Yaani unaweza Ondoka wewe kama mshabiki jamaa akabaki[emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha anabut Ni nini hapo. Makocha/Mameneja wanaajiriwa ili wafukuzwe.Haya kumekucha Makolo mnalo.
Cha ajabu Ni nini hapo. Makocha/Mameneja wanaajiriwa ili wafukuzwe.Haya kumekucha Makolo mnalo.
Kwanini simba kila kitu amtegemee Yanga?Scouts simba wanafeli vibaya sana.nabi kuanzia Sudan simba walimtaka ila alikuwa hajamaliza mkataba wake ,ile anamaliza simba wameshamchukua Gomes ,ndo maana Nabi alipofika Dar anahojiwa nawaandishi anasema Simba is the best club ,akaanza kukumbushwa upo Yanga. Hata hizi holidays alizokuwa anaenda wanasema anakwepa kurenew kwa sababu kuna ishu ya chini chini na Simba.
Ilo nalo neno aisee miaka yote kajamaa bado kapo tu
Yaani huyu mchawi ndio anaachiwa timu
Klabu ya Simba imetangaza kuvunja mkataba na Kocha Mkuu, Pablo Franco Martin pamoja na Kocha wa Viungo, Daniel De Castro Reyes baada ya makubaliano ya pande zote mbili.
Baada ya maamuzi hayo, Timu ya Simba ambayo haijawa na msimu mzuri itakuwa chini ya Kocha Msaidizi, Selemani Matola.
Ndio si Wachawi Fc hiyo... umesahau mambo waliyofanya South dhidi ya Orlando???Yaani huyu mchawi ndio anaachiwa timu
UWT hamjilipi posho?Sisi tunalipwa na CCM
Muachiwe team kama hamtaanza kuombaombaMo kamuhonga timu hawara yake sasa anafukuza tu watu bila sababu za msingi, alianza mwenyekiti akaja Senzo, mara Manara now kocha anaondoka.
Kwani cha ajabu nini hapo mkuu? Mbona sisi tulimtimua yule kocha aliyetuita Manyani?Mo kamuhonga timu hawara yake sasa anafukuza tu watu bila sababu za msingi, alianza mwenyekiti akaja Senzo, mara Manara now kocha anaondoka.
Nimekuuliza swali dogo sana, ila maelezo mengi na sijaona jibu lakeNimeanza safari ya mpira toka nipo kinda, kipindi hicho Hata shule sijaanza, kipindi tunacheza mipira ya makaratasi barabara I au uwanja wa nyumbani (uwani), ni katika kipindi kicho ndo nikajizoeza kupiga miguu yote.
Nilipoanza shule nikaendelea kukiwasha, zile match za madarasa vs madarasa (let's say for example: std iii vs std iv )au mikondo vs mikondo (A vs B) nilikuwa nakiwasha balaa. Kumbuka hapo napiga peku peku.
Kuanzia darasa la 5 hadi darasa la 6 mimi ndo nikawa mlinzi namba 4 tegemeo wa shule. Kamwili kadogo,ila wepesi, speed, akili na passion vilinifanya nikawa beck ninaewadhibiti washambuliaji wakali. Tackling, acrobatics,kutibua mipango, vilinifanya kuwa maarufu sana
pale shuleni na kijiji kizima. Ni katika kipindi hicho 2005-2006+ ndiyo nilianza kufanya mazoezi na wakubwa kwenye timu ya kijiji.
Match ya kwanza kupangwa kwenye timu ya wakubwa ilikuwa 2006, nipo darasa la 6 hapo, nilipangwa beki 2, niliboronga sijui woga!!! Nikatolewa.
Kuanzia mwaka 2007 nikiwa darasa la 7, mimi na mwili wangu mdogo,ndiye niliekuwa full back tegemezi wa shule na kijiji.
Kuanzia 2008-2010(form 1-3) mimi ndiye niliekuwa mlinzi tegemezi wa darasa, wa shule (sekondari) na timu ya kijijini (walikuwa wananifata kila kukiwa na match.
Kuanzia mwaka 2010-2011 (form 3-4) mimi ndiye niliekuwa mlinzi tegemeo wa darasa, shule, timu ya kijiji na timu ya kijiji cha pale shule ilipokuwepo.
Nilianza kuacha mpira 2012 baada ya kwenda advance.
SAMAHANI MKUU KWA KUKUPA JIBU REFU SANA. NIMEJIKUTA NAWAZA MBAAAALI SANA!! ENZI ZANGU, KAMA HENOCK INONGA MTUPU!! ka mwili kadogoooo ila ninaowazuia watu wanabaki wanasema natumia madawa kumbeee chini ya kapetii......siri ya mchezo ni NILIKUWA NAFANYA MAZOEZI SANAAAAAAAAA
KigwaNani huyo?