Nobody But Me
Senior Member
- May 4, 2021
- 160
- 111
Namimi nianzeKitu kingine ambacho binafsi naona kinafanya nimuone cado special ni kujikubali bila ku fake
Anaweza akapost clip akiwa mageton uswahilini bila kujari kwamba ntaonekana vipi na wadau
Kuna moja alikua ana freestyle kuanzia ugali mpaka maji ya kunawa, ukicheki na muonekano wa geto kweli umekaa kininja una represent code za wahuni tu
Yeah... Yule ndo Whozu. Ila tofauti na Huendi Mbinguni... Hakuna wimbo mwingine utamwelewa.Ile huwendi mbinguni kumbe ndio huyo whozu?
Aisee si unaona sasa hii ngoma imetrend sana kwenye maduka ya mtaani ila sikuwa kujua jina la nyimbaji
Hivi vitu utapata JF tu. Wakati mwingine huwa natamani sana kuandika articles kuhusu wasanii wetu. Hasa wa Hip hop kule Wikipedia. Nadhani round hii nitapata wachangiajiM.A.W.E.N.G.E
M. Moving
A. Art
W. With
E. Education’s
N. Now
G. Getting
E. Easier
Nahamia weusi
Bom Bronx……Maweeenge….wuuuh!
[Verse One:]
Nishachoka kuimba ngoma za haraka na ukombozi/
Wanetu wanakamata tu nafasi za uongozi/
Kila miziki kwetu ni visasi na uchokozi/
Haya maamuzi yaheshimiwe wala staki gozigozi/
Arusha city ndo hood ya Xplastaz, Watengwa/
Kipindi Nelly anaukandia ushanta, nlipenda/
So acha nieleweke before I be dead gone/
Kwanza Mbeya, Dar, na Chuga iwe third home/
Nafurahi nikimwona Joh Makini yuko na G/
Wamepiga picha wakiwa ofini kwa DC/
Na hii ndo hiphop love, mimi ni mc/
Wanaowaza shobo huwa napiga chini siwaskii/
Machizi wanajihepusha na maugomvi na fujo/
Ni kikundi cha rap wala sio cha ndondi na judo/
Wako smart kwenye brain, smart kwenye kazi/
Wako kasi kwenye game hawataki ubabaishaji/
I was a good fan wa nako2nako na river camp/
Kabla P Mawenge halijaja bado katika game/
Na mambo yakanoga tangu Joh aje na Nikki/
Nawaona kwenye chupa la niaje ni vipi/
[Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
[Verse Two:]
Unaikumbuka nako2nako ya bang na ndo zetu kuwakilisha/
Pindi wao na kikosi yechu yechu hamna vita/
Kabla ya Beef kabla ya kaka zetu kuchapika/
“Show love to each other”, mpaka Yesu akatajika/
Mambo yalikuwa fresh pindi Lord yuko na Ray/
“Hii kwa ajili yako baby”, nice back in a days/Huku Bu huku Ibra kabla hawaja-part ways/
“Hawatuwezi” was fav track to play/
Bila kipingamizi mi weusi naikubali/
Mmefanya mengi mmebisha sana kwenye safari/
Nidham na Juhudi ndo zimewafikisha mbali/
Napenda nijoin kundi so nkikaribishwa shwari/
Kushindana kwenye game isitujengee chuki/
Mwishoni tulogane rodi tutembee uchi/
Waambie wagombanishi wasituletee uzushi/
Tupigeni ngoma kali chorus atembee jux/
We never been friends I know that for sure/
Its over now I gotta bottle bring glasses to pour/
Allow me to get in ya plane let’s start the tours/
“Vipi Kuhusu kikosi Kazi?” hilo staki kujua/
Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala
hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
Mawenge ni mawenge tu 😂😁M.A.W.E.N.G.E
M. Moving
A. Art
W. With
E. Education’s
N. Now
G. Getting
E. Easier
[emoji23][emoji23][emoji23]WEUSI ndio kundi bora la hiphop Tanzania. Hawa wengine ni takataka tu zimejikusanya na kujiita kundi la hip hop
Huyu jamaa kadhamiria aise.Nahamia weusi
Bom Bronx……Maweeenge….wuuuh!
[Verse One:]
Nishachoka kuimba ngoma za haraka na ukombozi/
Wanetu wanakamata tu nafasi za uongozi/
Kila miziki kwetu ni visasi na uchokozi/
Haya maamuzi yaheshimiwe wala staki gozigozi/
Arusha city ndo hood ya Xplastaz, Watengwa/
Kipindi Nelly anaukandia ushanta, nlipenda/
So acha nieleweke before I be dead gone/
Kwanza Mbeya, Dar, na Chuga iwe third home/
Nafurahi nikimwona Joh Makini yuko na G/
Wamepiga picha wakiwa ofini kwa DC/
Na hii ndo hiphop love, mimi ni mc/
Wanaowaza shobo huwa napiga chini siwaskii/
Machizi wanajihepusha na maugomvi na fujo/
Ni kikundi cha rap wala sio cha ndondi na judo/
Wako smart kwenye brain, smart kwenye kazi/
Wako kasi kwenye game hawataki ubabaishaji/
I was a good fan wa nako2nako na river camp/
Kabla P Mawenge halijaja bado katika game/
Na mambo yakanoga tangu Joh aje na Nikki/
Nawaona kwenye chupa la niaje ni vipi/
[Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
[Verse Two:]
Unaikumbuka nako2nako ya bang na ndo zetu kuwakilisha/
Pindi wao na kikosi yechu yechu hamna vita/
Kabla ya Beef kabla ya kaka zetu kuchapika/
“Show love to each other”, mpaka Yesu akatajika/
Mambo yalikuwa fresh pindi Lord yuko na Ray/
“Hii kwa ajili yako baby”, nice back in a days/Huku Bu huku Ibra kabla hawaja-part ways/
“Hawatuwezi” was fav track to play/
Bila kipingamizi mi weusi naikubali/
Mmefanya mengi mmebisha sana kwenye safari/
Nidham na Juhudi ndo zimewafikisha mbali/
Napenda nijoin kundi so nkikaribishwa shwari/
Kushindana kwenye game isitujengee chuki/
Mwishoni tulogane rodi tutembee uchi/
Waambie wagombanishi wasituletee uzushi/
Tupigeni ngoma kali chorus atembee jux/
We never been friends I know that for sure/
Its over now I gotta bottle bring glasses to pour/
Allow me to get in ya plane let’s start the tours/
“Vipi Kuhusu kikosi Kazi?” hilo staki kujua/
Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala
hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
Tetea hoja yako mkuu, imening'inia sana.WEUSI ndio kundi bora la hiphop Tanzania. Hawa wengine ni takataka tu zimejikusanya na kujiita kundi la hip hop
Mi naona jamaa ni plain regionalistTetea hoja yako mkuu, imening'inia sana.
Kumbe picha na Cassper imegusa MaMc[emoji23]P mawenge , sema jamaa anajuwa kudiss mbaya , kila nikikumbuka hii verse
"Na wewe mwenye virasta kaa msyuka"
"Nitavikusanya nivikate hata nachupa "
Huwa nabaki nacheka tuuu kwa kweli.
Mkuu Unamjua Cado kitengo? Mteganda? Toxic?Ukweli ni kua hamna rapa anayemfikia mbishi kwenye freestyle hata huyo ngwair ni hyp tu
Nilikuwa mweupe nikaokota book nikabukuka.Dizasta anakuambia ndiko mitutu inakofichwa
Akiweka hiyo kitu kando itakua rahisi kwake kuchambua mchele na chuyaMi naona jamaa ni plain regionalist
Kweli. Lakini watu wa Arusha wana shida sana[emoji23]Akiweka hiyo kitu kando itakua rahisi kwake kuchambua mchele na chuya
Wadau tupo mzee ukiwa na mada yako wala usisite, tena ikiwezekana unatutag kabisaHivi vitu utapata JF tu. Wakati mwingine huwa natamani sana kuandika articles kuhusu wasanii wetu. Hasa wa Hip hop kule Wikipedia. Nadhani round hii nitapata wachangiaji
Poa poa bro.Wadau tupo mzee ukiwa na mada yako wala usisite, tena ikiwezekana unatutag kabisa