Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Matola Hana shidaKuendelea Kubaki Na Matola ni Kosa Kuubwa sana…
Ni Mmojawapo anaegawa Wachezaji!
Ukiacha Fitna,Ana Mbinu gani Kisoka?
Kama walivyokuwa kina Patrick phiri,Nk
Cc: GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matola Hana shidaKuendelea Kubaki Na Matola ni Kosa Kuubwa sana…
Ni Mmojawapo anaegawa Wachezaji!
Ukiacha Fitna,Ana Mbinu gani Kisoka?
Kama walivyokuwa kina Patrick phiri,Nk
Cc: GENTAMYCINE
Mbona hujaandamana kupinga CEO wa aina hii akiyetuharibia team yetu?Tatizo la kuwa na CEO wa aina hii limeanza kuonekana
Zidane mwenyewe alikimbia baada ya kuzingua[emoji2][emoji2]Hahhahah.... Huyu si ndio yule mlisema alifundisha na Zidane?
Kocha mpya wa Simba atakuja baada ya viongozi kumaliza kufanya usajili, halafu kesho lawama wanampa kocha.Kumchinja kobe inahitaji timing, hapa simba tumefanya timing nzur sana kocha anayekuja atapata muda mzur wa kufanya usajili wake sasa next season moto utawaka
yeah inawezekana mkuuInawezekana ni tetesi za kweli, maana kwenye mechi zote za Simba (za kwa Mkapa) anakuwepo uwanjani, anaangalia sehemu ya kufanyia marekebisho.
Aucho ndo nani?Yaani aache kufundisha wachezaji wa maana kina Dr Aucho akafundishe kina Kibu na Mzamiru
Kuna mtu mwaka juzi nilimwambia "Simba itatisha misimu 4, unaofata (msimu wa 5) itayumba sana. Lakini msimu utakaofata (msimu ujao) itakuwa tishio kubwa"
Sehemu 1 ya utabiri wangu umeshatimia, tusubiri msimu ujao tuone. Na bado naamini msimu ujao simba itakuwa bora sana kushinda ilivyokuwa msimu jana.
Huyo jamaa niliemwambia hayo yupo dar m/nyamala anauza duka la reja reja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani aache kufundisha wachezaji wa maana kina Dr Aucho akafundishe kina Kibu na Mzamiru
PSG ya Soweto au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha uwongo, huyu Pisto wanamtaka psg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha utani yaani psg wamsajili pitso..? Labda psg ya buza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zidane mwenyewe alikimbia baada ya kuzingua[emoji2][emoji2]