SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mo ni mhuni kuliko Ghalib,au hujui alichofanya enzi za HSC wakati wa utawala wa awamu ya nne?Wanatakiwa akina GSM na Mo wengi ni kweli lakini hawatakiwi kuzigeuza timu mke wa pili.Kataa wahuni,Mudi ni muhuni.