Pablo atimuliwa Simba SC, mwenyewe agoma kupokea barua

Pablo atimuliwa Simba SC, mwenyewe agoma kupokea barua

Hiyo style unayo izungumzia labda kwetu huku,ila ulaya kule wapo maskauti, ila mtu wa mwisho kudecide ni kocha baada ya kumwona mchezaji na kujirizisha kama ana fit na mfumo wake so kazi ya kusajili inategemea mapendekezo ya kocha na ndio maana ulaya sasa hivi utakuta kocha anapendekeza nafasi zenye mapungufu na wachezaji anao wataka.
Ata uko ulaya ,,wanafanya sana sajil kwa mapendekez ya viongoz kocha anakua mtu wa mwsho mfano ,sosha alikua na uwezo wa kuwaambia united wamlete ronaldo au cavan, au huu usajili uliofel mbape kwenda madrid unazan lilikua pendekezo la kocha ,uzur wa wenzetu kocha ambae yupo kwa wakat huo anakua na nguvu fulan ambayo ata kwetu inaanza kuja kuja ,ila ktk kusajil ni kaz ya team management kwa kuzingatia mapendekezo ya kocha ata pablo lazma atakua alikua na mapendekezo kwamba kuna wachezaj fulan fulan waondolewe na pia anaweza kupendekeza aina ya mchezaj anaemtaka kwa kutaja kabisa au ata kwa kuzingatia maeneo yenye upungufu au kasoro , na pia hawa makocha wanaokuja kutoka nje ya Africa wachezaji weng hawawajui ukiwaamin moja kwa moja ni rahis kupgwa ktk kusajili maana na wao itabid wawashirikishe mawakala wao waliowaleta
 
Tatizo sio kocha
Tatizo ni mwekezaji mudi kauza wachezaji na kununua mabasi kana kwamba ndo yanacheza..
Katuletea takataka kibudenga denis,sakho sambusa,sijui maria roza halafu alaumiwe zungu la real Madrid...!

Mudi afukuzwe huyu vinginevyo wanasimba tutashuhudia yanga wakibeba kombe mpaka 2070..

Simba tunaendesha mambo ki old school zama za ujima na ushamba

Ok, tu-assume Mo amefukuzwa, utachangia kiasi gani kila mwezi kuendeshea timu?
 
Ata uko ulaya ,,wanafanya sana sajil kwa mapendekez ya viongoz kocha anakua mtu wa mwsho mfano ,sosha alikua na uwezo wa kuwaambia united wamlete ronaldo au cavan, au huu usajili uliofel mbape kwenda madrid unazan lilikua pendekezo la kocha ,uzur wa wenzetu kocha ambae yupo kwa wakat huo anakua na nguvu fulan ambayo ata kwetu inaanza kuja kuja ,ila ktk kusajil ni kaz ya team management kwa kuzingatia mapendekezo ya kocha ata pablo lazma atakua alikua na mapendekezo kwamba kuna wachezaj fulan fulan waondolewe na pia anaweza kupendekeza aina ya mchezaj anaemtaka kwa kutaja kabisa au ata kwa kuzingatia maeneo yenye upungufu au kasoro , na pia hawa makocha wanaokuja kutoka nje ya Africa wachezaji weng hawawajui ukiwaamin moja kwa moja ni rahis kupgwa ktk kusajili maana na wao itabid wawashirikishe mawakala wao waliowaleta
Sijui labda ila nina uhakika Mbape lilikuwa pendekezo la Anchelotti, kwani hata timu ile ya Zidane iliyo chukua UEFA tatu mfululizo ni usajili uliofanywa na Anchelotti huku Zidane akiwa kicha wake msaidizi na ndio maana ukiangalia hivi sasa, Anchelotti amerudishwa tena kuijenga timu ya Madrid. Ndio maana ukiangalia Madrid ya msimu huu kulikuwa na rotation kubwa sana ya wachezaji vijana.

Wenzetu wanafanya hivyo kumwachia kocha asajili ili kuepuka zile lawama za makocha kama kweli timu ikishindwa basi wakulaumiwa ni kocha. Huku kwetu huwezi mlaumu Pablo sababu timu hajaisajili yy.

Ulaya ni mara chache kocha kufanyiwa kama alivyo fanyiwa Pablo.
 
Issue ya makocha na timu na mambo ya mahusiano ni hivi...(pete na kidole)

Unamchukua mtu ukitarajia atakufaa, baada ya muda unagundua hafai..unamtema!!!😂😂😂
 
Wahakikishe kwamba this time cv ya kocha wanafanya background check vizuri...wenzetu hawa wanadanganyaga kwenye cv zao....
hakuna kocha pale ,pale ni jitihada na uzoefu wa wachezaji ndio uliokuwa unaibeba Simba ,lakini kocha Hana tactics za kuiwezesha timu hasa pale wachezaji wanapokuwa wamepoyeza concentration na mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VIKAO vya siku mbili ndani ya Simba vimeamua rasmi kuachana na kocha mkuu Pablo Franco kwa kile kilichodaiwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa timu hiyo.

Simba imepoteza mataji yake yote mawili la Ligi Kuu Bara ambalo walilitwaa kwa mara nne mfululizo pamoja na taji la Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) walilobeba mara mbili mfululizo.

Habari za kikao hicho zilinaswa na Mwanaspoti kwamba wamefikia makubaliano hayo na tayari Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez alimwandikia barua ya kuvunja mkataba kocha huyo aliyomtumia jana jioni.

Pablo amekiri kupokea barua hiyo na kwamba alimrudishia bosi wake kwani kuna vitu ndani ya barua hiyo vilikuwa havijakaa sawa hivyo anachosubiri sasa ni Barbara kufanya marekebisho hayo ili asaini.

"Ni kweli tulikuwa na kikao na mabosi wangu na kuna mambo sikukubaliana nayo hususani upande wa usajili, jioni CEO alinitumia barua ya kuvunja mkataba lakini ilikuwa na upungufu hivyo sikusaini nilimrudishia ili arekebishe.

"Sikupanga kuondoka Simba kwani tayari nilikuwa nimeikatia Visa familia yangu ya kuishi hapa kwa mwaka mmoja, hivyo nasubiri akirekebisha hiyo barua na kuyaweka yale niliyoyapendekeza ambayo ni maslahi basi nitasaini kuvunja mkataba," amesema Pablo ambaye aliingia Simba Novemba mwaka jana.

Credit, MwanaSpoti

Updates,
View attachment 2245636
Mbona kila wakiondoka makocha Kuna kirusi kinachowatafuna mnakiacha? Tola boy yeye siyo tatizo?
 
Naona viongozi wa mikia wa zamani wanapiga spana , Kaduguda,Rage, Bro wa dewji.......huku Hamis nayeye akiliamsha Twitter
 
hakuna kocha pale ,pale ni jitihada na uzoefu wa wachezaji ndio uliokuwa unaibeba Simba ,lakini kocha Hana tactics za kuiwezesha timu hasa pale wachezaji wanapokuwa wamepoyeza concentration na mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣Tulidanganyika na rangi mzeya..sii unajua tena sie waafrica tulivyo mandezi
 
Back
Top Bottom