaff,jitu zima hovyo sana wewe!
.bure kabisa!
 
Eti "lilitomba miaka ya 2000 aisee watu mwajua kuvunjana mbavu
 
Ma
Jamaa ana asili ya ki-dutch.
Kati ya mama yake au baba yake ni muholansi (maana nakumbuka kwenye interview yake ya nyuma alishasema kuwa "waholansi ni wabaguzi, na alienda huko kwa mzazi wake na akaw akipita mtaani watu wanamnyoshea kidole")
mama ndo mdutch
 
Ila mkuu P-Funk yuko smart sana kichwani na huwa ninamkubali hapendi shobo shobo za kijinga.
Yeye na kazi tu.
 

Mkuu jitahidi kuwa una hariri maandishi yako kabla haujarusha hewani. usije kuwa kamaTBC
 
AHAHAHAHAHHAHAHHAHAHHAHA!
pooooovu poooovu best!
TWENDE TARATIBU!

motel jasmeena ndo wanapokuvunjaga dhakar enh?
saaasa umepamiss jasmiiiina au umewamiss wanaokutia kilema cha kiuno mpk vidole!?
Ila na mi name mfukunyukuuuuu sasa nayafuatilia ya nini na linalovunjwa ni hilo jijongoo ulilonalo?
heb niache umbea !
 
Eti familia bora unaelewa maana ya familia bora? Hebu nenda kaangalie nyumba yao pale bamaga
P Funk amesoma IST, wewe hata ujambe ushuzi hapa mpaka Ntwara kwenye ukoo wenu hakuna hatakayethubutu kugusa IST bwege kabisa.

Kuwa na nyumba tu Bamaga ni ushindi tosha kwa waelewa pimbi wewe.
 
Kwakuwa nimemsikia Rais Magufuli ni mpenzi wa Shilawadu kwa sasa umbea ni jambo la heshima kubwa na lenye hadhi.

Pigeni umbea kwa kujidai mnayo support ya Rais naye ni mshabiki wa Shilawadu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…