ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Simba hafungiki si ndio?Kati ya Mamelod au Wydad ndio timu nyepesi,, Mamelod anafunga na kufungwa pia kiufupi anabeki mbovu I think ana cleansheet 1 au 2 tu..
Wydad yeye anasafu butu ya ushambuliaji,,,hivyo ukijikaza ukampiga 2 hapa ukienda kwao suluhu ipo