Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,033
- 8,805
Kama hujaona jibu basi kaushaNimekuuliza swali dogo sana, ila maelezo mengi na sijaona jibu lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujaona jibu basi kaushaNimekuuliza swali dogo sana, ila maelezo mengi na sijaona jibu lake
kumfukuza Pablo nisawasawa na kufukuza polisi walindao bank wakati magari ya mishahala yanapaki pesa.Kama kawaida yetu wabongo wanaanza kuvaa viatu, then ndio wanavaa soksi.
Watamwondoa Pablo, then watawaondoa wachezaji na usajili wa wachezaji utasimamiwa na viongozi, baada ya kumaliza kusajili ndipo watakapo msajili kocha mwengine na kumpa malengo ya timu,kupitia wachezaji walio wasajili wao viongozi na kesho watamlaumu kwa matokeo mabovu kipitia wachezaji walio wasajilo wao.