P MAWENGE: Nahamia weusi

P MAWENGE: Nahamia weusi

Kitu kingine ambacho binafsi naona kinafanya nimuone cado special ni kujikubali bila ku fake

Anaweza akapost clip akiwa mageton uswahilini bila kujari kwamba ntaonekana vipi na wadau

Kuna moja alikua ana freestyle kuanzia ugali mpaka maji ya kunawa, ukicheki na muonekano wa geto kweli umekaa kininja una represent code za wahuni tu
Namimi nianze
 
Ile huwendi mbinguni kumbe ndio huyo whozu?

Aisee si unaona sasa hii ngoma imetrend sana kwenye maduka ya mtaani ila sikuwa kujua jina la nyimbaji
Yeah... Yule ndo Whozu. Ila tofauti na Huendi Mbinguni... Hakuna wimbo mwingine utamwelewa.
 
Maoni yangu ni kuwa. Si lazima uwe na majina ya ajabu ajabu ndipo uonekane wewe ndio mwana hip hop mkali.
P.MAWENGE
WEUSI
KIKOSI KAZI
😎
M.A.W.E.N.G.E

M. Moving
A. Art
W. With
E. Education’s
N. Now
G. Getting
E. Easier
 
M.A.W.E.N.G.E

M. Moving
A. Art
W. With
E. Education’s
N. Now
G. Getting
E. Easier
Hivi vitu utapata JF tu. Wakati mwingine huwa natamani sana kuandika articles kuhusu wasanii wetu. Hasa wa Hip hop kule Wikipedia. Nadhani round hii nitapata wachangiaji
 
Nahamia weusi
Bom Bronx……Maweeenge….wuuuh!

[Verse One:]
Nishachoka kuimba ngoma za haraka na ukombozi/
Wanetu wanakamata tu nafasi za uongozi/
Kila miziki kwetu ni visasi na uchokozi/
Haya maamuzi yaheshimiwe wala staki gozigozi/
Arusha city ndo hood ya Xplastaz, Watengwa/
Kipindi Nelly anaukandia ushanta, nlipenda/
So acha nieleweke before I be dead gone/
Kwanza Mbeya, Dar, na Chuga iwe third home/
Nafurahi nikimwona Joh Makini yuko na G/
Wamepiga picha wakiwa ofini kwa DC/
Na hii ndo hiphop love, mimi ni mc/
Wanaowaza shobo huwa napiga chini siwaskii/
Machizi wanajihepusha na maugomvi na fujo/
Ni kikundi cha rap wala sio cha ndondi na judo/
Wako smart kwenye brain, smart kwenye kazi/
Wako kasi kwenye game hawataki ubabaishaji/
I was a good fan wa nako2nako na river camp/
Kabla P Mawenge halijaja bado katika game/
Na mambo yakanoga tangu Joh aje na Nikki/
Nawaona kwenye chupa la niaje ni vipi/

[Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/


[Verse Two:]
Unaikumbuka nako2nako ya bang na ndo zetu kuwakilisha/
Pindi wao na kikosi yechu yechu hamna vita/
Kabla ya Beef kabla ya kaka zetu kuchapika/
“Show love to each other”, mpaka Yesu akatajika/
Mambo yalikuwa fresh pindi Lord yuko na Ray/
“Hii kwa ajili yako baby”, nice back in a days/Huku Bu huku Ibra kabla hawaja-part ways/
“Hawatuwezi” was fav track to play/
Bila kipingamizi mi weusi naikubali/
Mmefanya mengi mmebisha sana kwenye safari/
Nidham na Juhudi ndo zimewafikisha mbali/
Napenda nijoin kundi so nkikaribishwa shwari/
Kushindana kwenye game isitujengee chuki/
Mwishoni tulogane rodi tutembee uchi/
Waambie wagombanishi wasituletee uzushi/
Tupigeni ngoma kali chorus atembee jux/
We never been friends I know that for sure/
Its over now I gotta bottle bring glasses to pour/
Allow me to get in ya plane let’s start the tours/
“Vipi Kuhusu kikosi Kazi?” hilo staki kujua/

Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala
hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/

Track kali
 
WEUSI ndio kundi bora la hiphop Tanzania. Hawa wengine ni takataka tu zimejikusanya na kujiita kundi la hip hop
 
Nahamia weusi
Bom Bronx……Maweeenge….wuuuh!

[Verse One:]
Nishachoka kuimba ngoma za haraka na ukombozi/
Wanetu wanakamata tu nafasi za uongozi/
Kila miziki kwetu ni visasi na uchokozi/
Haya maamuzi yaheshimiwe wala staki gozigozi/
Arusha city ndo hood ya Xplastaz, Watengwa/
Kipindi Nelly anaukandia ushanta, nlipenda/
So acha nieleweke before I be dead gone/
Kwanza Mbeya, Dar, na Chuga iwe third home/
Nafurahi nikimwona Joh Makini yuko na G/
Wamepiga picha wakiwa ofini kwa DC/
Na hii ndo hiphop love, mimi ni mc/
Wanaowaza shobo huwa napiga chini siwaskii/
Machizi wanajihepusha na maugomvi na fujo/
Ni kikundi cha rap wala sio cha ndondi na judo/
Wako smart kwenye brain, smart kwenye kazi/
Wako kasi kwenye game hawataki ubabaishaji/
I was a good fan wa nako2nako na river camp/
Kabla P Mawenge halijaja bado katika game/
Na mambo yakanoga tangu Joh aje na Nikki/
Nawaona kwenye chupa la niaje ni vipi/

[Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/


[Verse Two:]
Unaikumbuka nako2nako ya bang na ndo zetu kuwakilisha/
Pindi wao na kikosi yechu yechu hamna vita/
Kabla ya Beef kabla ya kaka zetu kuchapika/
“Show love to each other”, mpaka Yesu akatajika/
Mambo yalikuwa fresh pindi Lord yuko na Ray/
“Hii kwa ajili yako baby”, nice back in a days/Huku Bu huku Ibra kabla hawaja-part ways/
“Hawatuwezi” was fav track to play/
Bila kipingamizi mi weusi naikubali/
Mmefanya mengi mmebisha sana kwenye safari/
Nidham na Juhudi ndo zimewafikisha mbali/
Napenda nijoin kundi so nkikaribishwa shwari/
Kushindana kwenye game isitujengee chuki/
Mwishoni tulogane rodi tutembee uchi/
Waambie wagombanishi wasituletee uzushi/
Tupigeni ngoma kali chorus atembee jux/
We never been friends I know that for sure/
Its over now I gotta bottle bring glasses to pour/
Allow me to get in ya plane let’s start the tours/
“Vipi Kuhusu kikosi Kazi?” hilo staki kujua/

Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala
hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
Huyu jamaa kadhamiria aise.
All in all ndio game lenyewe hilo.
 
P mawenge , sema jamaa anajuwa kudiss mbaya , kila nikikumbuka hii verse

"Na wewe mwenye virasta kaa msyuka"
"Nitavikusanya nivikate hata nachupa "

Huwa nabaki nacheka tuuu kwa kweli.
 
P mawenge , sema jamaa anajuwa kudiss mbaya , kila nikikumbuka hii verse

"Na wewe mwenye virasta kaa msyuka"
"Nitavikusanya nivikate hata nachupa "

Huwa nabaki nacheka tuuu kwa kweli.
Kumbe picha na Cassper imegusa MaMc[emoji23]
 
Hivi vitu utapata JF tu. Wakati mwingine huwa natamani sana kuandika articles kuhusu wasanii wetu. Hasa wa Hip hop kule Wikipedia. Nadhani round hii nitapata wachangiaji
Wadau tupo mzee ukiwa na mada yako wala usisite, tena ikiwezekana unatutag kabisa
 
Back
Top Bottom