Nahamia weusi
Bom Bronx……Maweeenge….wuuuh!
[Verse One:]
Nishachoka kuimba ngoma za haraka na ukombozi/
Wanetu wanakamata tu nafasi za uongozi/
Kila miziki kwetu ni visasi na uchokozi/
Haya maamuzi yaheshimiwe wala staki gozigozi/
Arusha city ndo hood ya Xplastaz, Watengwa/
Kipindi Nelly anaukandia ushanta, nlipenda/
So acha nieleweke before I be dead gone/
Kwanza Mbeya, Dar, na Chuga iwe third home/
Nafurahi nikimwona Joh Makini yuko na G/
Wamepiga picha wakiwa ofini kwa DC/
Na hii ndo hiphop love, mimi ni mc/
Wanaowaza shobo huwa napiga chini siwaskii/
Machizi wanajihepusha na maugomvi na fujo/
Ni kikundi cha rap wala sio cha ndondi na judo/
Wako smart kwenye brain, smart kwenye kazi/
Wako kasi kwenye game hawataki ubabaishaji/
I was a good fan wa nako2nako na river camp/
Kabla P Mawenge halijaja bado katika game/
Na mambo yakanoga tangu Joh aje na Nikki/
Nawaona kwenye chupa la niaje ni vipi/
[Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/
[Verse Two:]
Unaikumbuka nako2nako ya bang na ndo zetu kuwakilisha/
Pindi wao na kikosi yechu yechu hamna vita/
Kabla ya Beef kabla ya kaka zetu kuchapika/
“Show love to each other”, mpaka Yesu akatajika/
Mambo yalikuwa fresh pindi Lord yuko na Ray/
“Hii kwa ajili yako baby”, nice back in a days/Huku Bu huku Ibra kabla hawaja-part ways/
“Hawatuwezi” was fav track to play/
Bila kipingamizi mi weusi naikubali/
Mmefanya mengi mmebisha sana kwenye safari/
Nidham na Juhudi ndo zimewafikisha mbali/
Napenda nijoin kundi so nkikaribishwa shwari/
Kushindana kwenye game isitujengee chuki/
Mwishoni tulogane rodi tutembee uchi/
Waambie wagombanishi wasituletee uzushi/
Tupigeni ngoma kali chorus atembee jux/
We never been friends I know that for sure/
Its over now I gotta bottle bring glasses to pour/
Allow me to get in ya plane let’s start the tours/
“Vipi Kuhusu kikosi Kazi?” hilo staki kujua/
Chorus:]
Nahamia weusiiii….
Mana machizi wako busy na game na hawataki haribu name/
Nahamia weusiiii….
Hawajawahi kujihusisha na dramas na wakapata fame/
Nahamia weusiii….
Wanafanya kazi zao kwa plans wala
hawanaga complain/
Nahamia weusiii…..
Na ndo sababu walipotoka na walipo now….is not the same/