Thas trabo
Senior Member
- Mar 5, 2021
- 130
- 239
Hawa jamaa mpaka huwa nashindwa nimshushe yupi ni mpandishe yupi, kwakua kwnye freestyle wanaua kila wanapo pewa nafasiCado, mteganda toxic na papaa frege, hao ndio wanaweza kutembea na beat lolote na bado waka kukuhakikishia contents imesimama
Me naireverse hiyo. Kado alikalishwa na TOXIC kwenye Big Sunday Night ya Wasafi. Though kwa wote bado siipendi ile tabia ya kuhusisha unyonge, udhaifu n.k na wanawake.Kwangu hakuna kama Cado Kitengo kweny 'freestyle off the top' na anaefuata ni toxic fuvu.
Kinacho mtofautisha kado kitengo na toxic nadhani kado anauwezo wa kuswitch flow tofauti tofauti na mistari ya maudhi akiamua kukukandia anakukandia kweli kweli.
Pia jamaa ni bonge la entertainer ana vimaneno fulani hivi lazima tu ucheke na style yake ile ya kuchezesha kamguu Wakati akifreestyle.
View attachment 2000153
Hawajama bhana sijawahi kuwaelewa kabisa, nyimbo nzima ataimba maneno hayazidi kumi skrrrr nyingi, unakutana na designer[emoji23][emoji23][emoji23] sijui alien yuleHahahahaah... Kuna interview flani hivi ya Snoop Doggy anawaongelea. Kanifurahisha sana[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawajama bhana sijawahi kuwaelewa kabisa, nyimbo nzima ataimba maneno hayazidi kumi skrrrr nyingi, unakutana na designer[emoji23][emoji23][emoji23] sijui alien yule
Ghetto freestyle pia mchizi huwa anamaliza kila kitu,Mzee umemaliza kila kitu
Cado kwenye freestyle anaweza kukupa vitu vingi, body language yuko vizuri sana.
Kwenye freestyle anaku offer vitu vingi, unaweza ukacheka kwa lines, pia unaweza ukacheka kwa namna anavyo move
Ebu cheki freestyle za kijini alizopiga pale wasafi na namna anavyo switch....aaah msenge anajua sana tuache utani
Itakua skrrrer huwa ina maana? [emoji23][emoji23] ina bidii tulichunguze hili neno[emoji23][emoji23][emoji23]
Na nyingi hazina maudhui ya kueleweka.
Au prrrr prrr[emoji23]Itakua skrrrer huwa ina maana? [emoji23][emoji23] ina bidii tulichunguze hili neno
Cado alimchana toxic akamuambiaToxic Fuvu. Huyu kijana ni hatari sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Cado alimchana toxic akamuambia
watu wanakuona kwenye vidio, mtoto wakike hauna hata makalio.../
Toxic akamjibu
Usitake kunitisha kama mtoto mdogo, mara anakaa anaongelea mpododo.../
Mpododo? kwani we mpododo huna, au unataka mpaka nikuzungukie kwa nyuma.../
Toxic FuvuCado alimchana toxic akamuambia
watu wanakuona kwenye vidio, mtoto wakike hauna hata makalio.../
Toxic akamjibu
Usitake kunitisha kama mtoto mdogo, mara anakaa anaongelea mpododo.../
Mpododo? kwani we mpododo huna, au unataka mpaka nikuzungukie kwa nyuma.../
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] in reality hii ndo ilifaa itwe rap cartoonMara nyingi Skrt ni vocals zinazotumiwa na mumble rappers
Mteganda alikua anampiga cado kwa punchlines za kiuhalisia kulingana na jamaa anavyopiga weed[emoji23][emoji23][emoji23]
Bro una kumbukumbu sana. Hiki ndo kitu ambacho huwa sipendi kwa hawa vijana wa freestyle.
TOXIC aliwahi kumchana mdau mwingine hapo hapo Big Sunday Night akamwambia "Mi Daimond nishindane na Zuchu!"
Young lunya anajiita G.O.A.T [emoji2211][emoji2211][emoji2211] daaah maisha yanaenda kasi sanaKina migos ndo wamekuja kutuharibia hip hop hawa, naona tabia hii imeanza kuenea mpaka huku nawaona kina lunya wameiga
Vijana wa kusikiliza trap wakukubaliana kuvaa kama wasanii wao waite ku drip.Wao wakakubaliana waiite trap
[emoji23][emoji23][emoji23]Young lunya anajiita G.O.A.T [emoji2211][emoji2211][emoji2211] daaah maisha yanaenda kasi sana
Alafu ukimwona mtaani wala hauwezi mdhania unaeza mchukulia kama mshamba fulani hiv.Mzee umemaliza kila kitu
Cado kwenye freestyle anaweza kukupa vitu vingi, body language yuko vizuri sana.
Kwenye freestyle anaku offer vitu vingi, unaweza ukacheka kwa lines, pia unaweza ukacheka kwa namna anavyo move
Ebu cheki freestyle za kijini alizopiga pale wasafi na namna anavyo switch....aaah msenge anajua sana tuache utani